Licha ya Namibia kuwa na Watu Milioni 3 na Kutajwa Ndio Nchi Yenye Maendeleo Afrika ila Watu wake Hawana Ajira Kwa asilimia 37%.

Licha ya Namibia kuwa na Watu Milioni 3 na Kutajwa Ndio Nchi Yenye Maendeleo Afrika ila Watu wake Hawana Ajira Kwa asilimia 37%.

Cwez kushindana na wewe mkuu. Ila nakuambia kwa africa hasa kusin mwa jangwa la sahara. Hakuna nchi watu wake wanaish standard life kama Namibia na ushelisheli au Mauritius, Ukiwa unatembea ndio utajua tofauti na hizi pambio unazoimbiwa hapa nyumbani. Na unavyosikia marekan uchumi wake umekuwa kwa mwaka kwa asilimia moja wakati huo huo Tanzania uchumi umekuwa kwa asilimia 5 usifikiri tumewapita chief.

View: https://x.com/stats_feed/status/1886914381486977464?s=19
 
Chukua hii kuhusu Rwanda,

Shirika bora la ndege Africa-RwandaAir

Jiji safi an salama zaidi Africa -Kigali

Mojawapo ya nchi 5 zenye kiwango kidogo zaidi cha rusha Africa-Rwanda

Nchi inayoongoza kwa urahisi wa kufanya biashara Africa Mashariki-Rwanda

Idadi ya watalii kutoka nje kwa mwaka-Milioni 1.5

Haya yote yamefanyika ndani ya miaka 30 tu.
Hatujui kama wewe ni Mtusi au Mhutu ila tunachokua upo kazini kuinadi Visit Rwanda na ndiyo kwenu
 
Namibia ina viongozi vichwa maji kabisa, unashindwaje ku-manage watu mil 3,je kiongozi huyo akipewa nchi kama Tanzania itakuwaje?, ardhi kubwa ya Kilimo ipo, bend that citizen into agriculture and finance them all.
Nina mashaka sana kama raia wa Namibia wanapenda shule (I said nina wasiwasi, sina hakika ) kama population yao ndio hiyo then why madaktari, ma engineer na hata wahasibu wengi ni kutoka nje ya Namibia? Kuna wabongo wengi sana Namibia, hadi wataalamu wa mazingira, how? Why? Halafu same people wanalalamikia unemployment? Interesting
 
Back
Top Bottom