Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekeaHawana lolote wale,wanataka wachakachue tu
Mi nashangaa huyo mtumbua majipu hajaliona hili jipu
Au ilikuwa nguvu ya soda?
Kuhusu nape dah,yule mtoto ni mzigo tangu zamani
Hakuna kitu bure kabisa,yule ni hovyo kama Malinzi.
Waziri mzigo yule.!
Hello guys!
I guess this kid is on psychedelic trip,just like Lanza himself
Or he must be snorting some kinda heavy stuff or cocaine
Hivi wadau uchaguzi wa zanzibar ndo unarudiwa?
Si patachimbika,Maalim atakubali kweli?
Nasikia nape kaharibu bungeni,eti?
Halafu kumbe remix ya zigo imetoka?domondi anatisha.
Cc @Jimena,Bennie 369,aretasludovinc
Is he serious? I guess he is just kidding
Maalim hawezi kukubali safari hii na kwa hakika patachimbika.
Inasemekana Unguja hawajawahi kufanya makosa Sema ndo vile tu magoli ya mikono[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nape kaharibu sana jamani, hivi makomeo alifikiria kweli Kabla hajampa uwaziri?
Hawana lolote wale,wanataka wachakachue tu
Mi nashangaa huyo mtumbua majipu hajaliona hili jipu
Au ilikuwa nguvu ya soda?
Kuhusu nape dah,yule mtoto ni mzigo tangu zamani
Hakuna kitu bure kabisa,yule ni hovyo kama Malinzi.
Waziri mzigo yule.!
Hichi mnachokifanya si katika yale matendo ya kiungwana na uGT....kwa kuwa nyie hamfuhishwi na hichi kinachojadiliwa hapa haimanishi kuwa wote hatufurahishwi......kufanya hivi ni kutokuheshimu maoni ya wengine mlioyofautiana kimitazamo......kama unaona uzi unakukera au haujavukuvutia yapo majukwaa mengi au kuna nyuzi nyingine nyingi ambazo naamini katika hizo nyingi kuna zitakazokufurahisha.......Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekea
Nimecheka sanaaaaaaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]nape aka vuvuzela. huyu jamaa utakuta kabisa anakaa chini anapiga umbeya na mke wake. Mwanaume hovyo kweli kweli.
nape aka vuvuzela. huyu jamaa utakuta kabisa anakaa chini anapiga umbeya na mke wake. Mwanaume hovyo kweli kweli.
Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekea
Ndo maana yakeTeh,sijui atakuwa kweli simba wa kuchora!
Ndo maana yake
Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekea
Hahahahahaha huu sasa uchokozi[emoji119] [emoji119]The above thread is underconstruction!
Haueleweki ndio au we mwenzetu umeuelewaaa??Duuuuh!!!! uzi hauleweki au mbembwe tuu???
Mi hata nilishasahau yani we ndo umenikumbusha. Namjua baba Tee tu, #JeUtanipenda ndo habari ya mjini. Nani kanuna?Aisee!
Basi tuhesabu maumivu tena hii miaka mitano yake.
Halafu Ali kiba amefia wapi,mbona kimya sana?
Nasikia ana majungu siku hizi huyu dogo?
tutaenda wote...Mbinguni my dear ...
na ni IMANI yangu
inayofanya niamini hilo..
si lazima kila kitu upate Proof au Evidence...
saa nyingine Imani na Matumani itakufikisha uendapo..
einstein newton naona mods washafanya yao, uzi umetafutiwa msingi mpya