๐๐๐Ngoja nikaangalie kwenye vitalu vyetu nione kama kuna akiba imebakiWapi napata miche yake?
SUA hawana miche?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Salute sana hili dude
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Unajuaje kama ni uongo anatudangaya tuwashwe bure kumbe si mti wenyeweIla umezingua we jamaa kwa huu uzi wako, umeuza ramani ya vita kwa maadui. Yani umewapa mpaka jina lake la asili na ukaona haitoshi mpaka jina la kisayansi.
Hawakupaswa kujua data zote hizi za mkongo mpaka kuhusu ganzi, walipaswa kujua zahama la mkongo tu ili heshima iwepo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Umetukosea sana jinsia ya kiume, nakushauri uanzishe uzi wa kutuomba msamaha.
sometimes siyo kama hakunaKwani wanaume wamepeleka wapi nguvu
Ukiupata tu, nishtue tupige pesa.. Ndani ya miezi 6 tunakuwa zaidi ya dr. Mwaka.. Tunampiga gap la jina lake[emoji23]boss uko vizuri kwenye fursa[emoji16][emoji16][emoji16].Ngoja niangalie kwenye vitalu nione kama upo huo mti
sometimes siyo kama hakuna
Sometimes ni unataka kumkomoa mtu tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila umezingua we jamaa kwa huu uzi wako, umeuza ramani ya vita kwa maadui. Yani umewapa mpaka jina lake la asili na ukaona haitoshi mpaka jina la kisayansi.
Hawakupaswa kujua data zote hizi za mkongo mpaka kuhusu ganzi, walipaswa kujua zahama la mkongo tu ili heshima iwepo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Umetukosea sana jinsia ya kiume, nakushauri uanzishe uzi wa kutuomba msamaha.
Dr mwaka the second..NYONGEZA [emoji116]
Nowdays Mkongo unatumiwa pia na Wanawake kuwatia uhanithi wa muda wanaume zao Kama njia ya
1. kuwakomesha au
2.kutunza uamninifu wao Kwenye Ndoa wanapokua wamesafiri za MDA mrefu.
Yaani,
Mwanaume unaalikwa au unatengenezewa mazingira ukamgegede mwanamke,
Afu mwanamke anaandaa mkongo ukiwa umechanganywa na vitu kadhaa.
Kisha anaupaka ukeni kwake au pia anaweza kukushauri upake ili umkune vizuri.
Baada ya happy Sasa,
Mwanaume atapiga show ya maana Sana siku iyo, ila akishakojoa kimoja TU cha Kwanza na Uume utalala hapo hapo.
Na hautoamka tena ata Utekenywe vipi kuanzia sikU 5 mpaka miez 6 mbele zaidi kutegemea mwenyewe ameweka concentration Kia's gani Kwenye ilo tego lake.
Utakaa lidudu limelala mpk ule mchanganyiko wote uishe Nguvu Kwenye Uume Wako ndo Uume utainuka Tena.
MAMBO YAKIKAA SAWA NTAPANDISHA UZI WAKE nimeuchambua A to Z sema wasiwasi wangu ni mods wanaweza kuuondoa.
NB: Hii tego haliusiani kabisa na ushirikina, it's just a simple chemistry
Huku kijijini kwetu hayapo hayo...Nishayasikia sanaaa kwamba ndo dawa ya wala nauli.
Hahahaaa.Huku kijijini kwetu hayapo hayo...
IPO,Hivi hakuna dawa za kuongeza nguvu za kike jameni?
Ingekua powa sana twende sawa badala ya kukomoana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Huku hakuna haja ya nauli, anakuja tu kwa mguu...Hahahaaa.
Kwa hiyo wala nauli mnawafanyeje?