Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

Mambo yahusuyo ulimwengu mwengine zaidi ya hii dunia tunayoishi huwezi kuyajua bila ya msaaada wa mitume waliopita .mfano Mungu kila zama alikuwa anamteua mtu kuwa Mtume ktk zama hizo ili kuwaonya watu juu ya mambo ya kiroho na maisha baada ya kufa,na kila mtume alikuja na muujiza wake ili kuthibitisha utume wake.
Tuanze na wa kwanza nabii Adam wa baba yetu mpaka nabii muhammad s.a.w wa mwisho.lengo kuu likiwa ni kuwaonya watu juu ya life after death na yatakayokuwa akhera.Mitume hao walipewa taratibu za kuishi na kila mfuasi wa mtume husika nayeye alitakiwa afuate taratibu hizo.
Na tujue kwamba kila mtume akimaliza muda wake au zama zake sharia zake hazifanyi kazi katika zama za mtume mwengine.kama ilivyo katika uchumi wa dunia.tulianza na ujamaa.au communist na sasa tupo ktk capitalist kwa hiyo zama za comunist hazina nafasi tena ktk ulimwengu wa sasa.
kupitia quran takatifu na biblia agano la kale hazipishani saana tunaweza pata somo kuhusiana na haya mambo ya maisha baada ya kufa.
Katika zama za mtume Muhammad wafuasivwake waliuliza kuhusu ishu kama hizi tunzouliza sisi leo.mfano waliuliza nini roho?Mungu kupitia MUhamad aliwajibu kuwa.Hakika roho ni katika ulimwengu wa Mungu na binaadamu kamwe hatapewa elimu hii ya roho mpaka dunia ifike mwisho..
Pia Quran inasimulia kuhusu hayo mambo ya life after death kupitia Muhammad.kwa kusema .binaadamu akifa roho yake inatengana na kiwiliwili na roho hii inabebwa na malaika na kufikishwa katika ghala la kuhifadhia roho huko juu mbinguni .hapo ndio zinasubiri parapanda au baragumu la mwisho wa siku ya kiama.na hapo kila roho itakusanyika ktk kiwanja na kupata hukumu yako kutokana na matendo yako uliyofanya hapa duniani kwa mujibu wa mrengo uliyokuwa unaifata km ni sahihi sawa na kama haukuwa sahihi pia utapata yanayokustahili ,jahannam au peponi ()bustanini)...
 
Unajua watu tunachanganya mambo Na kila mtu ana Kiu ya kujua ukwel naweza sema kila mtu atahangaika kutafuta knowledge kujua ukwel Ni upi Na nyakat zake ndo zinaingia, kwa wale wanaojua bible Yesu alisema mtawajua Na kuwatambua wafuas wangu kwa matendo Yao, binadamu tumepewa utash wa kujua mema Na mabaya, hii dunia now inatawaliwa Na yule muovu ambaye alianza kazi yake tangu ktk bustan ya Eden, hakuna Shaka kila baya tunaloliona leo mfn vita, dini za ajabu, ushoga yy ndo source anatujua Na alishuhudia tangu Adam anaumbwa, Sasa mfano Yesu alisema razaro amelala akimaanisha kuwa razaro amekufa then akamfufua razaro hakuweza kusimulia alikuwa wap Na anafanya Nn Bali Ni Kama mtu aliye amka toka ucngizin, kuna ufufuo utakuja but hizo dini Ni zile ambazo Yesu alitabir Na bado zitakuja nying Na tutasikia meng ila wafuas kamili watatambuliwa kwa matendo Yao "UPENDO" so tuwe makin somen bible but msisomewe Na kusimuliwa coz shetan anatumia mwanya huo kuharibu Na kupotosha coz anajua ana muda mchache ktk dunia hii kabla hajaangamizwa
 
Wewe umejuaje haya yote.......na unipe uthibitisho.......
Mungu mwenyewe akaufanye uelewe sio mimi! yeye aliye kuumba,yeye aliye umba nyota,jua,mwezi,milima,wanyama na vitu vingine! huyo sasa ndio Mtafute na ujue nini anataka ufanye uwapo unaishi duniani!
 
