Bob Kawari
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 1,231
- 1,621
Mkuu hujapata bado miche utusogezee na sie?Aisee hata mimi nafanya mchakato huo usijali
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujapata bado miche utusogezee na sie?Aisee hata mimi nafanya mchakato huo usijali
Kilimo cha Macadamia (karanga pori)Leo nilikuwa naangalia itv kipindi cha wajasiliamali nikafuatilia mama polepole alivyokuwa anazungumzia mti pesa au mti karanga naomba kujuzwa zaidi juu ya hili tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
haya madude ni matamsana, sikuyajua jina, ukitupia mdomoni, utahisi umechota unga wa nido na kutupia mdomoni. shida yake ni kubangua,,, utaenda azima nyundo ya wajenziWadau,
Kuna fursa kubwa kwenye kilimo cha matunda especially kwa nchi yetu ambayo ina ardhi nzuri na ambayo inafaa kwa mazao mengi.
Zao la Macadamia ni miongoni mwa mazao ya muda mrefu ambalo linaweza kubadirisha kilimo cha Tanzania, kwa sasa kuna mtaalamu ambaye ana kitalu cha miche ya macadamia (mche mmoja unauzwa shs 2,000) macadamia inaweza kustawi vizuri kwenye sehemu za baridi lakini siyo baridi sana hivyo kilolo, ifakara, morogoro, arusha, lushoto inaweza kustawi kwa uzuri zaidi.
Mimi nimechukua miche michache kwa ajiri ya kujaribu kwenye maeneo ya kisarawe.
Ni PM kama unataka maelezo zaidi au google
Unaweza pia kupata taarifa zaidi hapa: http://www.agroforestry.net/scps/Macadamia_specialty_crop.pdf
maeneo ya wilaya ya tukuyu, hasa kiwira hapo yanapatikana sana na kuna kampuni inanunua kwa ajili ya export.WanaJF naomba mwenye uelewa wowote wa kilimo ch Macadamia anijuze. Najua kuwa ni zao ambalo bei yake ni nzuri kutosha. Mara ya mwisho nilizungumza na dada mmoja akaniambia kuwa kule Lushoto kuna watu wanalima hilo zao. hakuweza kunipa taarifa kwa kina cha kutosha.
Zao hili lipo Tanzania? Hali gani ya ardi inahitajika? Najua Kenya wanafanya export ya zaidi ya USD120m kwa mwaka.
Huyu Mama hata mimi amenivutia kuhusu kilimo cha Karanga Miti. Napanga kumtafuta huko Dondwe shambani kwake ili nipate elimu zaidiLeo nilikuwa naangalia itv kipindi cha wajasiliamali nikafuatilia mama polepole alivyokuwa anazungumzia mti pesa au mti karanga naomba kujuzwa zaidi juu ya hili tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama una Macadamia basi tuwasiliane.Anaejua link ya namna ya kuziuza nje jamani atusaidie tusije kuishia kupga adisi za utotoni...
Agro Business Iringa
Vuta subira,Weka namba tafadhali tunahitaji miche
Miaka 7 mpaka 10 ila ukianza kuvuna ndo mpaka 100 yearsI am interested kujua ili zao linachukua mda gani mpaka kuvuna?