Licha ya ushahidi wa AL Jazeera, kwanini Hamas hawataki kuomba msamaha familia za Wapalestina 500 waliofariki kwa kombora lao kupata hitilafu?

Licha ya ushahidi wa AL Jazeera, kwanini Hamas hawataki kuomba msamaha familia za Wapalestina 500 waliofariki kwa kombora lao kupata hitilafu?

Si kila kombora linalorushwa na Hamas huwa linafikia target, Kuna mengine yanashindwa kuvuka yanadondokea ndani ya Gaza, Kwa lugha ya kitaalamu inaitwa "Misfire".

Ifuatayo ni Video inayoonyesha kilichotokea, chanzo ni cha kuamika AL - JAZEERA

18:59 - Kombora linalorushwa kuelekea Israel lina misfire angani
18:59 - Hospitali ya Gaza inalipuka


View attachment 2785845



Kwanini Hamas hawataki kuziomba msamaha familia 500 zilizolipuliwa kwa Kombora lao kupata misfire

Kijana huko Hakuna aljazeera peke yao wanaorusha kuna vyombo vya habari zaidi ya 10
Kuna vyengine vimethibitisha kuwa hilo ni bomu la kimarekani la MK 8 wanalorusha wayahudi
 
Hi vita itawaumiza sana watu wa palestina. Hawa magaidi wa hezbula na hamasi wasipo zuiliwa watafanya ile nchi ikaliwe na israel

MFumo wa kiulinzi wa israel upo strong sana kuweza kuzuia ICBM na missile za masafa ya kati

Naona huruma sana kwa rai wa kawaida vile wanaumia ila Lawama zangu zote naziweka kwa Kikundi cha kigaidi Hamasi


[19/10 05:06] Abdulla Said:
View: https://youtube.com/shorts/sJ1pfMoXbK8?si=IcDPYK7gxw4zwSOA
[19/10 05:09] Abdulla Said:
View: https://youtube.com/shorts/ZBcP4Z6vu_0?si=UGUt7XtJm5lQOihi
[19/10 05:10] Abdulla Said:
View: https://youtube.com/shorts/f000aP3rsNI?si=06pEZztW_7qJ3rCV
 
Alianza yule aliyekamatwa akiwa na kijana aliyeiweka chupi begani kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane

Unaabudu mtu anayefanya huu uchafu? MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Hyo ndo furaha ya muisrael.kwa hyo endeeleni kufurahi.nashangaa Netanyahu anakana .anakana nini sasa wakati furaha yake ni kuona wafelestine wakifa.wapeni maua yao wakiwa wapo hai.ili wakifa msilie bali mfurahi.
Wakijilipua wenyewe pia waseme, na siyo kusingizia wengine

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Si kila kombora linalorushwa na Hamas huwa linafikia target, Kuna mengine yanashindwa kuvuka yanadondokea ndani ya Gaza, Kwa lugha ya kitaalamu inaitwa "Misfire".

Ifuatayo ni Video inayoonyesha kilichotokea, chanzo ni cha kuamika AL - JAZEERA

18:59 - Kombora linalorushwa kuelekea Israel lina misfire angani
18:59 - Hospitali ya Gaza inalipuka


View attachment 2785845



Kwanini Hamas hawataki kuziomba msamaha familia 500 zilizolipuliwa kwa Kombora lao kupata misfire
BREAKING: HEAD OF CHURCHES IN JERUSALEM CONDEM ISRAELI IOF FOR BOMBING OF AL-AHLI BAPTIST HOSPITAL

They said about the bombing:

“We are people of the cross, we are not military experts. But I want to tell you something. There are many buildings, many houses, many places that have been bombed by Israel. And these are facts”

They also released a letter condemning the “brutal attack on our Al Ahli Anglican Episcopal Hospital in Gaza during the Israeli airstrikes there.

“Hospitals are “sanctuaries,” the letter reads, “yet this assault has transgressed those sacred boundaries”
 
Mate ya nini wakati wino upo, chanzo cha video ni Al Jazeera channel inayowasapoti Hamas,

safari ya uongo huwa ni fupi sana, jana Al Jazeera wamepiga sana kelele kudanganya watu ila mwisho wa siku wameumbuka, ushahidi umepatikana humo humo kwenye channel yao.
Nilikuwa naangalia Aljazeera walijaribu pia kulichambua hili swala kwa kualika wataalamu wenye ujuzi wao katika nyanja hii, mmoja wa wataalamu hao anasema lile bomu kama lingerushwa kutokea kwenye ndege na Israel basi eneo lilipodondokea pangegeuka kifusi na hakuna jengo lingesalimika.Kila mwendesha mjadala alivyotaka kutwist mjadala yule mtaalamu alikuwa anamrudisha pale pale kuwa wajikite kwenye hiyo mada waliyoombwa waijadili.Ilikuwa inavutia kuangalia lakini naona Aljazeera ule mjadala hawakuupenda na tangu hapo wameachana na hilo swala.Sasa hivi wamejikita kwenye coverage ya maandamano huko Middle East kupinga vita
 
