Licha ya mafanikio aliyoyapata Avcii nini kilimpelekea kujiua (suicide)?

Licha ya mafanikio aliyoyapata Avcii nini kilimpelekea kujiua (suicide)?

Au kwasababu ulienda kuisikiliza ukiwa tayari kichwani umejenga dhana ya kukutana na kitu kikubwa ndani ya huo wimbo?
itakuwa mkuu ngoja niendelee kuisikiliza huenda nikaielewa
 
Kuna nyimbo yake moja naikubali, kali sana inaitwa wake me up ina 2 billion views youtube kama sikosei.

Jamaa alikuwa ni mtu anayependa kujiuliza maswali juu ya chanzo cha maisha na lengo la kuishi (kuwa duniani).
Alikuwa truth seeker. mtafuta ukweli juu ya maisha na uhalisia wake.
Jamaa alikuwa anapenda music na alikuwa mtu aliyependa kuwa perfect mpaka ikapelekea kuwa anafanya kazi kwa nguvu zote mpaka kupelekea kuwa na stress kupitiliza.

Baada ya kuacha kufanya tours alitaka kuwa na balance kwenye maisha yake kuwa na furaha na kufanya kitu anacho kipenda zaidi yaani Music.
Lakini jamaa bado alikuwa akisumbuliwa na mawazo ya "Kwanini" yaani kutafuta maana ya maisha, furaha nk
So baada ya muda jamaa maji yakamfika shingoni kwamba alishindwa kuishi namna hiyo, so akataka kutafuta amani (peace).
Solution ya kupata amani ya milele ni kufa, so akajitoa roho. Suicide kwa kipande cha chupa.

Pia jamaa alikuwa mtu wa matumizi mabovu ya painkillers na pombe kupitiliza mpaka kufikia hatua ya kucancel two world tours ambazo zingeingiza 2 million usd karibu 5 billion za kitanzania.
Jamaa hakuwa mtu wa biashara so akaiignore hiyo part bali alikuwa mtu aliyependa mashabiki zake kiasi cha kuogopa kuwadissapoint, alikuwa overachiever na perfectionist. na hii ni sababu moja wapo iliyopelekea kifo chake.

Huyu jamaa ni completely me except mimi sinywi pombe na sitocommit suicide, ukitaka kujua ukweli kuhusu maisha na chanzo chake lazima akili yako ivurugike na kama huna mind iliyo stable enough kuhimili Ukweli basi lazima uone kifo ndio option na hutokiogopa.

Kingine ni kwamba Binadamu na maisha ni kama mbwa anayekimbiza gari hatojua ataifanyia nini kama akiikamata.

You see wakati upo masikini au tuseme unapokuwa na plans na ambitions za kufikia mafanikio fulani uliyojiwekea basi tayari unakuwa na purpose ya kukufanya uendelee kuishi ila baada ya kufikia mafanikio uliyojipangia unakuwa hauna tena purpose. There's nothing there, ushafikia mafanikio uliyoyataka na labda kupitiliza now what?, what is the point and where's the point?.

Unaona? mbwa ameikamata gari lakini hajui hata nini cha kuifanya. now hayo ndio maisha yalivyo.
Heath Legder aka The joker himself once said this: I'm a dog chasing cars, I wouldn't know what to do with one if I caught it.
Sawa aviicii wa bongo tumekuelewa...
 
Kuna nyimbo yake moja naikubali, kali sana inaitwa wake me up ina 2 billion views youtube kama sikosei.

Jamaa alikuwa ni mtu anayependa kujiuliza maswali juu ya chanzo cha maisha na lengo la kuishi (kuwa duniani).
Alikuwa truth seeker. mtafuta ukweli juu ya maisha na uhalisia wake.
Jamaa alikuwa anapenda music na alikuwa mtu aliyependa kuwa perfect mpaka ikapelekea kuwa anafanya kazi kwa nguvu zote mpaka kupelekea kuwa na stress kupitiliza.

Baada ya kuacha kufanya tours alitaka kuwa na balance kwenye maisha yake kuwa na furaha na kufanya kitu anacho kipenda zaidi yaani Music.
Lakini jamaa bado alikuwa akisumbuliwa na mawazo ya "Kwanini" yaani kutafuta maana ya maisha, furaha nk
So baada ya muda jamaa maji yakamfika shingoni kwamba alishindwa kuishi namna hiyo, so akataka kutafuta amani (peace).
Solution ya kupata amani ya milele ni kufa, so akajitoa roho. Suicide kwa kipande cha chupa.

