Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kanyoka ktk pori lenye minyoka hivyo huna madhara yoyote kwa mnyama kama swala kwa kuwa kummeza huwezi.ishu ya richmond unauliza leo wakati alitolea ufafanuzi mkutano mkuu ulotaka kumpoka madaraka jk ndipo mkapa akamuokoa jk.wewe leo unaendelea kubwabwajaMwaka huu tutavunja record nyingine duniani FISADI awe raisi ?Tanzania my country akitaka aupate uraisi namshauri EL awe muwazi atuaambie hadharani deal la Richmond alipiga na nani huko CCM hiko ndo kizingiti kinachomwangamiza
Hii ni thread ya info tip, tuu, hivyo naomba nisiulizwe swali lolote kuhusu hii news tip for your info tuu.
Sema akatwe asiwe mgombea kupitia CCM. Hata asipokatwa hatakuwa Rais wa nchi hiiMimi mwenyewe CCM ndakindaki na katika kitu naomba ni Lowassa akatwe asiwe Rais. Waheshimiwa hakikisheni Lowassa hafiki popote.
Hapo nilipoweka red ni kama am reading something about someone here!! naanza kuhisi nikirudia kusoma mara tatu naweza anza pata taarifa za ziada kumbe!!
NB. Chama cha Mapinduzi ni taasisi huru yenye uwezo wa kufanya shughuli zake kwa uhuru vile ambavyo wataona wenyewe inafaa, ikiwemo vigezo na jinsi ya kuwachagua wagombea wake, ila kwa sisi ambao ni wakereketwa wa mustakali mwema wa nchi hii, kamwe hatutakubali, kuona watu wenye uwezo na wanaokubalika na wengi, wakienguliwa kwa mizengwe tuu, kitu ambacho CCM imekuwa ikikifanya mara nyingu huko nyuma na labda ni kweli ndicho walichopanga kukifanya mwaka huu!, yaani CCM imekuwa ikiwaengua wagombea wazuri kwa mizengwe na ikabaki salama!, lakini this time, nimewasikia baadhi ya wana CCM kindakindaki, kuwa wamejiapiza, this time CCM ikimuengua chaguo lao kwa mizengwe, patachimbika!.
Pasco