Waba akili sana,ndio maana wamepeleka msiba mzito kwa raia wasio na hatia na wasio weza kuwalinda.
Wa afrika kusini wangekuwa na akili hiyo, wasingeweza kujikomboa kutoka kwa makaburu

Hakuna mpalestina hata mmoja anayeilaumu Hamas. Vita ya ukombozi na kutafuta haki, huwa ushindi haupatikani kwa mabomu na lisasi. Kama Israel anafikilia kuwauwa wapalestina kiasi hicho, kuharibu makazi yao na miundombinu ndio ushindi kwao, basi wanajidanganya sana. Wapo against na hitoria.

Wapalestina kuuwawa kwa wingi namna hiyo leo sio mara yao ya kwanza na haitakuwa ya mwisho, hayo ndio maisha yao na hawata stop kupigania haki yao. Kama Muisrael anataka kupata amani ya kudumu, anatakiwa kuwauwa wapalestina wote asiache hata mmoja.
 
Hi vita itawaumiza sana watu wa palestina. Hawa magaidi wa hezbula na hamasi wasipo zuiliwa watafanya ile nchi ikaliwe na israel

MFumo wa kiulinzi wa israel upo strong sana kuweza kuzuia ICBM na missile za masafa ya kati

Naona huruma sana kwa rai wa kawaida vile wanaumia ila Lawama zangu zote naziweka kwa Kikundi cha kigaidi Hamasi
Mimi ningeshauri wananchi wa gaza wawataje tu majina yao au wawatoe wawapeleke kwa waisraili wakapate wanacho stahili.

Kwanini nasema ivyo!?

Ukiangalia kilichotokea kwenye ile fiesta ya waisraeli aki hautokaa utamani ata kumshika mkono mpalestina wa gaza.

Aise awa jamaa niwakatili mno yani walikua wanauwa wanachana mabox yani hawasikii uchungu😥.

Awa jamaa uwa wanajiamulia tu kufanya mauwaji sasa hii ya sasa imekua ngumu mno, wanapumulia bahasha za kaki.

Mimi nikikumbuka tuu lile bomu walilotupiga hapa bongo! Ivi kwanini walitufanyiaga vile?

Tuliwakoseaga nini?

Mimi najua mauwaji yaliyotokea Israel nakupelekea vita kushamiri yangetokea Bongo, ingeishia kama yale mabomu walio tupiga na hatuku chukua hatua yoyote ile.

haya mauwaji waliyoyafanya Israel wiki moja ni yakikatili mno, wameuwa watoto, wajawazito, vijana ndo usiseme video inaonyesha walivyokua wanachomwa moto ndani ya magari yao wakiwa hai😥 aise inatisha mno, wameuwa mno wameuwa na silaha nzito na za jadi mpaka majembe jamani, mtu anakatwa kichwa na jembe😫.

Mimi naona wapate tu adhabu, maana watazoea vibaya tukiwakalia kimya.

Alafu raia wa gaza nao nikama wanawa defend maana kinachotakiwa kufanywa nikuwatoa hamas walipo nakuwamaliza.

Ila wao wanazidi kuwaficha, na hamas wanazidi tuma rocket Israel!
Ivi kweli?

mimi ni muslim lakini sipendagi tu tokea watupige bomu bongo na wanavyovifanya kwa wabongo wengine nchini kwao, na walichokifanya israel kweli amna wakuwafundisha moral waisrael kwa mitabia ya hawa jamaa
 
Mimi ningeshauri wananchi wa gaza wawataje tu majina yao au wawatoe wawapeleke kwa waisraili wakapate wanacho stahili.

Kwanini nasema ivyo!?

Ukiangalia kilichotokea kwenye ile fiesta ya waisraeli aki hautokaa utamani ata kumshika mkono mpalestina wa gaza.

Aise awa jamaa niwakatili mno yani walikua wanauwa wanachana mabox yani hawasikii uchungu😥.

Awa jamaa uwa wanajiamulia tu kufanya mauwaji sasa hii ya sasa imekua ngumu mno, wanapumulia bahasha za kaki.

Mimi nikikumbuka tuu lile bomu walilotupiga hapa bongo! Ivi kwanini walitufanyiaga vile?

Tuliwakoseaga nini?

