Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Umeoshia la ngapi mkuuNajibia Heading tu.
Huduma ya umeme inakwenda kwa mtu mmojammoja au kwa nyumba? Maana naona umetumia takwimu ya idadi ya watu katika kupata huduma ya umeme badala ya nyumba/majengo.
Ukifikia Kila Jengo umewafikia watu wote.Najibia Heading tu.
Huduma ya umeme inakwenda kwa mtu mmojammoja au kwa nyumba? Maana naona umetumia takwimu ya idadi ya watu katika kupata huduma ya umeme badala ya nyumba/majengo.
Chawa pro max juzi ulinibishia kwamba hakuna umaskini Tanzania kwa nguvu zoteTanesco inasema Nchi nzima Ina wataje wenye waliounganisha umeme Juu kidogo ya 5.2 Milioni kati ya Watanzania zaidi ya Milioni 65 tuliopo. Au Kwa namna nyingine kati ya Jumala ya Majengo Milioni 14.3 yenye umeme ni majengo 5.2mln sawa na asilimia 37% tuu.
Sijajua kama wao Tanesco wanafurahia hii namba au hapana ila idadi hii inatoa picha halisi ya Hali ya maisha duni Kwa Mtanzania.
Just imagine licha ya umeme kufika Kila Kijiji na Kila Mji ten akiwa gharama kubwa lakini connectivity Rate ni ndogo sana.Tulikiwa tunasingizia Umeme kutokuwepo ila kiuhalisia shida sio umeme Bali pesa za kulinganisha na kulipia huo umeme.
View: https://www.instagram.com/p/DE5pkF7MNIx/?igsh=MWVtZjkxdGQ2YTd5OQ==
My Take
Serikali na watu wa mipango Kuna Kasi ya kufanya kukuza kipato Cha mwananchi,mkiendelea na miradi ya mabilioni Ili mpigie picha kuwafurahisha hao hao maskini licha ya kwamba haiwanufaishi Kuna siku mtakuja kuumbuka.
Mr chawa uelewa wako wa mambo ni mdogo sana wahi mirembeUkifikia Kila Jengo umewafikia watu wote.
Sawa, usie mjinga umekuja na suruhisho gani utusaidie sisi wajinga na taifa kwa ujumla 100% tupate umeme?Ndio,inatakiwa Kila Mji uwe na umeme hivyo ni sawa na Kila Mtanzania awe na meme
Unapomsema ni sawa unaonekana ni mjinga sana,Nchi za wenzetu hapa hapa Africa wako 90% and above.
Wewe nyumbu Huwa una shida sana ya uelewa.Sijawahi sema hakuna umaskini Tanzania balo nilisema umaskini wa Tanzania una nafuu kushinda Nchi zingine za Afrika na takwimu nikaweka,Sasa wewe una shida gani kichwani?Chawa pro max juzi ulinibishia kwamba hakuna umaskini Tanzania kwa nguvu zote
Leo unalalamika Tanzania kuna umaskini wahi mirembe chawa
Nimependekeza suluhisho kwamba Serikali ikuze vipato vya Wananchi wake Kwa kutekeleza mipango na miradi ambako kuna watu wengi badala ya kuwa busy na mamiradi makubwa ya matrilioni ambayo hayasidii kukuza kipato.Sawa, usie mjinga umekuja na suruhisho gani utusaidie sisi wajinga na taifa kwa ujumla 100% tupate umeme?
Kwamba juzi ulisema hakuna umaskini leo unasema kuna umaskini akili za wapiWewe nyumbu Huwa una shida sana ya uelewa.Sijawahi sema hakuna umaskini Tanzania balo nilisema umaskini wa Tanzania una nafuu kushinda Nchi zingine za Afrika na takwimu nikaweka,Sasa wewe una shida gani kichwani?
By the way kigezo kikubwa walivhotumia ilikuwa ni upatikanaji wa chakula.
Watu wote wanatakiwa wapate umeme kwenye kaya zao.Akili za mleta mada Ni finyu kabisa (mleta mada ni Nyumbu)
65 million ni pamoja na watoto wa kuanzia miaka 0 mpaka 100+. Kwa hiyo, watu milion 65 = Kaya milion 65 (??)
Labda TANESCO inafurahia hii idadi wa wateja kwa kuwa kama 'watu' wote wangetaka kuunganishwa isingekuwa na umeme wa kutosha.Tanesco inasema Nchi nzima Ina wataje wenye waliounganisha umeme Juu kidogo ya 5.2 Milioni kati ya Watanzania zaidi ya Milioni 65 tuliopo. Au Kwa namna nyingine kati ya Jumala ya Majengo Milioni 14.3 yenye umeme ni majengo 5.2mln sawa na asilimia 37% tuu.
Sijajua kama wao Tanesco wanafurahia hii namba au hapana ila idadi hii inatoa picha halisi ya Hali ya maisha duni Kwa Mtanzania.
Just imagine licha ya umeme kufika Kila Kijiji na Kila Mji ten akiwa gharama kubwa lakini connectivity Rate ni ndogo sana.Tulikiwa tunasingizia Umeme kutokuwepo ila kiuhalisia shida sio umeme Bali pesa za kulinganisha na kulipia huo umeme.
View: https://www.instagram.com/p/DE5pkF7MNIx/?igsh=MWVtZjkxdGQ2YTd5OQ==
My Take
Serikali na watu wa mipango Kuna Kasi ya kufanya kukuza kipato Cha mwananchi,mkiendelea na miradi ya mabilioni Ili mpigie picha kuwafurahisha hao hao maskini licha ya kwamba haiwanufaishi Kuna siku mtakuja kuumbuka.
Ikuzaje vipato vya wananchi ilihali ulisema hakuna umaskini TanzaniaNimependekeza suluhisho kwamba Serikali ikuze vipato vya Wananchi wake Kwa kutekeleza mipango na miradi ambako kuna watu wengi badala ya kuwa busy na mamiradi makubwa ya matrilioni ambayo hayasidii kukuza kipato.
Juzi tuu hapo kuna mdau alisema kukata Kodi salary ya 500k sio sawa na Mimi naunga mkono Kwa sababu 90% ya Watumishi wa Umma wako kundi Hilo.
Sasa hao ni Watumishi,vipi raia wa Vijijini ambao Hali ni Tete zaidi?
Sijawahi sema Nchini hakuna umaskini,una tatizo la kuelewa,Rudi ukasome.mada yangu upya.Kwamba juzi ulisema hakuna umaskini leo unasema kuna umaskini akili za wapi
Mbona juzi ulitumia nguvu kubwa kubisha
Hizi ndio habari wenzio hawataki kuzisikia kuelekea October,Sifia mkuu hata km ni ujinga,nchi kubwa hii na kuna watu bado wamelala na TBC taifa aka RTD,huwaambii kitu kabisa wao wanasikia mazuri tu wasioyaonaTanesco inasema Nchi nzima Ina wataje wenye waliounganisha umeme Juu kidogo ya 5.2 Milioni kati ya Watanzania zaidi ya Milioni 65 tuliopo. Au Kwa namna nyingine kati ya Jumala ya Majengo Milioni 14.3 yenye umeme ni majengo 5.2mln sawa na asilimia 37% tuu.
Sijajua kama wao Tanesco wanafurahia hii namba au hapana ila idadi hii inatoa picha halisi ya Hali ya maisha duni Kwa Mtanzania.
Just imagine licha ya umeme kufika Kila Kijiji na Kila Mji ten akiwa gharama kubwa lakini connectivity Rate ni ndogo sana.Tulikiwa tunasingizia Umeme kutokuwepo ila kiuhalisia shida sio umeme Bali pesa za kulinganisha na kulipia huo umeme.
View: https://www.instagram.com/p/DE5pkF7MNIx/?igsh=MWVtZjkxdGQ2YTd5OQ==
My Take
Serikali na watu wa mipango Kuna Kasi ya kufanya kukuza kipato Cha mwananchi,mkiendelea na miradi ya mabilioni Ili mpigie picha kuwafurahisha hao hao maskini licha ya kwamba haiwanufaishi Kuna siku mtakuja kuumbuka.
Akili hana huyo mleta mada na pia mbishi huyo hatariNi sawa kabisa na hakuna shida.
We ulitegemea kila mtu ana mji wake peke yake hivyo anatakiwa awe na umeme wake siyo?
Kuna nyumba zinahold 3-30 people na hata zaidi hivyo ukipiga ratio ni watu wachache sana hawana umeme bongo hii.
Huyu jamaa kwenye uzi flani alinibishia hakuna umaskini leo hii analalamika kuna umaskini ni moja ya vijana wa ajabu sanaLabda TANESCO inafurahia hii idadi wa wateja kwa kuwa kama 'watu' wote wangetaka kuunganishwa isingekuwa na umeme wa kutosha.
Kwa taarifa hizi za majengo yaliyokamilika yapo 10K maana yake asilimia 50% ya Watanzania wameunganishwa umemeData za majengo ni uhakika sana tena hapo ni yale yaliyokamilika na ambayo hayajakamilika kutoka kwenye sensa.
Kwamba Kila Mtanzania anatakiwa kufikwa na umeme kwenye kaya yake View attachment 3204136