ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Cwez kushindana na wewe mkuu. Ila nakuambia kwa africa hasa kusin mwa jangwa la sahara. Hakuna nchi watu wake wanaish standard life kama Namibia na ushelisheli au Mauritius, Ukiwa unatembea ndio utajua tofauti na hizi pambio unazoimbiwa hapa nyumbani. Na unavyosikia marekan uchumi wake umekuwa kwa mwaka kwa asilimia moja wakati huo huo Tanzania uchumi umekuwa kwa asilimia 5 usifikiri tumewapita chief.
profesa majitaka ukiyanywa utavimbiwa tumboMtoa mada why you gay political ccm.View attachment 3225036
Hatujui kama wewe ni Mtusi au Mhutu ila tunachokua upo kazini kuinadi Visit Rwanda na ndiyo kwenuChukua hii kuhusu Rwanda,
Shirika bora la ndege Africa-RwandaAir
Jiji safi an salama zaidi Africa -Kigali
Mojawapo ya nchi 5 zenye kiwango kidogo zaidi cha rusha Africa-Rwanda
Nchi inayoongoza kwa urahisi wa kufanya biashara Africa Mashariki-Rwanda
Idadi ya watalii kutoka nje kwa mwaka-Milioni 1.5
Haya yote yamefanyika ndani ya miaka 30 tu.
Visit RwandaHatujui kama wewe ni Mtusi au Mhutu ila tunachokua upo kazini kuinadi Visit Rwanda na ndiyo kwenu
Nina mashaka sana kama raia wa Namibia wanapenda shule (I said nina wasiwasi, sina hakika ) kama population yao ndio hiyo then why madaktari, ma engineer na hata wahasibu wengi ni kutoka nje ya Namibia? Kuna wabongo wengi sana Namibia, hadi wataalamu wa mazingira, how? Why? Halafu same people wanalalamikia unemployment? InterestingNamibia ina viongozi vichwa maji kabisa, unashindwaje ku-manage watu mil 3,je kiongozi huyo akipewa nchi kama Tanzania itakuwaje?, ardhi kubwa ya Kilimo ipo, bend that citizen into agriculture and finance them all.