Pia jamaa alikuwa mtu wa matumizi mabovu ya painkillers na pombe kupitiliza mpaka kufikia hatua ya kucancel two world tours ambazo zingeingiza 2 million usd karibu 5 billion za kitanzania.
Jamaa hakuwa mtu wa biashara so akaiignore hiyo part bali alikuwa mtu aliyependa mashabiki zake kiasi cha kuogopa kuwadissapoint, alikuwa overachiever na perfectionist. na hii ni sababu moja wapo iliyopelekea kifo chake.

Huyu jamaa ni completely me except mimi sinywi pombe na sitocommit suicide, ukitaka kujua ukweli kuhusu maisha na chanzo chake lazima akili yako ivurugike na kama huna mind iliyo stable enough kuhimili Ukweli basi lazima uone kifo ndio option na hutokiogopa.

Kingine ni kwamba Binadamu na maisha ni kama mbwa anayekimbiza gari hatojua ataifanyia nini kama akiikamata.

You see wakati upo masikini au tuseme unapokuwa na plans na ambitions za kufikia mafanikio fulani uliyojiwekea basi tayari unakuwa na purpose ya kukufanya uendelee kuishi ila baada ya kufikia mafanikio uliyojipangia unakuwa hauna tena purpose. There's nothing there, ushafikia mafanikio uliyoyataka na labda kupitiliza now what?, what is the point and where's the point?.

Unaona? mbwa ameikamata gari lakini hajui hata nini cha kuifanya. now hayo ndio maisha yalivyo.
Heath Legder aka The joker himself once said this: I'm a dog chasing cars, I wouldn't know what to do with one if I caught it.
Hii hali sanasana inawatokea watu wa kimya vichwa vyao vinakuwa vinawaza vingi sana na wanaona wanaishi dunia yao (against the world).
 
Kuna record ya msanii mmoja alitoa kibao cha kuhuzunisha ambacho kilibamba sana afu baadaye mchizi akajiua, baade watu wengi wengi waliosikiliza ile ngoma walijiua.

Mpaka ikapelekea nyimbo kufungiwa kutokana na idadi ya watu kujiua baada ya kusikiliza ile ngoma imekua ikiongezeka
Sema hii dunia tunaishi kama movie afu kuna behind the scenes ambapo Director na crew yake wanaamua nini kitokee.
 
Ukiyafikia mafanikio uliyoyataka, unapambana umaintain palepale.

Sema nyie wasoma vitabu sana na wazee wa kureason sana mna kazi kichizi.
Kuna mwanangu nae naona anaishi kwa shida baada ya kusoma soma vitabu na kuanza kuviishi alivyovisoma.

Sioni shida katika kusoma vitabu lakini je ni kipi cha kweli na kipi si cha kweli. Vitabu vinaelimisha lakini vile vile vinapotosha ni uchambuaji wako tu.
Jambo jepesi wanalazimisha liwe gumu sema ukitazama kimantiki utaona watu wanaojiua wapo mbele ya wakati imagine unaishi ukijua ipo siku utakufa tu yaani wewe fanya ufanyalo lakini kifo kipo palepale.
 
Kuna nyimbo yake moja naikubali, kali sana inaitwa wake me up ina 2 billion views youtube kama sikosei.

Jamaa alikuwa ni mtu anayependa kujiuliza maswali juu ya chanzo cha maisha na lengo la kuishi (kuwa duniani).
Alikuwa truth seeker. mtafuta ukweli juu ya maisha na uhalisia wake.
Jamaa alikuwa anapenda music na alikuwa mtu aliyependa kuwa perfect mpaka ikapelekea kuwa anafanya kazi kwa nguvu zote mpaka kupelekea kuwa na stress kupitiliza.

Baada ya kuacha kufanya tours alitaka kuwa na balance kwenye maisha yake kuwa na furaha na kufanya kitu anacho kipenda zaidi yaani Music.
Lakini jamaa bado alikuwa akisumbuliwa na mawazo ya "Kwanini" yaani kutafuta maana ya maisha, furaha nk
So baada ya muda jamaa maji yakamfika shingoni kwamba alishindwa kuishi namna hiyo, so akataka kutafuta amani (peace).
Solution ya kupata amani ya milele ni kufa, so akajitoa roho. Suicide kwa kipande cha chupa.

