Licha ya mapungufu yake lakini Samia Suluhu tunamuheshimu na kumtii kama Rais wa nchi hii,

Licha ya mapungufu yake lakini Samia Suluhu tunamuheshimu na kumtii kama Rais wa nchi hii,

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
images.jpeg


Ni utamaduni wetu huu, Baada ya kula kiapo tayari anakua na mamlaka lazima tumtii na kumuheshimu kama Rais wa Nchi,

Pasitokee mtu yoyote kujifanya ana madharau yake kisa nafasi aliyopo na kuleta upuuzi wake,

imekua hivyo tangu zamani kwanzia Nyerere, Mkapa Mwinyi Kikwete na JPM na hata sasa yapaswa kuwa hivyo, ni ujinga uliokithiri kuona mpaka leo kuna watu wanahisi hawawezi kuongozwa na mwanamke huu ujinga umebaki kwa wachache,

utii ni lazima kwa mamlaka iliyo kuu, huwezi kuongea na Rais kama unamfokea wewe kama nani hasa? unajiona nani?

Mambo yanayoenda tofaut serikalini yanashughulikiwa na kuwekwa sawa na bunge wewe unaitisha kikao cha kabila ukamfokee Rais, sasa bunge mnapitisha halafu baadae ukamfokee Rais?

haikubaliki hata kidogo

Rais anaamini watu kumbe wao wanamzunguka kumlia timing,

Rais umechelewa fagia wote wote wanaojiona wakubwa wakatengeneze magenge yao huko vichochoroni, , toa wote hata awe nani tumechoka na upuuzi sisi, wote wanaokuhujumu toa na tuone sasa watafanyeje!
 
View attachment 2070516

Ni utamaduni wetu huu, Baada ya kula kiapo tayari anakua na mamlaka lazima tumtii na kumuheshimu kama Rais wa Nchi,

Pasitokee mtu yoyote kujifanya ana madharau yake kisa nafasi aliyopo na kuleta upuuzi wake,

imekua hivyo tangu zamani kwanzia Nyerere, Mkapa Mwinyi Kikwete na JPM na hata sasa yapaswa kuwa hivyo, ni ujinga uliokithiri kuona mpaka leo kuna watu wanahisi hawawezi kuongozwa na mwanamke huu ujinga umebaki kwa wachache,

utii ni lazima kwa mamlaka iliyo kuu, huwezi kuongea na Rais kama unamfokea wewe kama nani hasa? unajiona nani?

Mambo yanayoenda tofaut serikalini yanashughulikiwa na kuwekwa sawa na bunge wewe unaitisha kikao cha kabila ukamfokee Rais, sasa bunge mnapitisha halafu baadae ukamfokee Rais?

haikubaliki hata kidogo

Rais anaamini watu kumbe wao wanamzunguka kumlia timing,

Rais umechelewa fagia wote wote wanaojiona wakubwa wakatengeneze magenge yao huko vichochoroni, , toa wote hata awe nani tumechoka na upuuzi sisi, wote wanaokuhujumu toa na tuone sasa watafanyeje!
Nonsense
 
View attachment 2070516

Ni utamaduni wetu huu, Baada ya kula kiapo tayari anakua na mamlaka lazima tumtii na kumuheshimu kama Rais wa Nchi,

Pasitokee mtu yoyote kujifanya ana madharau yake kisa nafasi aliyopo na kuleta upuuzi wake,

imekua hivyo tangu zamani kwanzia Nyerere, Mkapa Mwinyi Kikwete na JPM na hata sasa yapaswa kuwa hivyo, ni ujinga uliokithiri kuona mpaka leo kuna watu wanahisi hawawezi kuongozwa na mwanamke huu ujinga umebaki kwa wachache,

utii ni lazima kwa mamlaka iliyo kuu, huwezi kuongea na Rais kama unamfokea wewe kama nani hasa? unajiona nani?

Mambo yanayoenda tofaut serikalini yanashughulikiwa na kuwekwa sawa na bunge wewe unaitisha kikao cha kabila ukamfokee Rais, sasa bunge mnapitisha halafu baadae ukamfokee Rais?

haikubaliki hata kidogo

Rais anaamini watu kumbe wao wanamzunguka kumlia timing,

Rais umechelewa fagia wote wote wanaojiona wakubwa wakatengeneze magenge yao huko vichochoroni, , toa wote hata awe nani tumechoka na upuuzi sisi, wote wanaokuhujumu toa na tuone sasa watafanyeje!
Pumba tupu
 
Mfumo dume umeota mizizi mahali ambapo elimu ni ya mashaka. Vifo vya wanawake wazee Shinyanga na Mwanza ni matokeo tu ya ujinga ulioota sugu vichwani.

Kitendo cha Bashiru na Pole pole kupewa ubunge wa viti maalum ni suala la heshima kwa kuzingatia namna walivyojisahau kuwa bosi ni binadamu anayeweza kufa muda wowote ule.
 
Mfumo dume umeota mizizi mahali ambapo elimu ni ya mashaka. Vifo vya wanawake wazee Shinyanga na Mwanza ni matokeo tu ya ujinga ulioota sugu vichwani.

Kitendo cha Bashiru na Pole pole kupewa ubunge wa viti maalum ni suala la heshima kwa kuzingatia namna walivyojisahau kuwa bosi ni binadamu anayeweza kufa muda wowote ule.
Chawa wa Bi. Tozo
 
View attachment 2070516

Ni utamaduni wetu huu, Baada ya kula kiapo tayari anakua na mamlaka lazima tumtii na kumuheshimu kama Rais wa Nchi,

Pasitokee mtu yoyote kujifanya ana madharau yake kisa nafasi aliyopo na kuleta upuuzi wake,

imekua hivyo tangu zamani kwanzia Nyerere, Mkapa Mwinyi Kikwete na JPM na hata sasa yapaswa kuwa hivyo, ni ujinga uliokithiri kuona mpaka leo kuna watu wanahisi hawawezi kuongozwa na mwanamke huu ujinga umebaki kwa wachache,

utii ni lazima kwa mamlaka iliyo kuu, huwezi kuongea na Rais kama unamfokea wewe kama nani hasa? unajiona nani?

Mambo yanayoenda tofaut serikalini yanashughulikiwa na kuwekwa sawa na bunge wewe unaitisha kikao cha kabila ukamfokee Rais, sasa bunge mnapitisha halafu baadae ukamfokee Rais?

haikubaliki hata kidogo

Rais anaamini watu kumbe wao wanamzunguka kumlia timing,

Rais umechelewa fagia wote wote wanaojiona wakubwa wakatengeneze magenge yao huko vichochoroni, , toa wote hata awe nani tumechoka na upuuzi sisi, wote wanaokuhujumu toa na tuone sasa watafanyeje!
Umeme 27,000 hadi 250,000+??
 
Back
Top Bottom