BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Majina yake halisi ni Tim Bergling amezaliwa septemba 8 mwaka 1989 Stockholm Sweden anafahamika zaidi kwa jina la Avcii alikuwa mkali wa EDM (Electronic Dance Music). Amefariki tarehe 20 Aprili mwaka 2018 Muscat nchini Oman chanzo cha kifo kujiua(suicide).
Alitengeneza Hits nyingi akishirikiana na baadhi ya wasanii kama Levels, Hey brother, addicted, The days, The nights, waiting for love, without you na nyinginezo nyingi.
Mimi BabaMorgan pamoja na ugumu wa maisha plus kusalitiwa kwenye mapenzi bado nina imani kuwa ipo siku ntakuwa na maisha ya furaha kwa hiyo bado naendelea kuomba kwa Mungu anipe miaka mingi ya kuishi ili nije kukutana na yale nayo yatumaini.
Kurudi kwenye mada kwa nini Avcii alijiua licha ya kuwa na mafanikio katika career yake ya muziki?
labda wazee wa intelijensia walifanya yao kwa sababu wanazozijua wao?
Note kujiua ni kifo kama ilivyo vifo vingine kwa maana kama umeandikiwa kufa kwa kujitoa uhai wako mwenyewe basi maandiko yatatimia waweza kuwa na kila kitu ila siku ukaangalia taarifa ya habari ukaona masikini wanateseka ukajifeel guilty ukaamua kujiua.
walizaliwa tarehe moja na Agnes Masogange na walikufa wote tarehe moja
From northern part of Tanzania.
Alitengeneza Hits nyingi akishirikiana na baadhi ya wasanii kama Levels, Hey brother, addicted, The days, The nights, waiting for love, without you na nyinginezo nyingi.
Mimi BabaMorgan pamoja na ugumu wa maisha plus kusalitiwa kwenye mapenzi bado nina imani kuwa ipo siku ntakuwa na maisha ya furaha kwa hiyo bado naendelea kuomba kwa Mungu anipe miaka mingi ya kuishi ili nije kukutana na yale nayo yatumaini.
Kurudi kwenye mada kwa nini Avcii alijiua licha ya kuwa na mafanikio katika career yake ya muziki?
labda wazee wa intelijensia walifanya yao kwa sababu wanazozijua wao?
Note kujiua ni kifo kama ilivyo vifo vingine kwa maana kama umeandikiwa kufa kwa kujitoa uhai wako mwenyewe basi maandiko yatatimia waweza kuwa na kila kitu ila siku ukaangalia taarifa ya habari ukaona masikini wanateseka ukajifeel guilty ukaamua kujiua.
walizaliwa tarehe moja na Agnes Masogange na walikufa wote tarehe moja
From northern part of Tanzania.