Pia jamaa alikuwa mtu wa matumizi mabovu ya painkillers na pombe kupitiliza mpaka kufikia hatua ya kucancel two world tours ambazo zingeingiza 2 million usd karibu 5 billion za kitanzania.
Jamaa hakuwa mtu wa biashara so akaiignore hiyo part bali alikuwa mtu aliyependa mashabiki zake kiasi cha kuogopa kuwadissapoint, alikuwa overachiever na perfectionist. na hii ni sababu moja wapo iliyopelekea kifo chake.

Huyu jamaa ni completely me except mimi sinywi pombe na sitocommit suicide, ukitaka kujua ukweli kuhusu maisha na chanzo chake lazima akili yako ivurugike na kama huna mind iliyo stable enough kuhimili Ukweli basi lazima uone kifo ndio option na hutokiogopa.

Kingine ni kwamba Binadamu na maisha ni kama mbwa anayekimbiza gari hatojua ataifanyia nini kama akiikamata.

You see wakati upo masikini au tuseme unapokuwa na plans na ambitions za kufikia mafanikio fulani uliyojiwekea basi tayari unakuwa na purpose ya kukufanya uendelee kuishi ila baada ya kufikia mafanikio uliyojipangia unakuwa hauna tena purpose. There's nothing there, ushafikia mafanikio uliyoyataka na labda kupitiliza now what?, what is the point and where's the point?.

Unaona? mbwa ameikamata gari lakini hajui hata nini cha kuifanya. now hayo ndio maisha yalivyo.
Heath Legder aka The joker himself once said this: I'm a dog chasing cars, I wouldn't know what to do with one if I caught it.
Nimependa maelezo yako sana,..ukiwa na ambition unapata sababu ya kuishi, ila ukishapata..kunakua hakuna point, maisha hayana maana hata kidogo.

Nawaza sana kwanini tupo, kuna muda mwingine nakaa bar nadrink, natulia hata lisaa naangalia watu wengi nawaona kama vikatuni wapo wanakunywa wengine wanauza ila hawajui wanafanya nini duniani, nasikitika sana.

Life is meaningless at all.
 
Jambo jepesi wanalazimisha liwe gumu sema ukitazama kimantiki utaona watu wanaojiua wapo mbele ya wakati imagine unaishi ukijua ipo siku utakufa tu yaani wewe fanya ufanyalo lakini kifo kipo palepale.
Ndio maana twambiwa everything too much is harmful, hayo mamb ya kuwaza sana kuhusu kusudi lako maishani, uhai na kifo aisee yatakuchanganya hadi mtu unajiua hivi hivi.
 
Majina yake halisi ni Tim Bergling amezaliwa septemba 8 mwaka 1989 Stockholm Sweden anafahamika zaidi kwa jina la Avcii alikuwa mkali wa EDM (Electronic Dance Music). Amefariki tarehe 20 Aprili mwaka 2018 Muscat nchini Oman chanzo cha kifo kujiua(suicide).

Alitengeneza Hits nyingi akishirikiana na baadhi ya wasanii kama Levels, Hey brother, addicted, The days, The nights, waiting for love, without you na nyinginezo nyingi.

Mimi BabaMorgan pamoja na ugumu wa maisha plus kusalitiwa kwenye mapenzi bado nina imani kuwa ipo siku ntakuwa na maisha ya furaha kwa hiyo bado naendelea kuomba kwa Mungu anipe miaka mingi ya kuishi ili nije kukutana na yale nayo yatumaini.

Kurudi kwenye mada kwa nini Avcii alijiua licha ya kuwa na mafanikio katika career yake ya muziki?

labda wazee wa intelijensia walifanya yao kwa sababu wanazozijua wao?

Note kujiua ni kifo kama ilivyo vifo vingine kwa maana kama umeandikiwa kufa kwa kujitoa uhai wako mwenyewe basi maandiko yatatimia waweza kuwa na kila kitu ila siku ukaangalia taarifa ya habari ukaona masikini wanateseka ukajifeel guilty ukaamua kujiua.

walizaliwa tarehe moja na Agnes Masogange na walikufa wote tarehe moja
From northern part of Tanzania.

View attachment 2009316
Kofi cha Avicii kiliniuma kupitiliza, nilimkubali sana. Kuanzia Levels, SOS, Blessed, Wake Me Up, Waiting For Love, Hey Brother n.k.

Mental health is real. Hiyo video ni tribute ya life ya Tim Bergling aka Avicii 💔

HEY BROTHER ina vocal za mwanamuziki wa country Dan Tyminski
Combination ya production ya mwamba (Avicii) na Dan ni amazing siyo poa afu sikia ujumbe wa goma....
 
Back
Top Bottom