Nipo kwenye msiba wa rafiki yangu wa karibu. Wakati naendelea kusikitika na kuomboleza kifo cha rafiki yangu huyu kuna swali linanisumbua kichwa. Naombeni ndugu zangu Wakristu kwa Waislam na Wapagani.

Ni ni kinampata mwanadamu baada ya kufa? Anakwenda wapi mara tu baada ya kufa?

Kwa hili naombeni tujadili kwa staha maana msiba niliopo umenigusa sana.

Asanteni kwa michango yenu ya kujengana kiimani.

Death is a smooth transition from seen world to unseen world or spiritual world. Vinavyohusika ni mwili na roho. Na vyote havitambui kama vimekufa kwa sababu roho ni uhai haifi. na mwili haujui maana hauwezi kutambua bile roho. Ukiiambia roho kuwa imekufa haitaelewa kwa sababu iko hai. Mwili unaoza bali roho inaedelea kuishi for ever.

Kimantiki ni kwamba hakuna kifo kwa maana ya hili tunalolijua sisi kwamba kufa ni kupoteza uhai. Uhai haufi. It is infinite.
Kwenye spiritual world kuna sehemu kadhaa ambazo spirit inaweza kukaa kutegemea na level ya uelewa wake. Safari ya mwisho kwenye hayo maeneo ni ile ya utambuzi mkuu ..High consciousness ambako wengine hupaita mbinguni.

Zile zenye utambuzi mdogo huweza hata kubaki duniani lakini kwa macho hatuwezi kuziona. Hizi huweza kuwa ghost au huweza kurudi kuishi kwa kuchukua mwili ikazaliwa upya na ikaendelea kutekeleza kile kilichoifanya irudi dunini. I.e to complete the give and take account au karma. Roho nyingi hurudi kuja kumalizia kile zilizodhamiria duniani lakini zikatengana na mwili kabla ya kukamilisha.

kwa kifupi ni kwamba roho huendelea kuishi for ever, katika ngazi tofauti za raha au bliss. Hakuna kitu kinachoitwa motoni kwa sababu hata ukiichoma vipi roho haiwezi kusikia maumivu kwa sababu ni spirit na haina mwili unaoweza kuungua.

BTW. Roho ambazo zilikuwa kwenye mwili ambao ulikuwa staunt mlokole kwa mfano, ambazo mawazo yao yote ni kwamba wanamsubiri Yesu aje kuwakomboa kimaisha ie. kifedha, kuponya magonjwa yao n.k na ambao alipumbzwa sana (addicted) na mapambio kanisani zinaweza kurudi duniani ili kuja kukamilisha hilo la ukombozi na kuendelea kuimba. Atazaliwa mtu aliyefanana kwa tabia, na kila kitu kama babu fulani kwenye familia hiyo. This is the truth.
 
'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.
Hili jambo huwa linanitokea sana....na kila nikijaribu kuwafahamisha watu,huniona kama nimechanganyikiwa....
 
Death is a smooth transition from seen world to unseen world or spiritual world. Vinavyohusika ni mwili na roho. Na vyote havitambui kama vimekufa kwa sababu roho ni uhai haifi. na mwili haujui maana hauwezi kutambua bile roho. Ukiiambia roho kuwa imekufa haitaelewa kwa sababu iko hai. Mwili unaoza bali roho inaedelea kuishi for ever.

Kimantiki ni kwamba hakuna kifo kwa maana ya hili tunalolijua sisi kwamba kufa ni kupoteza uhai. Uhai haufi. It is infinite.
Kwenye spiritual world kuna sehemu kadhaa ambazo spirit inaweza kukaa kutegemea na level ya uelewa wake. Safari ya mwisho kwenye hayo maeneo ni ile ya utambuzi mkuu ..High consciousness ambako wengine hupaita mbinguni.

