Licha ya mabaya na mapungufu yako ni tabia ipi nzuri toka kwako ungependa mwanao aifuate ili imsaidie maishani?

Licha ya mabaya na mapungufu yako ni tabia ipi nzuri toka kwako ungependa mwanao aifuate ili imsaidie maishani?

Huruma mi nkiona m2 ana shda akilia na mimi nalia

Upendo

Kusaidia wenye uhtaji

kuchapa kazi

kujifunza na kujua mambo mbalimbali.
Kukaa peke yng

kutokuwa na marafiki wengi.
 
Kuwa mkweli na kupenda kusoma kwa lengo la kujua vitu vipya kila siku.
Note: siyo kusoma darasani, ni kusoma vitabu, machapisho mitandaoni, n.k.
 
Awe "street smart" with experience and knowledge necessary to deal with the potential difficulties or dangers of life in an urban environment.
Mbona mnasema awe hivi awe vile, mtoa mada anasema tabia zenu nzuri. Na nyie mko hivyo au tabia mnazowaza?
 
Awe mchangamfu na mkakamavu pia aishi maisha ya asili Kuna Raha yake apende kufuga na kulima hasa bustani ya nyumbani hii itasaidia zaidi kuishi kiasili

Kuku
Paka
Mbwa
Na wanyama wafugwao japo Kwa uchache asikose kuwa nao.
 
Kama kuna clone technology ipo active.. natamani sana nijitoe copy kuanzia mazuri mpk mabaya yangu ayarithi 100%.

Sometimes nakaa chini najiuliza kama mm ni Binadam wa kawaida? Kwa mtu anaenifaham vzr hawezi pingana na mimi ktk hii nadharia.
Ndiomaana Mtu aliumbwa na Free will, yaani awe vile anataka, unapoforce mtoto azaliwe kulingana na matakwa na matamanio yako huo ni ubinafsi wa hali ya juu sana.

Muache mtoto azaliwe na akue akijua jema na baya ndipo achague lipi la kufuata, ni uhuru wake na maamuzi yake, usimforce huyo si roboti kwamba atafanana na matamanio yako.

Tungeumbwa vile Mungu anataka yaan mfano wa marobot nahakika dunia isingefika hapa na wengi wenu msingezaliwa.

Acheni watoto waishi kulingana na matamanio yao wao na sio vipaumbele vyenu, mnaharibu uzao.
 
Awe mwaminifu kama mimi ktk ndoa yake
Awe mwenye huruma na moyo wa kusaidia watu wengine bila kujali dini au kabila.
Awe mtu wa diplomasia kama mimi.
Awapende watoto wake na kuwajali.
Asiwe mlevi.
🤝🤝🤝👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom