Licha ya ushahidi wa AL Jazeera, kwanini Hamas hawataki kuomba msamaha familia za Wapalestina 500 waliofariki kwa kombora lao kupata hitilafu?

Licha ya ushahidi wa AL Jazeera, kwanini Hamas hawataki kuomba msamaha familia za Wapalestina 500 waliofariki kwa kombora lao kupata hitilafu?

uchunguzi umeshamalizika na ushahidi ni video iliyokuwa inarushwa AL JAZEERA 18:59 dakika 10 kabla ya wao kuripoti hospitali imelipuliwa
Wamarekani huwa hawakurupiki.Joe Bidden alishasema ni upande mwingine ndio umeshambulia na Sio Israeli 🤔
 
Sababu unafungua mathread mengi na umeamua kuwa propagandist, kila sehemu waki expose uongo wako unafungua uzi mwengine na mimi kila uzi nitakufuata.

1. Israel walkiri kupiga hilo Bomu na Msemaji wa IDF kapost Tweeter baadae baada ya Backlash wakafuta

View attachment 2785864

2. Bomu limetupwa na Ndege na ukubwa wa Bomu Hamas hawana, bomu Linaloua watu 500 na kujeruhi maelfu wanamgambo hawana, hata kufichika halifichiki.

3. Aina ya Mlipuko na Sauti watu washalijua ni Bomu gani Jdam.

4. Leo Tena Wamepiga sehemu nyengine same Voice na bomu la jana imesikika ni Airstrike
Mmmmmmh, tangu lini Hananya Naftali akawa ni msemaji?n
Yule ameenda vitaani na account yake inaendeshwa na mkewe kwa kipindi hiki.
 

Attachments

  • 20231011_063316.jpg
    20231011_063316.jpg
    137.7 KB · Views: 2
Si kila kombora linalorushwa na Hamas huwa linafikia target, Kuna mengine yanashindwa kuvuka yanadondokea ndani ya Gaza, Kwa lugha ya kitaalamu inaitwa "Misfire".

Ifuatayo ni Video inayoonyesha kilichotokea, chanzo ni cha kuamika AL - JAZEERA

18:59 - Kombora linalorushwa kuelekea Israel lina misfire angani
18:59 - Hospitali ya Gaza inalipuka
View attachment 2785845

Kwanini Hamas hawataki kuziomba msamaha familia 500 zilizolipuliwa kwa Kombora lao kupata misfire
Kuna sehemu wamesilika wakisema "yalah!!! yalah!!!"
 
Kuna sehemu wamesilika wakisema "yalah!!! yalah!!!"
Wewe kwako akiingia mwizi na kukuonesha kisu hata mkeo unamwambia amchukue. Palestina wanapigania ardhi yao na masjid Aqswa kwa miaka mingi sasa
 
Mmmmmmh, tangu lini Hananya Naftali akawa ni msemaji?n
Yule ameenda vitaani na account yake inaendeshwa na mkewe kwa kipindi hiki.
anareport toka Vitani na IDF na Video Ame upload mwenyewe nimeweka hapo juu na hapa nakuekea

Naona mnabishana mpaka na Naftali mwenyewe wa Kutetea.
 
Si kila kombora linalorushwa na Hamas huwa linafikia target, Kuna mengine yanashindwa kuvuka yanadondokea ndani ya Gaza, Kwa lugha ya kitaalamu inaitwa "Misfire".

Ifuatayo ni Video inayoonyesha kilichotokea, chanzo ni cha kuamika AL - JAZEERA

18:59 - Kombora linalorushwa kuelekea Israel lina misfire angani
18:59 - Hospitali ya Gaza inalipuka
View attachment 2785845

Kwanini Hamas hawataki kuziomba msamaha familia 500 zilizolipuliwa kwa Kombora lao kupata misfire
Wapi video mbona inaongelea mambo mengine unawadanganya wajinga wenzako ambao hawahamu lugha
 

Attachments

  • Screenshot_2023-10-19-17-19-55-616_com.facebook.katana.jpg
    Screenshot_2023-10-19-17-19-55-616_com.facebook.katana.jpg
    666.3 KB · Views: 2
Kwa hivyo definition ya ugaidi anayo mtu kichwani mwake
Ugaidi ni namna unavyoAct hufuati sheria zozote zilizoanishwa mfano wasiojulikana wale wa CCM ni magaidi AU anachokifanya Putin Ukraine ni ugaidi🤔
 
Ugaidi ni namna unavyoAct hufuati sheria zozote zilizoanishwa mfano wasiojulikana wale wa CCM ni magaidi AU anachokifanya Putin Ukraine ni ugaidi🤔
Kwanini umtaje Putin na kuwaacha AMERICAN?
 
Unafikiri wana akili hao basi........walisema alwa akbar huku wanaua watu bila hatia ..........walivyo lipiziwa wanasema pray for Palestine.........alwa akbar asemwi tena..........wamebaki kutia huruma tu kujifanya wanaonewa
Ni mapumbafu na malofa
 
Back
Top Bottom