Licha ya Feitoto kuomba apatiwe mapitio ya uamuzi wa swala lake, kwanini Hadi leo TFF haijampatia pitio Hilo ili kuona vipengere vilivyombana?

Hamna jeuri yoyote zaidi ya Mwigulu, Fei kawagaragaza ndio maana hamkuweza hata kuonesha kipengele kimoja kwenye mkataba wake kilichombana, nyie ni mbumbumbu wa mikataba.
Mkuu cas si ipo? Aende akapate haki yake
 
Bayern waliwalipa 30m£ Liverpool mkataba ulikuwa bado kuisha mkuu.
 
Huu uandishi wa kutumia maneno ya ata badala hata na swala badala ya suala ni wa nchi gani? Tunawadhalilisha Walimu wetu jamani.
 
**** wachezaji huumia na kukaa nje kwa mwaka mzima mf Aron Ramsey ila wakirudi wanakuwa moto.
Feisal hawezi rudi uwanjani bila kumalizana na Yanga hilo akae akijua, akiendelea kukaza shingo ban itafata asijidanganye kwamba ikifika 2024 atakua free
 
pitio linafanyika trh 16 acheni kulalamika kwa vitu msivyovijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…