Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
...dah,....mnanipa pole ya nini sasa jamani nami nishawaambia nimepoa? ha ha ha...
Maisha lazima yaendelee, yanaendelea....
Huruma yangu, na pole ziwaendee wale waliomo kwenye mashaka ya kuachana hivi sasa,
kama sredi hii ya MTM inavyojionyesha. Machungu yake mnhhh...
Jamani kujivua gamba ni shughuli pevu nyie sikieni tu...