...dah,....mnanipa pole ya nini sasa jamani nami nishawaambia nimepoa? ha ha ha...
Maisha lazima yaendelee, yanaendelea....
Huruma yangu, na pole ziwaendee wale waliomo kwenye mashaka ya kuachana hivi sasa,
kama sredi hii ya MTM inavyojionyesha. Machungu yake mnhhh...
...dah,....mnanipa pole ya nini sasa jamani nami nishawaambia nimepoa? ha ha ha...
Maisha lazima yaendelee, yanaendelea....
Huruma yangu, na pole ziwaendee wale waliomo kwenye mashaka ya kuachana hivi sasa,
kama sredi hii ya MTM inavyojionyesha. Machungu yake mnhhh...
...LOL....Nyamayao,....msiishi kama 'yeye kashikilia dumu la Petroli wewe umeshikilia kiberiti!'....
hapana,....pamoja na tahadhari kabla ya hatari, kuna umuhimu wa kufurahia maisha vile vile.
A
Pole mbu kwa kupitia kwenye milima na mabonde naona hukupata kabisa tambalale.
samahani swali la kizushi leo hii mzungu akimpiga chini na kuomba samahani mrudiane tena itakuwaje?
Wee nawe na hiyo binduki yako ya maji......sijui utamtisha nani...
Wakuu,
Many of us have at least once enjoyed the best out of love life... I have had my best moments as well!!
I am just wondering how can one prepare for a life after the person you have loved and enjoyed life with for 10+ years, have you ever imagined how it feels?
MTM
...Fidel!!!....pamoja kamanda.
Swali lako la kizushi hasa!...
Kwasasa keshaachana na huyo Mtasha, amekuwa kama mlokole fulani hivi, anashinda kanisani...pheewww!
No way bana,....pamoja na huruma nilonayo,...lakini kuna umuhimu wa kuyasamehe matapishi...ila siwezi weka
bayana hapa kwanini nasema hayo. Zingatia tu kwamba ....kwenye ile miaka mitano ya kuugulia, ilihusisha kutengwa na ndugu
hata wa karibu, jamaa na marafiki pia ambao hawakunielewa kwanini nimekubali kutoa talaka.
Machungu yake sio ya kitoto...acha niishie hapa...
Ila kwa kifupi, kuachana [utake usitake] kunahusisha watu wengi ambao wala hukuwategemea wataingiaje ingiaje kwenye maisha yenu. Onyo jingine hili kwa MTM na wasomaji wa hii thread....
...Fidel!!!....pamoja kamanda.
Swali lako la kizushi hasa!...
Kwasasa keshaachana na huyo Mtasha, amekuwa kama mlokole fulani hivi, anashinda kanisani...pheewww!
No way bana,....pamoja na huruma nilonayo,...lakini kuna umuhimu wa kuyasamehe matapishi...ila siwezi weka
bayana hapa kwanini nasema hayo. Zingatia tu kwamba ....kwenye ile miaka mitano ya kuugulia, ilihusisha kutengwa na ndugu
hata wa karibu, jamaa na marafiki pia ambao hawakunielewa kwanini nimekubali kutoa talaka.
Machungu yake sio ya kitoto...acha niishie hapa...
Ila kwa kifupi, kuachana [utake usitake] kunahusisha watu wengi ambao wala hukuwategemea wataingiaje ingiaje kwenye maisha yenu. Onyo jingine hili kwa MTM na wasomaji wa hii thread....
ndio mana mie nasemaga nikishaachika ctataka tena kuckia neno "ndoa"...nyta2lia nilee wana sasa, kama nimeshindwana na mume wa 8 yrs na watoto wa3 tukasambaratika huku kule bac nadhani ctawezana tena na kiumbe mwanaume, ctaolewa ng'oo...
nyamayao unafaa sana kuwa wakili, umembana Mbu mpaka leo kafunguka!!
