Elections 2015 Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC!

Hakuna mwaka com waliwahi kuwa dilema kama mwaka huu!
 
pangaaa..hatariii..unaandika laikini mangi?
 

Hivi akiukosa urais mwaka huu EL atafika 2020?? Anyway, mnaomuunga mkono endeleeni kujipa moyo
 
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na
pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa
nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda
wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka
huu tu, 2020 si mbali Lowassa akikosa, 2020 ndo
atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa
kuliko unavyodhani ,na NEC iseje ikajidanganya
kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati
mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...
 
Atarudi kwake akalale,japo kisha nunuliwa atawawaomba wauze tembo.
 
Lowasa ni mpango wa Mungu,ni vigumu sana kushindana na Mipango ya Allah

Wewe unaambiwa round ya kwanza hapiti wewe umekazana na ni mpango wa Mungu, una maana gani? Kwamba kutopitishwa kumeisha pangwa na Mungu?
 

acha upuuzi wako tumia akili yako
 
jamani tuacheni masiala tunapoelekea uchaguzi mkuu mwaka huu lowassa
amekuwa akizungumziwaa sana kuliko wagombea wote wa ccm....

Vijana wa boda boda karibia wote wanamuunga mkono lowassa.

Maeneo ya bar na sehemu za vinywaji lowassa amekuwa akizungumziwa kuwa anaonekana akiungwa mkono.....


Yaani sijui nini kimetokea kila mtu lowassa .......kila kona ya nchi lowassa amekuwa akizungumzia wapo wanaompinga ila asilimia kubwa wengi wanaonekana lowassa. ......


Swali jee ikitokea lowassa amekosa hiyo nafasi unadhani wapiga kura wake kura zao watapigia wapi......


Nadhani ccm bila kutumia busara huenda kura za lowassa zikaenda upinzani na ccm ndo tukawa tunaisahau........

Maana ukawa ..... Wameitege vibaya mnoo ccm wanajua ni wapi wataimalizaa
 
Mungu kashasema lowasa ndio rais wa Tanzania ajaye,hawawezi kushindana na nguvu za Mungu
 
Amekuwa gumzo kwa kuwa anataka awe gumzo ili imsaidie kwenye mbio zake za sakafuni. Akikatwa jina kama inavyotarajiwa, maisha yataendelea kama kawaida.

Atapata wasaa mzuri kuangalia afya yake bila shaka.
 
Mungu kashasema lowasa ndio rais wa Tanzania ajaye,hawawezi kushindana na nguvu za Mungu

Hivi wewe una dini au unautani na hilo jina, haya ni uhuru wako kusema pia ukumbuke hilo jina lenyewe 'nipo ambae nipo'. Ndio shida ya kuiba kutaja jina la Bwana Mungu hovyo hovyo. Wenzako hata kusema Mungu waliona kosa hadi wanatumia 'bwana' lakini wewe mwezetu rahisi tu. Hata dini za asili wanamajina na hawaiti hivyo lakini wewe fasta tu. Haya nendelea uhuru ...
 
Mungu kashasema lowasa ndio rais wa Tanzania ajaye,hawawezi kushindana na nguvu za Mungu

Kama JK alikuwa chaguo la Mungu, basi na Lowassa atakuwa chaguaola Mungu.

Swali - ni Mungu yupi?

Ni Mungu wa haki, amani na upendo au ni mungu wa rushwa, ufisadi, wizi, uporaji na ujambazi?

Ni kama ni Mungu wa haki, amani na upendo, Lowassa hana chake!
 
lowasa n kila kitu anatisha sana mm mwenyewe wakimkata kura yangu ukawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…