Licha ya Namibia kuwa na Watu Milioni 3 na Kutajwa Ndio Nchi Yenye Maendeleo Afrika ila Watu wake Hawana Ajira Kwa asilimia 37%.

Licha ya Namibia kuwa na Watu Milioni 3 na Kutajwa Ndio Nchi Yenye Maendeleo Afrika ila Watu wake Hawana Ajira Kwa asilimia 37%.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Hizi Nchi za Kusini mwa Afrika thnazoambiwaga ni tajiri na zimeendelea zinaonekana Zina hali ngumu sana ya maisha on grounds.

Haiwezekani Nchi Tajiri wa Madini kama Namibia imeshindwa kutafuta Ajira Kwa watu wake Mil.3 tuu mpaka inaongoza Kanda nzima ya Sadc Kwa unemployment rate.

Piga kazi hapa hapa Tanzania utatoboa, huko kwingine ni michisho tuu.

Pia soma Licha ya Botswana Kuwa Nchi Tajiri na Idadi Ndogo ya Watu Milioni 2.5 tuu lakini Wananchi Wake Hawana Ajira
====================================================

NAMIBIA has southern Africa’s highest unemployment rate, the Namibia Statistics Agency (NSA) has revealed.

Unemployment is a measure of the percentage of people who are able and willing to work but cannot find jobs. The NSA’s manager for social statistics Linda Shitenga told The Namibian on Friday the country’s unemployment rate of 36.9% is the highest in the Southern African Development Community (SADC).

This means about 320 450 Namibians are unemployed. Namibia is followed by Eswatini at 34.2% and South Africa at 32.6%, according to statistics from the International Labour Organisation.

The other member states’ unemployment rates are below 30%, including Botswana (24.4%), Lesotho (16.9%), Angola (15.8%) and Zimbabwe (11.5%).

Namibia’s rate has been disputed by economists and experts, who say the state statistics agency’s specific definition of unemployment – which excludes discouraged jobseekers – resulted in a lower figure. They believe an unemployment rate over 50% is more accurate, according to the definition used in 2018.

Economist Omu Kakujaha-Matundu said yesterday the factors that led to the high unemployment rate in Namibia are not much different from those in the region. He said, however, “there are some that are particular to Namibia, such as a very small market and small private sector; competition from South Africa which enjoys economies of scale, resulting in a narrow manufacturing base for Namibia; distance to lucrative markets; and prolonged droughts, which make Namibia highly reliant on food exports and forces labour off the land”.

My take:

Tahadhari Kwa Vijana.Ukiacha Baadhi ya Nchi za North Africa (Arabs) ,hakuna Nchi Nyingine Yeyote Ina nafuu ya Maisha hapa Afrika Kushinda Tanzania.

Piga kazi hapa hapa Tanzania utatoboa,huko kwingine ni michisho tuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250204-123716.jpg
    Screenshot_20250204-123716.jpg
    624.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20250204-123754.jpg
    Screenshot_20250204-123754.jpg
    476.8 KB · Views: 2
Namibia ina viongozi vichwa maji kabisa, unashindwaje ku-manage watu mil 3,je kiongozi huyo akipewa nchi kama Tanzania itakuwaje?, ardhi kubwa ya Kilimo ipo, bend that citizen into agriculture and finance them all.
Nchi zote za Sadc hakuna kitu huko 🤣🤣
 
Hizi Nchi za Kusini mwa Afrika thnazoambiwaga ni tajiri na zimeendelea zinaonekana Zina hali ngumu sana ya maisha on grounds.

Haiwezekani Nchi Tajiri wa Madini kama Namibia imeshindwa kutafuta Ajira Kwa watu wake Mil.3 tuu mpaka inaongoza Kanda nzima ya Sadc Kwa unemployment rate.
View attachment 3224898View attachment 3224899

Tahadhari Kwa Vijana.Ukiacha Baadhi ya Nchi za North Africa (Arabs) ,hakuna Nchi Nyingine Yeyote Ina nafuu ya Maisha hapa Afrika Kushinda Tanzania.

