Licha ya mambo mengine kuwa magumu kwako Rais Samia, basi tuondolee January Makamba tu!

Licha ya mambo mengine kuwa magumu kwako Rais Samia, basi tuondolee January Makamba tu!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Staki nirudie mambo mengi tu ambayo kila leo yanasemwa na kuandikwa hapa jukwaani kuhusu ughali wa maisha n.k nadhani mh Rais ameamua kuyaacha ili kuandikwe historia nyingine mpya Katika nchi yetu, ambapo watanzania watakuwa kila wakikumbuka kuhusu hayo, basi linatajwa na jina la mh Rais wetu kwamba kulikuwa ni kipindi cha uongozi wake.

Kwa heshima na taadhima, sisi watanzania wa hali ya chini, ambapo maisha yetu yanategemea saaana nishati ya umeme katika kujiletea maendeleo yetu.

Tulifadhaika saana baada tu ya hali ya hewa na mvua kutokunyesha Kwa wakati, ambapo kumesababisha mabwawa ya kuzalishia umeme kukauka na kuleta mgao mkali wa nishati hiyo!

Mitaji yetu imeyumba saaana kutokana na ukweli kuwa, bila nishati hiyo, maisha yanakuwa magumu sana kwetu!

Kwa tarifa iliyotolewa mwezi December mwanzoni kabisa na wizara ya Nishati kuwa, Bwawa la JKNHP litaanza kujazwa tarehe 15/12, ilitutia moyo saaana!

Cha kushangaza ni kuwa, hakuna tena tarifa za kujazwa Kwa bwawa hilo, maana yake ni kwamba, Waziri anayesimamia wizara hii, wananchi tumeanza kuingiwa na hasira naye, ni bora sasa Mh Rais, umtoe hapo Kwa sababu si tu kwamba hafai, bali hakufai wewe na wananchi na taifa kwa ujumla, na bila shaka hata yeye hajifai na ndiyo maana hana anachoweza!
 
Nilichogundua kikwete ni smart sana. Amemficha mwanae kama naibu waziri kwenye wizara zisizo na kelele mitandaoni. Hata wamege vipi ardhi hakuna mtanzania anabwabwaja kuhusu hilo😁😁😁
Long term plan ilikua ni kumpa wizara tamu kama ya madini hivi ikiwa ni katika mkakati wa kumfanya Rais kabisa.

Kwahiyo kumficha huko itakuwa wameona wasimchafue kwa malengo ya muda mrefu ya kuwa Rais.

Kifupi kikwete anataka kuona mwanae akiwa Rais kama Mwinyi anavyoshuhudia wanawe.
 
Long term plan ilikua ni kumpa wizara tamu kama ya madini hivi ikiwa ni katika mkakati wa kumfanya Rais kabisa.

Kwahiyo kumficha huko itakuwa wameona wasimchafue kwa malengo ya muda mrefu ya kuwa Rais.

Kifupi kikwete anataka kuona mwanae akiwa Rais kama Mwinyi anavyoshuhudia wanawe.
Hilo kila mwenye upeo lazima analitambua. Kinacho muangamiza makamba na makamba family ni tamaa ya kuwa ontop kwa haraka sana.
 
Long term plan ilikua ni kumpa wizara tamu kama ya madini hivi ikiwa ni katika mkakati wa kumfanya Rais kabisa.

Kwahiyo kumficha huko itakuwa wameona wasimchafue kwa malengo ya muda mrefu ya kuwa Rais.

Kifupi kikwete anataka kuona mwanae akiwa Rais kama Mwinyi anavyoshuhudia wanawe.
Kifupi kikwete anataka kuona mwanae akiwa Rais kama Mwinyi anavyoshuhudia wanawe.
 
Long term plan ilikua ni kumpa wizara tamu kama ya madini hivi ikiwa ni katika mkakati wa kumfanya Rais kabisa.

Kwahiyo kumficha huko itakuwa wameona wasimchafue kwa malengo ya muda mrefu ya kuwa Rais.

Kifupi kikwete anataka kuona mwanae akiwa Rais kama Mwinyi anavyoshuhudia wanawe.
Kifupi kikwete anataka kuona mwanae akiwa Rais kama Mwinyi anavyoshuhudia wanawe.
 
Miaka 61 ya uhuru, umeme na maji bado changamoto. Haya ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere.
 
Staki nirudie mambo mengi tu ambayo kila leo yanasemwa na kuandikwa hapa jukwaani kuhusu ughali wa maisha n.k nadhani mh Rais ameamua kuyaacha ili kuandikwe historia nyingine mpya Katika nchi yetu, ambapo watanzania watakuwa kila wakikumbuka kuhusu hayo, basi linatajwa na jina la mh Rais wetu kwamba kulikuwa ni kipindi cha uongozi wake.

Kwa heshima na taadhima, sisi watanzania wa hali ya chini, ambapo maisha yetu yanategemea saaana nishati ya umeme katika kujiletea maendeleo yetu.

Tulifadhaika saana baada tu ya hali ya hewa na mvua kutokunyesha Kwa wakati, ambapo kumesababisha mabwawa ya kuzalishia umeme kukauka na kuleta mgao mkali wa nishati hiyo!

Mitaji yetu imeyumba saaana kutokana na ukweli kuwa, bila nishati hiyo, maisha yanakuwa magumu sana kwetu!

Kwa tarifa iliyotolewa mwezi December mwanzoni kabisa na wizara ya Nishati kuwa, Bwawa la JKNHP litaanza kujazwa tarehe 15/12, ilitutia moyo saaana!

Cha kushangaza ni kuwa, hakuna tena tarifa za kujazwa Kwa bwawa hilo, maana yake ni kwamba, Waziri anayesimamia wizara hii, wananchi tumeanza kuingiwa na hasira naye, ni bora sasa Mh Rais, umtoe hapo Kwa sababu si tu kwamba hafai, bali hakufai wewe na wananchi na taifa kwa ujumla, na bila shaka hata yeye hajifai na ndiyo maana hana anachoweza!
Makamba kawekwa na JK na Rostam yeye kazi yake ilikuwa ni kumwapisha pekee hivyo hata yeye hana la kufanya, tuma hili ombi kwa Rostam
 
Back
Top Bottom