Licha ya Wanyakyusa kuwa juu kwa muda mrefu kwa mikoa ya nyanda za juu kusini kielimu, kisiasa, vyeo vya juu, n.k kwanini uraisi hawusogelei ?

Licha ya Wanyakyusa kuwa juu kwa muda mrefu kwa mikoa ya nyanda za juu kusini kielimu, kisiasa, vyeo vya juu, n.k kwanini uraisi hawusogelei ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kwa mikoa yan kanda ya juu kusini kuna Mbeya, Iringa, Njombe , Rukwa na Songwe.

Hakuna shaka kwamba unapokuja ukanda wa nyanza za juu kusini kwa muda mrefu wanyakyusa ndio wamekuwa kabila lenye wasomi wengi zaidi, limeshatoa wanasiasa kibao waliofikia ngazi za juu, watumishi ambao wameshika nyadhifa muhimu serikalini, n.k.

Kwa siku hizi walioongezeka kwenye huu ukanda ni wakinga lakini hawa wameanza kufahamika miaka ya majuzi hap na zaidi kwenye biashara na kiukweli hata Kariakoo hapo wamejaa na hata Mbeya washaiteka ila ni kwa uchumi tu lakini bado wapo nyuma kwenye siasa, elimu, kuwa kwenye system, kuwa na vyeo serikalini, n.k.

Ni kwanini linapokuja suala la urais hakuna hata aliewahi hata kushika namba 2 kura za maoni. ?
 
Kwa mikoa yan kanda ya juu kusini kuna Mbeya, Iringa, Njombe, Sumbawanga na Ruvuma.


Hakuna shaka kwamba unapokuja ukanda wa nyanza za juu kusini kwa muda mrefu wanyakyusa ndio wamekuwa kabila lenye wasomi wengi zaidi, limeshatoa wanasiasa kibao waliofikia ngazi za juu, watumishi ambao wameshika nyadhifa muhimu serikalini, n.k.

Kwa siku hizi walioongezeka kwenye huu ukanda ni wakinga lakini hawa wameanza kufahamika miaka ya majuzi hap na zaidi kwenye biashara na kiukweli hata Kariakoo hapo wamejaa na hata Mbeya washaiteka ila ni kwa uchumi tu lakini bado wapo nyuma kwenye siasa, elimu, kuwa kwenye system, kuwa na vyeo serikalini, n.k.

ni kwanini linapokuja suala la uraisi jitihada zimehonga mwamba. ?
Wewe usitulishe matango pori. Ruvuma iko Kanda ya Kusini yenye mikoa ya Mtwara, Ruvuma na Lindi. Aidha, Kanda ya nyanda za juu kusini ni Mbeya, Iringa, Njombe , Rukwa na Songwe.
 
Kwa mikoa yan kanda ya juu kusini kuna Mbeya, Iringa, Njombe, Sumbawanga na Ruvuma.


Hakuna shaka kwamba unapokuja ukanda wa nyanza za juu kusini kwa muda mrefu wanyakyusa ndio wamekuwa kabila lenye wasomi wengi zaidi, limeshatoa wanasiasa kibao waliofikia ngazi za juu, watumishi ambao wameshika nyadhifa muhimu serikalini, n.k.

Kwa siku hizi walioongezeka kwenye huu ukanda ni wakinga lakini hawa wameanza kufahamika miaka ya majuzi hap na zaidi kwenye biashara na kiukweli hata Kariakoo hapo wamejaa na hata Mbeya washaiteka ila ni kwa uchumi tu lakini bado wapo nyuma kwenye siasa, elimu, kuwa kwenye system, kuwa na vyeo serikalini, n.k.

ni kwanini linapokuja suala la uraisi jitihada zimehonga mwamba. ?
Kuna lile tambiko la kitaifa lilifanyika Lindi enzi za Nyerere kuwa asitoke rais Kilimanjaro sijui kama na nyie mlihusishwa.
 
Kuna lile tambiko la kitaifa lilifanyika Lindi enzi za Nyerere kuwa asitoke rais Kilimanjaro sijui kama na nyie mlihusishwa.
Unamaanisha walipigiwa nyumbani..,!? [emoji1787][emoji1787]
 
unanafikiri watu wa nyanda za juu kusini hawajui hilo . Ndio maana kule ni ngome ya chadema
 
Bwana wewe Tanzania ina makabila mangapi, siyo lazima kila kabila mtu awe Raisi. Hii miaka mitano iliyopita bado haijawafundisha kuhusu madhara ya uongozi wa kikabila tu ???

Kama unazungumzia vigezo vya kuwa Raisi, hata Wahehe na Wabena wako wengi mno waliosoma na wamekuwa ndani ya mfumo kwa muda mrefu, ila huwezi kuwasikia wanalalamikia cheo cha Uraisi.
 
Bwana wewe Tanzania ina makabila mangapi, siyo lazima kila kabila mtu awe Raisi. Hii miaka mitano iliyopita bado haijawafundisha kuhusu madhara ya uongozi wa kikabila tu ???

Kama unazungumzia vigezo vya kuwa Raisi, hata Wahehe na Wabena wako wengi mno waliosoma na wamekuwa ndani ya mfumo kwa muda mrefu, ila huwezi kuwasikia wanalalamikia cheo cha Uraisi.
Unasemaje ew kenge mjamzito
 
Taratibu tu mtafika huko! Kama Waha wameshasogea hapo na hawana wasomi wengi,Wanyakyusa mtafika tu.
 
Kwa mikoa yan kanda ya juu kusini kuna Mbeya, Iringa, Njombe , Rukwa na Songwe.

Hakuna shaka kwamba unapokuja ukanda wa nyanza za juu kusini kwa muda mrefu wanyakyusa ndio wamekuwa kabila lenye wasomi wengi zaidi, limeshatoa wanasiasa kibao waliofikia ngazi za juu, watumishi ambao wameshika nyadhifa muhimu serikalini, n.k.

Ni kwanini linapokuja suala la urais hakuna hata aliewahi hata kushika namba 2 kura za maoni. ?
Wanyakysa ni wazuri na wameusogelea urais, tulimshuhudia Prof. Mwandosya ile 2005, ila zamu yao ilikuwa haijafika!.

Uchaguzi wa 2015 Wanyakyusa 3 wakajirokeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof Mark Mwandosya, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, na Musa Mwapango (Mbeya) ila pia zamu yao ikawa haijafika.

Anayepanga nani awe rais sio sisi ni YEYE, kwa vile tumepanga 2025 twende na Mwanamke, na kuna Mnyakyusa kule kwenye Mhimili, you never know Mwanamke huyu atakuwa nani!, anaweza kabisa kuwa ndio huyo Mwanamke wa Kinyakyusa!, kama nilivyo eleza hapa Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Ila pia ikitokea sauti hii kuwa ni sauti ya kweli ya kwake YEYE, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, then rais wa Tanzania 2030 -2040 ni huyu Bidada wa Kinyakyusa!.

Tatizo la Wanyakyusa kwa wadada wa Mbeya ni moja tuu, Maharage ya Mbeya, maji mara moja!. Hili niliwahi kuliulizia "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020! sikumbuki hata nilijibiwaje!.

P
 
Back
Top Bottom