Licha ya Baadhi ya vifungu vya biblia lakini mimi nilipendezwa sana na baadhi ya mifano hai ya watu waliojaaliwa vipawa mbali mbali katika imani hapa

Licha ya Baadhi ya vifungu vya biblia lakini mimi nilipendezwa sana na baadhi ya mifano hai ya watu waliojaaliwa vipawa mbali mbali katika imani hapa

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam Jamiiforum

Leo naomba kushare kitu fulani ambacho naamini kitatupa experience kubwa kwa sisi vijana wa kileo kutoka kwenu wana jamiiforum wakongwe na ambao mnajua mambo mengi kwenye nchi yetu hii ya Tanzania.

Yapata wiki sasa imepita nilikuwa nahudhuria semina ya Askofu. Mkama wa kanisa la EAGT SAYUNI (Lango la Baraka).

Alifundisha na pia kuombea mambo mengi sana lakini kuna somo moja ambalo kwangu mimi liliniteka sana hisia, Title ya somo ilikuwa ni KARAMA NA VIPAWA VYA ROHO MTAKATIFU KATIKA KANISA.

Licha ya Baadhi ya vifungu vya biblia lakini mimi nilipendezwa sana na baadhi ya mifano hai ya watu waliojaaliwa vipawa mbali mbali katika imani hapa Tanzania, mfano vipawa vya uponyaji, miujiza, utambuzi wa lugha na kadharika.

Eti; Unaambiwa kwamba hapa Tanzania paliwahi kutokea nabii mmoja ambaye alikuwa hadi anapewa pesa na ikulu kwa ajili ya kuliombea taifa na kweli Taifa linatulia, unaambiwa alikuwa anazunguka Tanzania nzima kwa hela ya serikali.

Eti; Unaambia kuliwahi kutokea mchungaji mmoja alikuwa na imani kiasi cha kwamba siku moja alikuwa anaenda site kwake maeneo ya mbezi ya kimara wakakutana na mto akamwambia dereva vuka hapo gari likapaa.

Eti; Unaambiwa hapa Tanzania alishawahi kuja mchungaji mmoja kutoka nnje, lakini kwa Karama aliyopewa na Mungu hofu ya mungu ikatawala mpaka wiki nzima hakuna mtu au kibaka au mwizi aliyekaa kwenye kituo chochote cha polisi Dsm nzima

Sasa wana jamiiforum nimeleta uzi huu ili nyie wakongwe mtupe experience jinsi imani za kweli zilivyokuwa zinatawala miaka hiyo ya 80, 90 mpaka mwanzo wa miaka ya 2000, ili sisi vijana tijifunze.

Natanguliza shukrani.
(Pia karibuni ofisini kwangu Ukonga Banana kwa huduma zote za kisheria, ushauri kuhusu kodi, kusajili biashara, kampuni na Taasisi, strategic project management, business proposal, na all kinds of business consultancy)

Mawasiliano; 0710 782874 & 0693 784004
 
Salaam Jamiiforum

Leo naomba kushare kitu fulani ambacho naamini kitatupa experience kubwa kwa sisi vijana wa kileo kutoka kwenu wana jamiiforum wakongwe na ambao mnajua mambo mengi kwenye nchi yetu hii ya Tanzania.

Yapata wiki sasa imepita nilikuwa nahudhuria semina ya Askofu. Mkama wa kanisa la EAGT SAYUNI (Lango la Baraka).

Alifundisha na pia kuombea mambo mengi sana lakini kuna somo moja ambalo kwangu mimi liliniteka sana hisia, Title ya somo ilikuwa ni KARAMA NA VIPAWA VYA ROHO MTAKATIFU KATIKA KANISA.

Licha ya Baadhi ya vifungu vya biblia lakini mimi nilipendezwa sana na baadhi ya mifano hai ya watu waliojaaliwa vipawa mbali mbali katika imani hapa Tanzania, mfano vipawa vya uponyaji, miujiza, utambuzi wa lugha na kadharika.

Eti; Unaambiwa kwamba hapa Tanzania paliwahi kutokea nabii mmoja ambaye alikuwa hadi anapewa pesa na ikulu kwa ajili ya kuliombea taifa na kweli Taifa linatulia, unaambiwa alikuwa anazunguka Tanzania nzima kwa hela ya serikali.

Eti; Unaambia kuliwahi kutokea mchungaji mmoja alikuwa na imani kiasi cha kwamba siku moja alikuwa anaenda site kwake maeneo ya mbezi ya kimara wakakutana na mto akamwambia dereva vuka hapo gari likapaa.

Eti; Unaambiwa hapa Tanzania alishawahi kuja mchungaji mmoja kutoka nnje, lakini kwa Karama aliyopewa na Mungu hofu ya mungu ikatawala mpaka wiki nzima hakuna mtu au kibaka au mwizi aliyekaa kwenye kituo chochote cha polisi Dsm nzima

Sasa wana jamiiforum nimeleta uzi huu ili nyie wakongwe mtupe experience jinsi imani za kweli zilivyokuwa zinatawala miaka hiyo ya 80, 90 mpaka mwanzo wa miaka ya 2000, ili sisi vijana tijifunze.

