Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

unacheza bahati nasibu? kwa nn uamini kitu usicho na ushahidi nacho? ni tamaa tu ya kutaka kuishi milele au!!!

Mkuu hakuna suala la bahati nasibu,kuishi milele kila mwanadamu ataishi milele baada ya kufa lakini inategemea,
ni Mbinguni milele kwa waliompokea YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao,na kuna motoni milele kwa
wale walioishi maisha ya dhambi kwa sababu walimkataa YESU'
 
the opposite of life is death and reversal:crazy: is true. how dare are you?!! hivyo iweje death iwe ni life, when yo die your body will be converted into manure...:cool2:
 
Binadamu akishakufa amekufa,ther is no life after death
 
Mkuu hakuna suala la bahati nasibu,kuishi milele kila mwanadamu ataishi milele baada ya kufa lakini inategemea,
ni Mbinguni milele kwa waliompokea YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao,na kuna motoni milele kwa
wale walioishi maisha ya dhambi kwa sababu walimkataa YESU'

Hao watakaokwenda motoni na Kua wanateketezwa milele na Kwa maelezo yako watakua wanaishi milele! Swali ni kwamba watakua wanaishi wapi Hiyo melele?
 
Hakuna ugumu wowote katika njia ya kuufikia ukweli na masharti yake hayana ugumu wowote.binafsi nina zaidi ya miaka 20 ktk practise na kuona kwamba hili linawezekana kabisa.Je upo tayari uelekezwe SANT MAT?
 
Binadamu akishakufa amekufa,ther is no life after death[/QUO
Don't you believe that there is HEREAFTER?! Loh! Ooh my Allaah keep me away from the fire, i thank you to bring me in your Deen(Islaam),
I agreed dat dog is still dog can't change to be goat like the sample guy.
 
Binadamu akishakufa amekufa,ther is no life after death[/QUO
Don't you believe that there is HEREAFTER?! Loh! Ooh my Allaah keep me away from the fire, i thank you to bring me in your Deen(Islaam),
I agreed dat dog is still dog can't change to be goat like the sample guy.



Mmmmmmh Wabara?!!
 
Katika vitu ambavyo wazungu walifanikiwa kudanganya..basi ni hii habari ya ufufuo!!
 
Knowledge yetu ya maisha is limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atakuja na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha. Mwalimu huyo atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na after life.

Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati ukiwa tayari 'when the student is ready, the teacher will apear'.

Bada sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha matone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.

Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.

Kwenye maandiko yao, wanadai Jesus Crist was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.

Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye 7th Eternity.

Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.

Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.

Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine.

Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.

Mkuu Pasco hapo umeongelea hatma ya roho za hao jamaa wanaoweza kuishi milele!

Napenda kufaham hatma ya roho za watu wa kawaida ambao hawawezi kurenew body! Plz plz plz!

Natanguliza shukurani mkuu!
 
Mkuu Pasco hapo umeongelea hatma ya roho za hao jamaa wanaoweza kuishi milele!

Napenda kufaham hatma ya roho za watu wa kawaida ambao hawawezi kurenew body! Plz plz plz!

Natanguliza shukurani mkuu!
Dini zote mbili zinafundisha hili, ila nitatoa reference ya dini yangu Christians!.
Ukifa kinachokufa ni mwili, roho inakwenda kuzimuni "lent" kusubiria ile siku ya "hukumu ya mwisho" atakaporudi "Mwana wa Adamu" kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuo wa miili kuelekea kwenye "uzima wa milele" be it "mbinguni au peponi" kwenye "raha ya milele" au "motoni" au jehanum kwenye ziwa la moto wa milele ambako huko kuna kilio cha kusaga meno!".

Kwa mujibu wa sisi Wakatoliki, roho zote zinasubiri siku ya ufufuko wa miili!. Mimi ni Mkatoliki, najua hili sii kweli!. Naamini in "life after life" na "life before life", ukifa, kinachokufa ni mwili tuu, na ukizikewa, mwili huo unaoza!, hakuna cha ufufuko wa miili bali hiyo siku ya mwisho, ni ufufuko wa "astral bodies" au "spiritual bodies" ambazo huwa hazifi!.

Pasco.
 
Dini zote mbili zinafundisha hili, ila nitatoa reference ya dini yangu Christians!.
Ukifa kinachokufa ni mwili, roho inakwenda kuzimuni "lent" kusubiria ile siku ya "hukumu ya mwisho" atakaporudi "Mwana wa Adamu" kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuo wa miili kuelekea kwenye "uzima wa milele" be it "mbinguni au peponi" kwenye "raha ya milele" au "motoni" au jehanum kwenye ziwa la moto wa milele ambako huko kuna kilio cha kusaga meno!".

Kwa mujibu wa sisi Wakatoliki, roho zote zinasubiri siku ya ufufuko wa miili!. Mimi ni Mkatoliki, najua hili sii kweli!. Naamini in "life after life" na "life before life", ukifa, kinachokufa ni mwili tuu, na ukizikewa, mwili huo unaoza!, hakuna cha ufufuko wa miili bali hiyo siku ya mwisho, ni ufufuko wa "astral bodies" au "spiritual bodies" ambazo huwa hazifi!.

Pasco.

Mkuu Pasco bado nnakigugumizi!

1 Ikiwa ni hivyo, kwanini baadhi ya watu wakishinde kifo? Jee kifo kipo mikononi kwa Mungu au kipo mikononi mwa wanadamu?

2 Hizo theories na practice za hao wanaoshinda kifo na wale watu wa yoga, wote wanapinga uwepo wa Mungu na hawaamini uwepo wa pepo/mbingu na moto! Wewe unaweka sana masomo ya namna hii (kwa mtazamo wangu na huenda nisiwe sahihi!) Nahisi kama kuna mkanganyiko fulani hapo! Embu nisaidie theory ya hao jamaa wanaongelea vipi life after death hasa kwa watu wasioweza kukishinda kifo!
 
Back
Top Bottom