Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mababu zetu walikuwa wanajali sana masuala ya muhimu hasa linapokuja suala la kuondoa majanga katika jamii.
Ilikuwa ikikosekana mvua na dalili za ukame kuwepo mababu zetu walifanya makafara na mizimu iliweza kulinda taifa letu.
Sasa hivi kuna balaa la ajali limeandama taifa letu. Hapa panahitajika kafara la kuondoa mikosi ya ajali. Tufanye hima watalaamu watafutwe na kafara la kuondoa mikosi lifanyike.
Nawasilisha.
Ilikuwa ikikosekana mvua na dalili za ukame kuwepo mababu zetu walifanya makafara na mizimu iliweza kulinda taifa letu.
Sasa hivi kuna balaa la ajali limeandama taifa letu. Hapa panahitajika kafara la kuondoa mikosi ya ajali. Tufanye hima watalaamu watafutwe na kafara la kuondoa mikosi lifanyike.
Nawasilisha.