Mimi najua mauwaji yaliyotokea Israel nakupelekea vita kushamiri yangetokea Bongo, ingeishia kama yale mabomu walio tupiga na hatuku chukua hatua yoyote ile.

haya mauwaji waliyoyafanya Israel wiki moja ni yakikatili mno, wameuwa watoto, wajawazito, vijana ndo usiseme video inaonyesha walivyokua wanachomwa moto ndani ya magari yao wakiwa hai😥 aise inatisha mno, wameuwa mno wameuwa na silaha nzito na za jadi mpaka majembe jamani, mtu anakatwa kichwa na jembe😫.

Mimi naona wapate tu adhabu, maana watazoea vibaya tukiwakalia kimya.

Alafu raia wa gaza nao nikama wanawa defend maana kinachotakiwa kufanywa nikuwatoa hamas walipo nakuwamaliza.

Ila wao wanazidi kuwaficha, na hamas wanazidi tuma rocket Israel!
Ivi kweli?

mimi ni muslim lakini sipendagi tu tokea watupige bomu bongo na wanavyovifanya kwa wabongo wengine nchini kwao, na walichokifanya israel kweli amna wakuwafundisha moral waisrael kwa mitabia ya hawa jamaa
Rubbish comment. Eti wapalestina wawataje kwa majina Hamas. Unafikili wapalestina wanatumia mavi kufikiri kama wewe?
 
Hawana akili wakati ndo wanawapiga miti dada na mabinti zako, na ndo wana kusaidia kumpiga miti mkeo maana ww kazi huwezi kwa sababu ww ni mchicha.
Sawa shoga naona umewataja mabwana zako kwa ufasaha
 
Hawa watu jamii ya "waisilamu" ni wakorofi alafu walalamishi balaa.
Kila kona walipo Dunia hii wao hulalamika wanaonewa.
Sishabikii vita ila kwa hili waparestina ni wakorofi.
Wao ndio wakwanza kuvamia Israel na kuuwa hata watu wasio na hatia.
Waislamu Wenzao Dunia yote walifurahia yale mauaji bila kificho.

Sasa wamekutana na Yahudi mzee wa jino kwa jino km wao. Sasa hivi wanalalamika wanaonewa.
Au ndio ile ,'ukinipiga unanionea na ukiniacha unaniogopa"
Haki inawezekana kupatikana bila vita.
wajifunze kuishi na jamii zingine
 
Unaabudu mtu anayefanya huu uchafu? MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Wewe unaabudu mtu aliyekamatwa na kijana wa kiume akiw uchi huku chupi kaiweka kwenye bega , kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane wakifanya kitu gani ?
 
Tatizo mkiambiwa kitu na hao Hamas mnakikubali kama kilivyo bila research kisa tu mnafanana imani.

ona sasa umeshadanganywa kwamba Hananya Naftali ni Msemaji wa IDF,
Kumbe ni nani?
We kobe unapata faida gani kupiga propaganda kwenye vitu kama hivi?

Yani udini tu ndio unakufanya uwe na roho mbaya kiasi hicho?

Huo ushabiki maandazi ni bola ungeuwelekeza kwenye Yanga na Simba, sio kwenye vita kama hiyo.
 
Nilikuwa naangalia Aljazeera walijaribu pia kulichambua hili swala kwa kualika wataalamu wenye ujuzi wao katika nyanja hii, mmoja wa wataalamu hao anasema lile bomu kama lingerushwa kutokea kwenye ndege na Israel basi eneo lilipodondokea pangegeuka kifusi na hakuna jengo lingesalimika.Kila mwendesha mjadala alivyotaka kutwist mjadala yule mtaalamu alikuwa anamrudisha pale pale kuwa wajikite kwenye hiyo mada waliyoombwa waijadili.Ilikuwa inavutia kuangalia lakini naona Aljazeera ule mjadala hawakuupenda na tangu hapo wameachana na hilo swala.Sasa hivi wamejikita kwenye coverage ya maandamano huko Middle East kupinga vita
Aljazeera na waarabu ni kama TBC na CCM.
 
Nyinyi si mnaolewa na Wachungaji wa kizungu? Au vipi


Ni kosa kuabudu huyu jamaa: ADF rebels kill two foreign tourists, Ugandan in Queen Elizabeth park
Wewe unaabudu mtu aliyekamatwa na kijana wa kiume akiw uchi huku chupi kaiweka kwenye bega , kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane wakifanya kitu gani ?

Yaani mtu unabinuka na likanzu kuabudu mtu mwenye huu uchafu: MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Hii ni tweet ya aliyewahi kuwa msaidizi wa Benjamin Netanyahu baada ya Israel kupiga Hospitali. Baada ya reaction ya ulimwengu kuwa kubwa na kugundua kuwa ametoa boko akaifuta.
1697703964097.png
 
Back
Top Bottom