Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Mnazidi kunichanganya wakubwa, naona kama mistari ya biblia inakinzana!
Mkuu wapi panakuchanganya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnazidi kunichanganya wakubwa, naona kama mistari ya biblia inakinzana!
unacheza bahati nasibu? kwa nn uamini kitu usicho na ushahidi nacho? ni tamaa tu ya kutaka kuishi milele au!!!
Mkuu hakuna suala la bahati nasibu,kuishi milele kila mwanadamu ataishi milele baada ya kufa lakini inategemea,
ni Mbinguni milele kwa waliompokea YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao,na kuna motoni milele kwa
wale walioishi maisha ya dhambi kwa sababu walimkataa YESU'
Binadamu akishakufa amekufa,ther is no life after death[/QUO
Don't you believe that there is HEREAFTER?! Loh! Ooh my Allaah keep me away from the fire, i thank you to bring me in your Deen(Islaam),
I agreed dat dog is still dog can't change to be goat like the sample guy.
Binadamu akishakufa amekufa,ther is no life after death[/QUO
Don't you believe that there is HEREAFTER?! Loh! Ooh my Allaah keep me away from the fire, i thank you to bring me in your Deen(Islaam),
I agreed dat dog is still dog can't change to be goat like the sample guy.
Mmmmmmh Wabara?!!
Mmmmmmh Wabara?!!
Ntuzu,
Nawe huamini kuna ufufuo bada ya maisha ya leo au nawe umechukulia nimetukana?!
Ntuzu,
Nawe huamini kuna ufufuo bada ya maisha ya leo au nawe umechukulia nimetukana?!
Mi nakusalimia tu Mkuu!
Roho ni nini mkuu!?
Roho ni spirit! Mkuu jiengeze kidogo!
Knowledge yetu ya maisha is limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atakuja na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha. Mwalimu huyo atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na after life.
Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati ukiwa tayari 'when the student is ready, the teacher will apear'.
Bada sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha matone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.
Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.
Kwenye maandiko yao, wanadai Jesus Crist was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.
Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye 7th Eternity.
Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.
Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.
Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine.
Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.
Dini zote mbili zinafundisha hili, ila nitatoa reference ya dini yangu Christians!.Mkuu Pasco hapo umeongelea hatma ya roho za hao jamaa wanaoweza kuishi milele!
Napenda kufaham hatma ya roho za watu wa kawaida ambao hawawezi kurenew body! Plz plz plz!
Natanguliza shukurani mkuu!
Dini zote mbili zinafundisha hili, ila nitatoa reference ya dini yangu Christians!.
Ukifa kinachokufa ni mwili, roho inakwenda kuzimuni "lent" kusubiria ile siku ya "hukumu ya mwisho" atakaporudi "Mwana wa Adamu" kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuo wa miili kuelekea kwenye "uzima wa milele" be it "mbinguni au peponi" kwenye "raha ya milele" au "motoni" au jehanum kwenye ziwa la moto wa milele ambako huko kuna kilio cha kusaga meno!".
Kwa mujibu wa sisi Wakatoliki, roho zote zinasubiri siku ya ufufuko wa miili!. Mimi ni Mkatoliki, najua hili sii kweli!. Naamini in "life after life" na "life before life", ukifa, kinachokufa ni mwili tuu, na ukizikewa, mwili huo unaoza!, hakuna cha ufufuko wa miili bali hiyo siku ya mwisho, ni ufufuko wa "astral bodies" au "spiritual bodies" ambazo huwa hazifi!.
Pasco.