Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Hakuna mwerevu anayeweza kumuita mwingine usalama wa taifa, huu ni ukweli mchungu.PUMBAVU.
Wewe ni nani uje udandie comment yako huku unaacha matter call wazi hivi?
Aya haraka yarudishe ndani kabla sijakasirika
Ni wapumbavu hupenda kuita watu hivyo, na huwaita hivyo wapumbavu wenzao kisha hao wapumbavu hufurahia