Lifanyike tambiko kuondoa mikosi inayoliandama taifa letu

Lifanyike tambiko kuondoa mikosi inayoliandama taifa letu

Waafrika bhana!!

China mpaka leo ni among of the greatest county in the world kwasababu hawakukubali tamaduni zao kuharibiwa na watu wa magharibi.

China wanafanya vitu vyao from their own na hawa imitate tamaduni za popote pale.

Tatizo letu la Afrika linaanzia kwa viongozi mpaka raia.

Kiongozi Afrika ni Mungu mtu Lakini kiongozi kwengine ni mtoa huduma tu.

Ubinafsi,ujuaji na roho mbaya ndio tatizo letu..
Matambiko yalishindwa kuwasaidia wakina kinjekitile Ngwale na mkwawa kujikwamua na hapo imani ya matambiko ulikuwa juu Leo ndio isaidie.

China waliendelea baada ya kuacha matambiko kwenye mambo ya maendeleo. Matambiko ya kibudha yalibaki huko huko kwa mashaulini.


Hili kilifanywa na Deng Xiaoping baada ya Mao kufa. Waliiga kila kizuri popote duniani. Na hii alifundishwa na mchana mwenzake wa singapore Brilliant Dictator Lee KuanYew.

Jamaa an a promote ujinga
 
Matambiko yaliyofanyika bagamoyo, tanga, tabora na lindi ya kulitambikia Taifa ndio yametuletea umasikini.
Walifanya nini wakati wanatambika.
Ilikuwa ni mkusanyiko wa wazee, machief na wakuu wa vyama vya kichawi nchini, kuna vyama 15 vya kichawi nchini hawa ndio wamemiliki anga la nchi yetu kuhusu mfumo wote na mustakabali wa maisha ya watz. Walichimba mashimo makubwa Sana wakaleta sampo aina zote za wanyama jike na dume, miti, watu, na KILA kitu kinachopatikana nchini. Wakavichimbia chini wakavifukia huku wakinuiza maneno mabaya ya laana kuhusu nchi yetu. Zile laana ndizo zinaendelea kwenye mustakabali wa maisha yetu.Tangu UHURU tunapokea misaada na mikopo still hamna maendeleo ni mpaka tuvunje haya maagano ya kuitoa nchi kwa shetani ndipo majanga yatakwisha.
 
Mababu zetu walikuwa wanajali sana masuala ya muhimu hasa linapokuja suala la kuondoa majanga katika jamii.

Ilikuwa ikikosekana mvua na dalili za ukame kuwepo mababu zetu walifanya makafara na mizimu iliweza kulinda taifa letu.

Sasa hivi kuna balaa la ajali limeandama taifa letu. Hapa panahitajika kafara la kuondoa mikosi ya ajali. Tufanye hima watalaamu watafutwe na kafara la kuondoa mikosi lifanyike.

Nawasilisha.
Wazee waliokuwa na ujuzi huo walishatangulia mbele za haki.
 
Matambiko ni Ujinga kama ulivyoujinga wa kudhani nchi inamikosi.

Ulaya,China,us,Singapore, Namibia,Malaysia hawakunya tambiko ili watoboe kimaisha.


Tatizo letu ni Ujinga tu
Mlalafi wewe unawajua wazungu wewe,better stay cool
 
Mababu zetu walikuwa wanajali sana masuala ya muhimu hasa linapokuja suala la kuondoa majanga katika jamii.

Ilikuwa ikikosekana mvua na dalili za ukame kuwepo mababu zetu walifanya makafara na mizimu iliweza kulinda taifa letu.

Sasa hivi kuna balaa la ajali limeandama taifa letu. Hapa panahitajika kafara la kuondoa mikosi ya ajali. Tufanye hima watalaamu watafutwe na kafara la kuondoa mikosi lifanyike.

Nawasilisha.
Napendekeza hiyo kafara tuwatoe wale waliompiga risasi Lissu akiwemo na yule jamaa ambaye alikuwaga juu ya sheria kipindi hicho akiketi na kuhani mkuu
 
Mkuu labda ungetofautisha kati ya matambiko mabaya na mema.

Lakini matambiko ni jambo la kawaida tu
Boss kusanya familia yako na wazee wako mkatambike. Mbona huo uhuru mmepewa kikatiba kabisa?

Ila kwamba nchi nzima na tusioamini kwenye kumtumikia huyo shetani wenu mtuingize humo, hilo halikubaliki wala halitakubalika.

Tumia uhuru wako wa kuabudu kufanya inada zako kadri uonavyo ila usiingize wasioamini kwenye hizo mambo
 
Ninyi mnaojifanya wazungu koko eti mnapuuza vyenu taifa litaendelea kuharibika ona mnawaiga mpaka @&%#nyie kwa nyie@
Omba kibali uliongoze bunge kutambika live TBC Mkuu. Kwa sababu hapo ni wawakilishi mambo hayataenda vibaya.
Tambiko hakuna reference duniani eti nvhi nzima waliacha Kazi wakambika wakawa matajiri hahaha
 
Tatizo lilianzia kwenye yule wa kusimikwa uchifu.

Mtoa mada anataka aendeleze tamaduni za machifu.
 
Mababu zetu walikuwa wanajali sana masuala ya muhimu hasa linapokuja suala la kuondoa majanga katika jamii.

Ilikuwa ikikosekana mvua na dalili za ukame kuwepo mababu zetu walifanya makafara na mizimu iliweza kulinda taifa letu.

Sasa hivi kuna balaa la ajali limeandama taifa letu. Hapa panahitajika kafara la kuondoa mikosi ya ajali. Tufanye hima watalaamu watafutwe na kafara la kuondoa mikosi lifanyike.

Nawasilisha.
Matambiko ni ushetani juu ya ushetani. Taifa limrudie Mungu, maasi yamezidi nowadays.
 
Back
Top Bottom