[emoji15] [emoji15] [emoji15] nguvu za ki ume kumbeeeee!! ndo mana umetoweka .... "janga la kizazi cha leo" hasahasa huko maghorofaniArusha, ila sijaviona siku nyingi sana
Ukimix na asali zinaongeza sanaa nguvu za kiume sio siri.
Mkuu mshana jr: je naweza fahamu "botanical name" ya huo mti?
hahah...bhan,eh wametpotzea ki2 kizurMchina kafanya yake
Most likelyHebu nisaidie hapo, hizi ni macadamia nuts au
Najaribu kuupataMkuu mshana jr: je naweza fahamu "botanical name" ya huo mti?
Ina bei sana hii sikujua kama inalimwa hapa, na ina mafuta mengiMost likely
[emoji3] [emoji3] [emoji3] eti ya nguvu...!Ni dawa hiyo Mshana jr?
Mkuu kazi ya huo Mme ni nini?
Ni chakula kama tunda hayo matunda yakeMkuu kazi ya huo Mme ni nini?
Uli nkafu nkamuSisi pia tulikuwa tunaita Karanga (Masyabhara)kwa kilugha. Tulicheza sana utotoni wakati wa msimu wake lakin tulivyozid kuwa wakubwa upatikanaji wake ulikuwa adim na hii imechangiwa sana na kuongezeka kwa mqtumizi ya huu mti kwa ajili ya kupasua mbao na kutengenezea mkaa.
Ndi nkafu nkamu mumoghile ikyakaUli nkafu nkamu