Licha ya kuwa na vyuo na graduates wengi wa IT hapa Tz kwanini hakuna maajabu wanayofanya?

Licha ya kuwa na vyuo na graduates wengi wa IT hapa Tz kwanini hakuna maajabu wanayofanya?

Kabla hatuajaenda mbali mtoa mada, wewe kwenye fani yako uliyosomea na/au shughuli unayojishughulisha nayo umefanya nini cha maajabu. Kama hujafanya lolote, ni kwa nini? Ukijibu hilo utajibu swali lako.
 
Kabla hatuajaenda mbali mtoa mada, wewe kwenye fani yako uliyosomea na/au shughuli unayojishughulisha nayo umefanya nini cha maajabu. Kama hujafanya lolote, ni kwa nini? Ukijibu hilo utajibu swali lako.
Sijafika hata chuo.

Nafanya shughuli >> hii <<
 
Ugunduzi unaendana na hali ya maisha..sasa kama umelala njaa hiyo akili ya ugunduzi unatoa wapi?
IT wengi wanakutana na maisha yasiyo IT mtaani wengi wameingia kwenye issue zingine hizo programming sio rahisi kama unavyofikiria
 
Ugunduzi unaendana na hali ya maisha..sasa kama umelala njaa hiyo akili ya ugunduzi unatoa wapi?
IT wengi wanakutana na maisha yasiyo IT mtaani wengi wameingia kwenye issue zingine hizo programming sio rahisi kama unavyofikiria
Kuhusu njaa nakupinga, wanafunzi wapo kibao tu wana mikopo vyuoni na bata wanapiga kimtindo.

Hakuna kitu rahisi ila penye nia pana njia, mfano ni huyo mhasibu alietumia skills zake za IT kutengeneza system ya gesi na akalamba bilioni 50+, kama yeye kaweza licha ya kusomea vitu vingine sidhani kama watu waliosomea IT wana excise ya kushindwa, failure is not an option.

Hizo programming sio rahisi kwetu ambao mambo haya hatujasomea lakini kwa mtu aliesomea ni jambo la ajabu nae kusema ni ngumu.
 
Wengi (sio wote)

Uzi huu wala sina nia ya kuwaponda bali naweka tu awareness ya hali halisi, off course watabe wa IT wapo waliohitimu vyuo ila ni.wachache sana ukilinganisha na wengi ambao ni amateurs ila tu kinachowabeba ni magamba (vyeti)

- IT, computer science, computer engineering, cyber security, data science, n.k kuna vyuo vinatoa hizi fani na wahitimu wapo wengi lakini sioni cha ajabu walichofanya hadi sasa.

Wengi huishia kujua kutumia internet bure ya vpn kwa kujaribu mafaili yaliyotengenezwa na wanaijeria, kuweka mods kwenye games, kushusha software / games / window zilizochakachuliwa, kucheza fifa kwenye ps, kupiga window, kudownload muvi kwa torrents, na vitu vingi ambavyo kiufupi creativity inayohusika ni ndogo,,, yaani happ anajiona anajua kila kitu kwenye pc, wakati kiuhalisia ni beginner.

Naona kuna graduates kibao sana wa haya mambo ila wengi huishia kusubiri kuomba ajira, kuhusu creativity, uvumbuzi ama ku innovate vitu naona bado sana.

Hata yule mtz alieuza system yake ya gesi kwa bilioni 50 sio graduate wa IT, alisomea mambo ya uhasibu ila alikuwa anafanya IT kama ujuzi binafsi.

Edit;

