Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nairobi ni capital city of East Africa.Ni wabongo. Wabongo washamba sana hawana exposure, mbongo akisikia story tu anaamini moja kwa moja. Usiombe afike Nairobi utadhani kafika London.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nairobi ni capital city of East Africa.Ni wabongo. Wabongo washamba sana hawana exposure, mbongo akisikia story tu anaamini moja kwa moja. Usiombe afike Nairobi utadhani kafika London.
Sio Kwa asilimia kama hizo za huku Afrika.Marekani yenyewe ndio nchi tajiri kwa kila kitu lakin ma homeless wapo kama wote
Wewe umefika Namibia uone life standard yao mkuu. Ukilinganisha na wabongo ni kifo na usingizSio Kwa asilimia kama hizo za huku Afrika.
Wao ni chini ya 10% ambayo ni acceptable kiuchumi
Rwanda Air ipate wapi hiyo status?Chukua hii kuhusu Rwanda,
Shirika bora la ndege Africa-RwandaAir
Jiji safi an salama zaidi Africa -Kigali
Mojawapo ya nchi 5 zenye kiwango kidogo zaidi cha rusha Africa-Rwanda
Nchi inayoongoza kwa urahisi wa kufanya biashara Africa Mashariki-Rwanda
Idadi ya watalii kutoka nje kwa mwaka-Milioni 1.5
Haya yote yamefanyika ndani ya miaka 30 tu.
Ndio maana PK anawadunda tu.Nchi zote za Sadc hakuna kitu huko 🤣🤣
Sihitaji kufika na kuona ,natumia takwimu rasmi za Serikali ya Namibia.Wewe umefika Namibia uone life standard yao mkuu. Ukilinganisha na wabongo ni kifo na usingiz
Sawa MnyarwandaNdio maana PK anawadunda tu.
Sasa unaweza kukuta hawana ajira ila elimu hospital miundombinu umeme maji vipo tena kwa bei nzur.Sihitaji kufika na kuona ,natumia takwimu rasmi za Serikali ya Namibia.
Kwani nikifika ndio nini labda?
Huna hela hata vikiwa Kwa bei nzuri utawezaje ku mudu? Kazi ni kipimo Cha utu,binadamu hafugwi.Sasa unaweza kukuta hawana ajira ila elimu hospital miundombinu umeme maji vipo tena kwa bei nzur.
Huna hela kivip nakuambia serikali inaboresha in affordable price. Na unavyosikia ajira wanamaanisha kwa mwaka vyuo vinamwaga mfano elfu 2000 man power lakin ajira ni 500 so wengine wanafanyabiashara, vibarua nk. Mi nina duka windhoek. Na hawa jamaa ukiacha wa Hembu wale wanakandika nywele ukienda huko mikoan wapo vizur sana. Huwez kulinganisha na hapa kwetu sema nchi yao ni kubwa ila jangwa haina watu kabisa.Huna hela hata vikiwa Kwa bei nzuri utawezaje ku mudu? Kazi ni kipimo Cha utu,binadamu hafugwi.
Ndio hawana Ajira Sasa,ni kazi ya Serikali kuwatengebezea mazingira ya Ajira ukiona imeshindwa tafsiri Yale ni kwamba Uchumi umedorora sio tuu wa Ajira Hadi kwenye Huduma ulizotaja.Huna hela kivip nakuambia serikali inaboresha in affordable price. Na unavyosikia ajira wanamaanisha kwa mwaka vyuo vinamwaga mfano elfu 2000 man power lakin ajira ni 500 so wengine wanafanyabiashara, vibarua nk. Mi nina duka windhoek. Na hawa jamaa ukiacha wa Hembu wale wanakandika nywele ukienda huko mikoan wapo vizur sana. Huwez kulinganisha na hapa kwetu sema nchi yao ni kubwa ila jangwa haina watu kabisa.
Mkuu huko kuna bodaboda, wamachinga, wapiga debe stendi na watembeza maji, pipi na ukwaju kwenye madeli barabarani?Huna hela kivip nakuambia serikali inaboresha in affordable price. Na unavyosikia ajira wanamaanisha kwa mwaka vyuo vinamwaga mfano elfu 2000 man power lakin ajira ni 500 so wengine wanafanyabiashara, vibarua nk. Mi nina duka windhoek. Na hawa jamaa ukiacha wa Hembu wale wanakandika nywele ukienda huko mikoan wapo vizur sana. Huwez kulinganisha na hapa kwetu sema nchi yao ni kubwa ila jangwa haina watu kabisa.
Nairobi ni capital city of East Africa.
Bracelets za Kenya hapa bongo zinavaliwa hadi na watu ambao hawajawahi kutoka hata nje ya mkoa wao tu.Sawa ndo mkienda huko lazima mrudi na nyie mmevaa bracelets za bendera ya Kenya na kuongea kama wao? Mbona wao wakija bongo wanaondoka kama walivyofika.
Kuna miji wapo ila kwa mpangilio maalumu sio kama huku kwetu. Na watu ni wachache sana . Kwa mfano jpili windhoek ni kama wamefiwa hakuna mtu njianMkuu huko kuna bodaboda, wamachinga, wapiga debe stendi na watembeza maji, pipi na ukwaju kwenye madeli barabarani?
Kuna nafuu gani? Ni asilimia ngapi ya watanzania wapo unemployed?Yaani nimegundua pamoja na kulaumu CCM ila kumbe walau hapa Tanzania Kuna nafuu kuliko huko kwingine 🤣🤣
Cwez kushindana na wewe mkuu. Ila nakuambia kwa africa hasa kusin mwa jangwa la sahara. Hakuna nchi watu wake wanaish standard life kama Namibia na ushelisheli au Mauritius, Ukiwa unatembea ndio utajua tofauti na hizi pambio unazoimbiwa hapa nyumbani. Na unavyosikia marekan uchumi wake umekuwa kwa mwaka kwa asilimia moja wakati huo huo Tanzania uchumi umekuwa kwa asilimia 5 usifikiri tumewapita chief.Ndio hawana Ajira Sasa,ni kazi ya Serikali kuwatengebezea mazingira ya Ajira ukiona imeshindwa tafsiri Yale ni kwamba Uchumi umedorora sio tuu wa Ajira Hadi kwenye Huduma ulizotaja.
Bracelets za Kenya hapa bongo zinavaliwa hadi na watu ambao hawajawahi kutoka hata nje ya mkoa wao tu.
Labda tujiulize kwa nini Bracelts za bongo hazipendwi sana.