Zile zenye utambuzi mdogo huweza hata kubaki duniani lakini kwa macho hatuwezi kuziona. Hizi huweza kuwa ghost au huweza kurudi kuishi kwa kuchukua mwili ikazaliwa upya na ikaendelea kutekeleza kile kilichoifanya irudi dunini. I.e to complete the give and take account au karma. Roho nyingi hurudi kuja kumalizia kile zilizodhamiria duniani lakini zikatengana na mwili kabla ya kukamilisha.

kwa kifupi ni kwamba roho huendelea kuishi for ever, katika ngazi tofauti za raha au bliss. Hakuna kitu kinachoitwa motoni kwa sababu hata ukiichoma vipi roho haiwezi kusikia maumivu kwa sababu ni spirit na haina mwili unaoweza kuungua.

BTW. Roho ambazo zilikuwa kwenye mwili ambao ulikuwa staunt mlokole kwa mfano, ambazo mawazo yao yote ni kwamba wanamsubiri Yesu aje kuwakomboa kimaisha ie. kifedha, kuponya magonjwa yao n.k na ambao alipumbzwa sana (addicted) na mapambio kanisani zinaweza kurudi duniani ili kuja kukamilisha hilo la ukombozi na kuendelea kuimba. Atazaliwa mtu aliyefanana kwa tabia, na kila kitu kama babu fulani kwenye familia hiyo. This is the truth.
Thanks for such a useful post....
 
Death is a smooth transition from seen world to unseen world or spiritual world. Vinavyohusika ni mwili na roho. Na vyote havitambui kama vimekufa kwa sababu roho ni uhai haifi. na mwili haujui maana hauwezi kutambua bile roho. Ukiiambia roho kuwa imekufa haitaelewa kwa sababu iko hai. Mwili unaoza bali roho inaedelea kuishi for ever.

Kimantiki ni kwamba hakuna kifo kwa maana ya hili tunalolijua sisi kwamba kufa ni kupoteza uhai. Uhai haufi. It is infinite.
Kwenye spiritual world kuna sehemu kadhaa ambazo spirit inaweza kukaa kutegemea na level ya uelewa wake. Safari ya mwisho kwenye hayo maeneo ni ile ya utambuzi mkuu ..High consciousness ambako wengine hupaita mbinguni.

Zile zenye utambuzi mdogo huweza hata kubaki duniani lakini kwa macho hatuwezi kuziona. Hizi huweza kuwa ghost au huweza kurudi kuishi kwa kuchukua mwili ikazaliwa upya na ikaendelea kutekeleza kile kilichoifanya irudi dunini. I.e to complete the give and take account au karma. Roho nyingi hurudi kuja kumalizia kile zilizodhamiria duniani lakini zikatengana na mwili kabla ya kukamilisha.

kwa kifupi ni kwamba roho huendelea kuishi for ever, katika ngazi tofauti za raha au bliss. Hakuna kitu kinachoitwa motoni kwa sababu hata ukiichoma vipi roho haiwezi kusikia maumivu kwa sababu ni spirit na haina mwili unaoweza kuungua.

BTW. Roho ambazo zilikuwa kwenye mwili ambao ulikuwa staunt mlokole kwa mfano, ambazo mawazo yao yote ni kwamba wanamsubiri Yesu aje kuwakomboa kimaisha ie. kifedha, kuponya magonjwa yao n.k na ambao alipumbzwa sana (addicted) na mapambio kanisani zinaweza kurudi duniani ili kuja kukamilisha hilo la ukombozi na kuendelea kuimba. Atazaliwa mtu aliyefanana kwa tabia, na kila kitu kama babu fulani kwenye familia hiyo. This is the truth.

Naomba unifafanulie...nini hasa au kwa namna gan tunaweza kuthibitisha bandiko lako kwamba ni fact based...na si maoni ya kiiman kama ilivo katika dini mbalimbali?!
 
H
Naomba unifafanulie...nini hasa au kwa namna gan tunaweza kuthibitisha bandiko lako kwamba ni fact based...na si maoni ya kiiman kama ilivo katika dini mbalimbali?!
Ni kwa sabau nimesoma reserach nyingi za hii mambo. Hamna imani hapa. mm ni mkristu imani yangu iko huko ila facts nyingi zimefichwa kwa manufaa ya taasisi ziitwazo dini. Ukipenda naweza kukupeleka kwenye research moja moja na utagundua why we are so ignorant of so many things
 
the opposite of life is death and reversal:crazy: is true. how dare are you?!! hivyo iweje death iwe ni life, when yo die your body will be converted into manure...:cool2:
No. Not at all. Better study to get knowledge. How comes watu waliwahi kufa wakarudishiwa uhai wakafufuka?
 