Wengi wanauliza nafanya shughuli ipi,

maelezo >> haya hapa <<
Haya maswali bhana...,
Mbona huulizi madaktari wamebuni kitu gani kipya au phamarcist wameleta dawa gani mpya!?
Jaribu kupitia historia ya silicon valley(au wanaita devil's workshop) unaweza ukapata majibu yako.
Kuna tofauti kubwa sana kufanya vitu vikubwa na kufanya vitu vikubwa viende public au iwe biashara.
Binafsi nawajua maprogrammer wakali wako bongo tena freshers lakini wanaomba intern na kuna mahackers wazuri tu lakini hawako public.
Steve job na Steve Wozniak waliotengeneza apple company mtu ambaye aliyetoa idea ya kitengeneza kampuni ni Steve job Wozniak alikuwa ameajiriwa HP na alikuwa anafanya for funny ile Marc ya kwanza Steve job hakufanya chochote technical lakin aliona hicho alichotengeneza Wozniak kinaweza kuwa biashara .
Steve Jobs na Apple anatajwa kuwa best CEO na entrepreneur lakini alijua electronics lakini hakuwa anaingia kufanya mwenyewe yeye alikuwa analeta ideas kama hizo za iPhone nk.
Manake ni kwamba unaweza kuwa na IT skills kubwa lakini usiwe mzuri wa sales unaweza kutengeneza product lakini usoweze kuiuza.
Sababu nyingine software kwa bongo bado haijasimama kampuni chache zilizopo bado hazina wateja inabidi mtu kama anamtaji akimbilie kuanzisha kampuni ya networking angalau soko lipo.
Ulaya na marekani ukiwa na idea utapresent kwa venture capitalist wakiipenda wanaweka hela..
Huku bongo ni ngumu bado exposure hakuna na mitaji ni midogo .
Fernandez was NALA aliandikia email venture capitalist zaidi ya buku na ilikuwa ngumu licha ya kuwa amepita silicon valley na kwao wanamtaji angalau was kussuport.
Mambo ni mengi lakini kuwa proffersional kwenye carrier hakukufanyi uwe entrepreneur hasa kwenye inchi zetu.
Ukitaka kuamini pitia hustle za kina elon musk, Jeff benzos, Naval Ravikant, hata bilget unasacrifice Vingi ndio maana wengi wanaaishia kuajiriwa.
Tatu sio kila IT, Computer science lazima awe anajua unachotaka ajue kuna watu wanajua graphics tu na wamesoma IT, kuna watu wanajua Networking tu na wamesoma IT, na kuna watu wanajua mantainance tu ukimpa code hajui nk.
Tesla hakufanikiwa kuwa entrepreneur licha ya kuwa na idea nyingi na Kali, Henry Ford alifanikwa licha ya kutokuwa na ujuzi wowote was magari
Sio uzembe alisoma vyote lakin akabase sehemu moja.
Kuna vitu vingi ambavyo siwezi taja vyote lakini mwisho mazingira yanatushape.
 
Wengi (sio wote)

Uzi huu wala sina nia ya kuwaponda bali naweka tu awareness ya hali halisi, off course watabe wa IT wapo waliohitimu vyuo ila ni.wachache sana ukilinganisha na wengi ambao ni amateurs ila tu kinachowabeba ni magamba (vyeti)

- IT, computer science, computer engineering, cyber security, data science, n.k kuna vyuo vinatoa hizi fani na wahitimu wapo wengi lakini sioni cha ajabu walichofanya hadi sasa.

Wengi huishia kujua kutumia internet bure ya vpn kwa kujaribu mafaili yaliyotengenezwa na wanaijeria, kuweka mods kwenye games, kushusha software / games / window zilizochakachuliwa, kucheza fifa kwenye ps, kupiga window, kudownload muvi kwa torrents, na vitu vingi ambavyo kiufupi creativity inayohusika ni ndogo,,, yaani happ anajiona anajua kila kitu kwenye pc, wakati kiuhalisia ni beginner.

Naona kuna graduates kibao sana wa haya mambo ila wengi huishia kusubiri kuomba ajira, kuhusu creativity, uvumbuzi ama ku innovate vitu naona bado sana.

Hata yule mtz alieuza system yake ya gesi kwa bilioni 50 sio graduate wa IT, alisomea mambo ya uhasibu ila alikuwa anafanya IT kama ujuzi binafsi.

Edit;

Wengi wanauliza nafanya shughuli ipi,

maelezo >> haya hapa <<
Robert kiyosaki alisema kuna watu wengi wanajua kupika kuliko Mc Donald lakini ni ngumu sana kutengeneza kampuni kubwa kama hiyo
 
Kuna mtu aliwahi kusema "The secret ingredient is money" usiwaone nchi nyingine wanagundua vitu, wanatumia pesa nyingi sana kuanzia serikali zao, "Internet" imetokana na investment ya serikali ya US pia GPS na vitu chungu nzima.

University zinatumia hela nyingi kwenye research pia hapa kuna funds za serikali kufanya hivyo, wanatumia hela ya uma kuvumbua vitu ambavyo capitalists wanakuja kutuuzia, na mwisho private investors wanatumia hela nyingi sana kuzianzisha na kuzisupport hizi tech kampuni nyingi unazoziona kama Uber wanatumia mabilioni ku "invent" na kuzikuza hizi kampuni, Uber wametumia zaidi ya $25 billion hadi sasa kwa ujumla bado wanapata hasara ya mabilioni.
Hawa mara nyingi wanaitwa VC na ndo wanafund hadi hizi kampuni za tech unazozisikia Afrika na hata bongo.