Piga kazi hapa hapa Tanzania utatoboa,huko kwingine ni michisho tuu.

Pia soma Licha ya Botswana Kuwa Nchi Tajiri na Idadi Ndogo ya Watu Milioni 2.5 tuu lakini Wananchi Wake Hawana Ajira
Haya yote ni kwa UONGOZI MAKINI WA CCM.
Nchi hizi zinashindwa kutafsiri ya kuwa kilimo ni ajira, na mabenki yanapaswa kutoa kipaumbele.
 
Hata kuwa na takwimu sahihi ni mafanikio makubwa, kuna nchi ya kusadikika hata ukiwauliza ni asilimia ngapi ya watu hawana ajira wanatoa macho tu, ukiuliza zaidi utajibiwa mitano tena.
Ahahahahah #mitanotena..
 
Hizi Nchi za Kusini mwa Afrika thnazoambiwaga ni tajiri na zimeendelea zinaonekana Zina hali ngumu sana ya maisha on grounds.

Haiwezekani Nchi Tajiri wa Madini kama Namibia imeshindwa kutafuta Ajira Kwa watu wake Mil.3 tuu mpaka inaongoza Kanda nzima ya Sadc Kwa unemployment rate.

Piga kazi hapa hapa Tanzania utatoboa, huko kwingine ni michisho tuu.

Pia soma Licha ya Botswana Kuwa Nchi Tajiri na Idadi Ndogo ya Watu Milioni 2.5 tuu lakini Wananchi Wake Hawana Ajira
====================================================

NAMIBIA has southern Africa’s highest unemployment rate, the Namibia Statistics Agency (NSA) has revealed.

Unemployment is a measure of the percentage of people who are able and willing to work but cannot find jobs. The NSA’s manager for social statistics Linda Shitenga told The Namibian on Friday the country’s unemployment rate of 36.9% is the highest in the Southern African Development Community (SADC).

This means about 320 450 Namibians are unemployed. Namibia is followed by Eswatini at 34.2% and South Africa at 32.6%, according to statistics from the International Labour Organisation.

The other member states’ unemployment rates are below 30%, including Botswana (24.4%), Lesotho (16.9%), Angola (15.8%) and Zimbabwe (11.5%).

Namibia’s rate has been disputed by economists and experts, who say the state statistics agency’s specific definition of unemployment – which excludes discouraged jobseekers – resulted in a lower figure. They believe an unemployment rate over 50% is more accurate, according to the definition used in 2018.

Economist Omu Kakujaha-Matundu said yesterday the factors that led to the high unemployment rate in Namibia are not much different from those in the region. He said, however, “there are some that are particular to Namibia, such as a very small market and small private sector; competition from South Africa which enjoys economies of scale, resulting in a narrow manufacturing base for Namibia; distance to lucrative markets; and prolonged droughts, which make Namibia highly reliant on food exports and forces labour off the land”.

My take:

Tahadhari Kwa Vijana.Ukiacha Baadhi ya Nchi za North Africa (Arabs) ,hakuna Nchi Nyingine Yeyote Ina nafuu ya Maisha hapa Afrika Kushinda Tanzania.

Piga kazi hapa hapa Tanzania utatoboa,huko kwingine ni michisho tuu.
Marekani yenyewe ndio nchi tajiri kwa kila kitu lakin ma homeless wapo kama wote
 
Wanaoisifia Rwanda humu jukwaani ni wanyarwanda, fullstop.
Chukua hii kuhusu Rwanda,

Shirika bora la ndege Africa-RwandaAir

Jiji safi an salama zaidi Africa -Kigali

Mojawapo ya nchi 5 zenye kiwango kidogo zaidi cha rusha Africa-Rwanda

Nchi inayoongoza kwa urahisi wa kufanya biashara Africa Mashariki-Rwanda

Idadi ya watalii kutoka nje kwa mwaka-Milioni 1.5

Haya yote yamefanyika ndani ya miaka 30 tu.
 
Back
Top Bottom