H
Ni kwa sabau nimesoma reserach nyingi za hii mambo. Hamna imani hapa. mm ni mkristu imani yangu iko huko ila facts nyingi zimefichwa kwa manufaa ya taasisi ziitwazo dini. Ukipenda naweza kukupeleka kwenye research moja moja na utagundua why we are so ignorant of so many things
Nitafurahi sana kupata hilo somo....ingawa curiosity killed a cut...lakin kwa hili am willingly kabsa kujua behind the curtains...kuna lipi....nipe mwongozo!
 
Ngoja nirudi kwenye komputa yangu nitakutumia maissue
 
Death is a smooth transition from seen world to unseen world or spiritual world. Vinavyohusika ni mwili na roho. Na vyote havitambui kama vimekufa kwa sababu roho ni uhai haifi. na mwili haujui maana hauwezi kutambua bile roho. Ukiiambia roho kuwa imekufa haitaelewa kwa sababu iko hai. Mwili unaoza bali roho inaedelea kuishi for ever.

Kimantiki ni kwamba hakuna kifo kwa maana ya hili tunalolijua sisi kwamba kufa ni kupoteza uhai. Uhai haufi. It is infinite.
Kwenye spiritual world kuna sehemu kadhaa ambazo spirit inaweza kukaa kutegemea na level ya uelewa wake. Safari ya mwisho kwenye hayo maeneo ni ile ya utambuzi mkuu ..High consciousness ambako wengine hupaita mbinguni.

Zile zenye utambuzi mdogo huweza hata kubaki duniani lakini kwa macho hatuwezi kuziona. Hizi huweza kuwa ghost au huweza kurudi kuishi kwa kuchukua mwili ikazaliwa upya na ikaendelea kutekeleza kile kilichoifanya irudi dunini. I.e to complete the give and take account au karma. Roho nyingi hurudi kuja kumalizia kile zilizodhamiria duniani lakini zikatengana na mwili kabla ya kukamilisha.

kwa kifupi ni kwamba roho huendelea kuishi for ever, katika ngazi tofauti za raha au bliss. Hakuna kitu kinachoitwa motoni kwa sababu hata ukiichoma vipi roho haiwezi kusikia maumivu kwa sababu ni spirit na haina mwili unaoweza kuungua.

BTW. Roho ambazo zilikuwa kwenye mwili ambao ulikuwa staunt mlokole kwa mfano, ambazo mawazo yao yote ni kwamba wanamsubiri Yesu aje kuwakomboa kimaisha ie. kifedha, kuponya magonjwa yao n.k na ambao alipumbzwa sana (addicted) na mapambio kanisani zinaweza kurudi duniani ili kuja kukamilisha hilo la ukombozi na kuendelea kuimba. Atazaliwa mtu aliyefanana kwa tabia, na kila kitu kama babu fulani kwenye familia hiyo. This is the truth.
Roho zinatoka wapi?
 
What a redicou
Mbinguni my dear ...
na ni IMANI yangu
inayofanya niamini hilo..
si lazima kila kitu upate Proof au Evidence...
saa nyingine Imani na Matumani itakufikisha uendapo..
Reasons zako zakuamini ni zipi?
Mbinguni my dear ...
na ni IMANI yangu
inayofanya niamini hilo..
si lazima kila kitu upate Proof au Evidence...
saa nyingine Imani na Matumani itakufikisha uendapo..
 
Kunapotokea msiba ni kukumbushana tuu kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho haifi ipo na itaishi milele, hivyo watu msilie saana hadi kukufuru, let's celebrate the lives za Wapendwa wetu.
P
 
nanukuu, ''kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele''.
wanaona na kusikia kupitia nini ikiwa mwili umekufa na kuoza.
 
Kwahiyo Nyerere bado yupo magogoni,spirit yake inaendesha nchi na hataki tens kwenda ulaya cause watamuua tena😛😛 ndumu hizi za migo
 
Back
Top Bottom