Na katika personal capacity ukiwachunguza wana tech wengi maarufu utakuta wana "privilege" ambayo sio wengi wanayo, mara nyingi wanatoka kwenye familia tajiri zenye connections hivyo kuingia kwenye entrepreneurship kwao hakuna risk yoyote na wanapata chance nyingi sana hadi eventually wanafanikiwa, mwangalie Musk na Twitter amesababisha loss ya mabilioni hadi sasa, kila siku anaamka na idea kisha inafeli ila anaweza kuendelea kujaribu mpaka atakapopatia tutamwita genius, ana unlimited attempts!, ingekuwa mimi na wewe tumeleta loss tungekuwa tushafukuzwa kazi tunachekwa mtaani.
 
Bongo hakuna Wataalamu, tena ktk sekta ya Cyber Security ndio Mavi mavi kabisa.

Ni hivi, Mtaalam wa Cyber siku zote ni yule aliyejisomesha mwenyew na si yule aliyekwenda CHUO kikuu.

Naomba nieleweke vzr, fatilia Recruitment ya MOSSAD ktk Vitengo vyao vya Cyber.. Wanarecommend self taught Pentesters.

Bongo hapa ni Mapuuzi tu
 
Wengi (sio wote)

Uzi huu wala sina nia ya kuwaponda bali naweka tu awareness ya hali halisi, off course watabe wa IT wapo waliohitimu vyuo ila ni.wachache sana ukilinganisha na wengi ambao ni amateurs ila tu kinachowabeba ni magamba (vyeti)

- IT, computer science, computer engineering, cyber security, data science, n.k kuna vyuo vinatoa hizi fani na wahitimu wapo wengi lakini sioni cha ajabu walichofanya hadi sasa.

Wengi huishia kujua kutumia internet bure ya vpn kwa kujaribu mafaili yaliyotengenezwa na wanaijeria, kuweka mods kwenye games, kushusha software / games / window zilizochakachuliwa, kucheza fifa kwenye ps, kupiga window, kudownload muvi kwa torrents, na vitu vingi ambavyo kiufupi creativity inayohusika ni ndogo,,, yaani happ anajiona anajua kila kitu kwenye pc, wakati kiuhalisia ni beginner.

Naona kuna graduates kibao sana wa haya mambo ila wengi huishia kusubiri kuomba ajira, kuhusu creativity, uvumbuzi ama ku innovate vitu naona bado sana.

Hata yule mtz alieuza system yake ya gesi kwa bilioni 50 sio graduate wa IT, alisomea mambo ya uhasibu ila alikuwa anafanya IT kama ujuzi binafsi.

Edit;

Wengi wanauliza nafanya shughuli ipi,

maelezo >> haya hapa <<
Ndiyo elimu/uwezo wetu
Kwani wewe una maajabu yoyote kwenye fani yako?
 
Kuhusu njaa nakupinga, wanafunzi wapo kibao tu wana mikopo vyuoni na bata wanapiga kimtindo.

Hakuna kitu rahisi ila penye nia pana njia, mfano ni huyo mhasibu alietumia skills zake za IT kutengeneza system ya gesi na akalamba bilioni 50+, kama yeye kaweza licha ya kusomea vitu vingine sidhani kama watu waliosomea IT wana excise ya kushindwa, failure is not an option.

Hizo programming sio rahisi kwetu ambao mambo haya hatujasomea lakini kwa mtu aliesomea ni jambo la ajabu nae kusema ni ngumu.
Kingine unapaswa kujua kuna mtaala wa elimu ni mbovu imagine mtu anaanza kuandika "hello world" chuo kikuu kwenye Introduction to C programming akiwa na miaka 22 wakati mtoto wa kizungu miaka 18 ni full software developer hizo introduction alisoma akiwa na miaka 10 kamwe huwezi kuwa sawa..kamwe na watu wengi huku wanatafuta tu maisha hakuna zile entrepreneurs tech crunches amapo watu wanaweza kuhamisha ugunduzi, IT wengi wametulia wakishapata uhakika wa kazi na maisha wanaachana na wajinga
 
Wengi wanajua kuinstall antivirus (😅 justkidding)
Watabe watu mbona sema ndo lazima ujiongeze.
Shida ni kwamba maisha yetu tunasoma ila tuajiriwe na ukiajiriwa kwenye taasisi zetu hizi majukumu yako ni limited hayakupi uwanja wa kutanua skills
 
Mfano mimi ni programmer ila nakosa sapoti ya team ya kufanya nao kazi excuse zinakua ni nyingi saana
 
IT AU Software Developers/ computer engineers ni wengi sana duniani kote lakini siyo wote ni innovator au wagunduzi, au wajasiriamali.. wengi ni waajiriwa tu kwenye makampuni makubwa na ndogo..

Hii siyo fani ya ugunduzi, japo kuwa unaweza kufanya ugunduzi kama zilivyo kwa fani nyingine
 
Back
Top Bottom