Lifahamu Vumbi la Congo: Historia, Matumizi, Faida na Hasara zake

Lifahamu Vumbi la Congo: Historia, Matumizi, Faida na Hasara zake

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anajua atakula YAMOTO
Ila umezingua we jamaa kwa huu uzi wako, umeuza ramani ya vita kwa maadui. Yani umewapa mpaka jina lake la asili na ukaona haitoshi mpaka jina la kisayansi.

Hawakupaswa kujua data zote hizi za mkongo mpaka kuhusu ganzi, walipaswa kujua zahama la mkongo tu ili heshima iwepo.[emoji23][emoji23][emoji23]

Umetukosea sana jinsia ya kiume, nakushauri uanzishe uzi wa kutuomba msamaha.
 
Sifanyi biashara hii mkuu, natoa TU elimu

Asante sana mkuu kwani umeeleza kama wewe ni mdau fulani hivi, binafsi nilisimuliwa na hawa dada poa jinsi wanavyokimbia na kurudisha pesa za vidume na walinisimulia hivihivi kasoro tu sijapata mtu mwenye experience ya inakuwaje unga huu ukitumiwa kupeleka moto huko TIGO
 
sasa hivi nimehamia royal honey.
Asali moja hivi ina shughuli sio ya kitoto
Mkuu una hela nikuletee mzigo
Screenshot_20210527-194813_WhatsApp.jpg
 
Yaani mbetou,then mabeberu wachelewe kuja,si watapiga short kidude! Hapa lazima michubuko ya hali ya juu sana,maana demu atakua anakojoa,anakauka na bado mmeza vumbi la Kongo anasukuma machine! Ukimwi utaisha kweli jaman?? Mapenzi sio kukomoana
Mapenzi yanageuka Vita vya Israel na Palestina.
 
siku hizi kuna mafuta hayo kama viksi ni balaa hayo mavumbi hayana ishu

Vimafuta unapaka tu kiasi aisee balaa lake
 
Back
Top Bottom