Pole Mbu, sasa naifananisha na ile story ya mdada alokuwa anasubiria reconciliation akaambulia surmons ya mahakama akitakiwa ku'pokea' divorce. Pole Mbu
MTM................kama hai imefikia huku basi all that I can say is that You are a very STRONG man!! maana taking into account all those sifa ulizokuwa unamsifia mkeo mpenzi kumbe ndani unateketea!! I salute you kaka yangu!
Jamani kujivua gamba ni shughuli pevu nyie sikieni tu...
nilishajibu haya soma trhead nzimado you want to completely and permanently delete those memories? Do only one thing...! Initiate a strong, and unsolvable conflict with your ex- ....! It is from there, your minds will never waste time to think getting back to the past....!
Hebu apia
Inategemea mazingira kuachwa kuna uma sana haswa kwa yule uliye mpenda.
Ukiachwa unaweza kuwa kichaa na ukikosa watu makini kwa kukupa ushauri unaweza dondokea mdomoni kwa chizi ili akufariji.
mbona mwatutishia banaa! kwani na ww ushawahi jivua gamba? swali la kizushi,lol!
kwangu hiyo ni big NO...faraja nitaipata kw awanangu, ntafarijika japo kwa kunipa/kupata products za nguvu kutoka kwake.
very true mkuu... i have seen more than once in this thread watu wansema it takes two to tangle.... i hope validity holds water stillhuh...it's more of a Circus than a Circle buddy!...kuna kipindi utajihisi wewe ni 'Clown' tu hapa duniani...
I love this one.... I am sure hii iko clearMachungu yake hayaelezeki. Ni sawa na aliyesema machungu ya kuumia mwili si sawa na machungu ya roho!
Acheni kabisa hii kitu...acheni kabisa kuchezea hisia za watu. MTM my brother,..... mimi nakuomba nikuusie kitu kimoja
muhimu sana maishani mwako. Usha spend miaka kumi na Mke wako, mshakula machungu na matamu...then, akatokea
some Old flame, ...nawe ukaamua 'kuacha mbachao kwa msala upitao....!'
twwaaaiibb!!Ombea mungu huyo Old flame awe saint kuliko huyo wa mwanzo. I MEAN IT! Iwapo atakuwa na mapungufu makubwa kuliko Ex wako....i.e...mapungufu ya tabia- Uzinzi+Uasherati+Umalaya (Yote yana maana moja?)....Haki ya Mungu utatamani ardhi ipasuke ikumeze!
Huwezi kui feel hiyo sasa.... siku ikikutokea utamkumbuka yule Mbu wa Jamiiforums....!
Thanks MJ1
And that is where i said from the beginning... fasihi!!
and to a great extent i can bet ni wachache sana mlipata B, hakyanani
Soma vizuri mtiririko halafu mseme nipo wapi, chanzo cha hadithi... Nyumba Kubwa and Kingasti almost went there and finally you took the thread back to narrow end
Kuna sehemu iliongelea vizuri sana kuhusu nani yupo wrong, balancing act
Jamni MJ1... wewe ni mtaalam wa lugha... hebu rejea mada uielewe vizuri and how i came to this level of discussion
its not a desperate situation but it is an optional analysis situation
DUH
Unaongea tu Nyamayao sasa na swala la nature nalo wanao watakufariji? namaanisha ukishikwa na hamu
Mi nilivuliwa sikujivua
Yaani mpaka nikachubuka gamba lilitoka na ngozi
Thanks MJ1
And that is where i said from the beginning... fasihi!!
and to a great extent i can bet ni wachache sana mlipata B, hakyanani
Soma vizuri mtiririko halafu mseme nipo wapi, chanzo cha hadithi... Nyumba Kubwa and Kingasti almost went there and finally you took the thread back to narrow end
Kuna sehemu iliongelea vizuri sana kuhusu nani yupo wrong, balancing act
Jamni MJ1... wewe ni mtaalam wa lugha... hebu rejea mada uielewe vizuri and how i came to this level of discussion
its not a desperate situation but it is an optional analysis situation
DUH
Unaongea tu Nyamayao sasa na swala la nature nalo wanao watakufariji? namaanisha ukishikwa na hamu