Natanguliza shukrani.
(Pia karibuni ofisini kwangu Ukonga Banana kwa huduma zote za kisheria, ushauri kuhusu kodi, kusajili biashara, kampuni na Taasisi, strategic project management, business proposal, na all kinds of business consultancy)

Mawasiliano; 0710 782874 & 0693 784004
usipokuwa makini utapeleka sadaka zote kwa huyo muongo
hao ni motivational speakers
sasa jidanganye, ujichanganye
 
usipokuwa makini utapeleka sadaka zote kwa huyo muongo
hao ni motivational speakers
sasa jidanganye, ujichanganye
Duuuh, Kwahiyo haya Mambo si ya kweli ? Sijui Imani yako lakini mbona kuna muda alikuwa anawakumbusha wachungaji wenzake unamkumbuka mch fulani ? Wanansema ndio, Sasa kama si kweli inamaana wanatunga au ? Au labda wewe nipe experience yako.
 
Msome mtu anaitwa Harris Kapiga mwasisi wa kanisa la UMPT Kwa Sasa FPCT. Ndio alikuwa mwinjilisti maarufu wa kimataifa katika Tanganyika kati ya 1935 mpaka 1945.
 
Msome mtu anaitwa Harris Kapiga mwasisi wa kanisa la UMPT Kwa Sasa FPCT. Ndio alikuwa mwinjilisti maarufu wa kimataifa katika Tanganyika kati ya 1935 mpaka 1945.
Ahsante sana, Unaweza kuwa na link yoyote au kitabu chake kilikuwa kinaitwaje ? economist
 
Salaam Jamiiforum

Leo naomba kushare kitu fulani ambacho naamini kitatupa experience kubwa kwa sisi vijana wa kileo kutoka kwenu wana jamiiforum wakongwe na ambao mnajua mambo mengi kwenye nchi yetu hii ya Tanzania.

Yapata wiki sasa imepita nilikuwa nahudhuria semina ya Askofu. Mkama wa kanisa la EAGT SAYUNI (Lango la Baraka).

Alifundisha na pia kuombea mambo mengi sana lakini kuna somo moja ambalo kwangu mimi liliniteka sana hisia, Title ya somo ilikuwa ni KARAMA NA VIPAWA VYA ROHO MTAKATIFU KATIKA KANISA.

Licha ya Baadhi ya vifungu vya biblia lakini mimi nilipendezwa sana na baadhi ya mifano hai ya watu waliojaaliwa vipawa mbali mbali katika imani hapa Tanzania, mfano vipawa vya uponyaji, miujiza, utambuzi wa lugha na kadharika.

Eti; Unaambiwa kwamba hapa Tanzania paliwahi kutokea nabii mmoja ambaye alikuwa hadi anapewa pesa na ikulu kwa ajili ya kuliombea taifa na kweli Taifa linatulia, unaambiwa alikuwa anazunguka Tanzania nzima kwa hela ya serikali.

Eti; Unaambia kuliwahi kutokea mchungaji mmoja alikuwa na imani kiasi cha kwamba siku moja alikuwa anaenda site kwake maeneo ya mbezi ya kimara wakakutana na mto akamwambia dereva vuka hapo gari likapaa.

Eti; Unaambiwa hapa Tanzania alishawahi kuja mchungaji mmoja kutoka nnje, lakini kwa Karama aliyopewa na Mungu hofu ya mungu ikatawala mpaka wiki nzima hakuna mtu au kibaka au mwizi aliyekaa kwenye kituo chochote cha polisi Dsm nzima

Sasa wana jamiiforum nimeleta uzi huu ili nyie wakongwe mtupe experience jinsi imani za kweli zilivyokuwa zinatawala miaka hiyo ya 80, 90 mpaka mwanzo wa miaka ya 2000, ili sisi vijana tijifunze.

Natanguliza shukrani.
(Pia karibuni ofisini kwangu Ukonga Banana kwa huduma zote za kisheria, ushauri kuhusu kodi, kusajili biashara, kampuni na Taasisi, strategic project management, business proposal, na all kinds of business consultancy)

Mawasiliano; 0710 782874 & 0693 784004
Huyo Mchungaji toka nje ni Mwinjilisti Reinhard Bonnke, alifanyia mkutano wake jijini Dar Es Salaam. Wakati wa kuifunga mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam kipindi hicho alisema kuwa tokea Bonnke atie mguu Dar Es Salaam, hakuna kesi iliyoripotiwa katika vituo vyote vya Polisi Dar Es Salaam.
 
Hakuna jinsi ngoja manabii wa uongo wawapige watz viziiwi na vipofu maana wamechagua hivyo
 
Umeshashikwa subiri Michokonoo naamini akili itakukaa sawa
 
Mkuu achana na hizo mbanga, fanya kazi tafuta hela, mshukuru Mungu kwa uhai na afya, pata beers zako jioni nenda kallale
 
Msome mtu anaitwa Harris Kapiga mwasisi wa kanisa la UMPT Kwa Sasa FPCT. Ndio alikuwa mwinjilisti maarufu wa kimataifa katika Tanganyika kati ya 1935 mpaka 1945.
mbona ni kijana mdogo mchungaji huyo? Miaka hiyo harisi alikuwa mdogo au hajazaliwa
 
Back
Top Bottom