Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #401
Mwili wa binaadamu una sehemu mbili, physical body and spiritual body. Physical body ndio ule mwili wa nyama, una unaonika, unashikika, unapata maradhi, unakufa na unaoza.nanukuu, ''kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele''.
wanaona na kusikia kupitia nini ikiwa mwili umekufa na kuoza.
spiritualism.Kunapotokea msiba ni kukumbushana tuu kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho haifi ipo na itaishi milele, hivyo watu msilie saana hadi kukufuru, let's celebrate the lives za Wapendwa wetu.
P
This is exactly what human soul is. Mungu alipotupulizia ile life force, pia ametupa uungu, hivyo human soul is immortal. Kifo is just a change of state from physical body into spiritual body na inaishi milele.spiritualism.
kwa maana hii hakuna kifo bali change of state.
kusema hivi wanadamu ni miungu maana Mungu peke yake ndiye hapatikani na mauti. ila anaweza kuchange state. mfano incarnation.
Huku ni kupeana moyo tu sababu hamna aliyekufa kisha akatoa ushuhuda wa life after death.Wanabodi,
Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi milele.
Uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa. Ukizaliwa ni hakika siku yako uliondikiwa kufa, ikifika unakufa, ila kinachokufa ni mwili tuu, ambao unaoza na kugeuka mavumbi, watu wangerudi kuyafukua makaburi ya Wapendwa wao na kushuhudia nini kinatokea kwa miili baada ya kuzikwa, wengi wangeamua bora creamation.
Knowledge yetu ya maisha baada ya kifo is very limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atatokea na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha baada ya kifo. Mwalimu huyo will just come from nowhere, atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na after life.
Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati tuu wewe ukiwa tayari 'when the student is ready, the teacher will apear'.
Mimi mwenyewe, bado sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa Jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha tone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.
Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.
Kwenye maandiko yao, wanadai hata Jesus Christ was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.
Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye the 7th Eternity.
Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.
Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.
Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wanakuwa wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili uliochoka na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine, jina jingine na mwili mwingine.
Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.
Hivyo tunapofiwa na Wapendwa wetu, tuwalilie kwa kiasi tuu kwa sababu tutawamiss, lakini let's celebrate their life kwa imani kuwa kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele.
Just rejoice, deaths is just a change of bodily state from life to lifeless, but the spirit lives forever, it's eternal.
P
Tunaishi kwa imani. Hakuna akiyekwenda mbinguni halafu akarejea kutuhadithia.Huku ni kupeana moyo tu sababu hamna aliyekufa kisha akatoa ushuhuda wa life after death.
Ni assumptions tu.
Tunaishi kwa imani. Hakuna akiyekwenda mbinguni halafu akarejea kutuhadithia.Huku ni kupeana moyo tu sababu hamna aliyekufa kisha akatoa ushuhuda wa life after death.
Ni assumptions tu.
Kunapotokea msiba ni kukumbushana tuu kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho haifi ipo na itaishi milele, hivyo watu msilie saana hadi kukufuru, let's celebrate the lives za Wapendwa wetu.
P
Kila binaadamu anapozaliwa, anakuja kwa ajili maalum. Hivyo ukifika muda wako wa kifo huku umetimiza malengo ya kuishi kwako, badala ya kuliliwa kuwa umekufa, we celebrate your life.Hii kauli mbiu ya kusema "Tusherehekee maisha ya wapendwa wetu". Sijaielewa kabisa.
Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake anasema;Nipo kwenye msiba wa rafiki yangu wa karibu. Wakati naendelea kusikitika na kuomboleza kifo cha rafiki yangu huyu kuna swali linanisumbua kichwa. Naombeni ndugu zangu Wakristu kwa Waislam na Wapagani.
Ni ni kinampata mwanadamu baada ya kufa? Anakwenda wapi mara tu baada ya kufa?
Kwa hili naombeni tujadili kwa staha maana msiba niliopo umenigusa sana.
Asanteni kwa michango yenu ya kujengana kiimani.
soul au spirit?This is exactly what human soul is. Mungu alipotupulizia ile life force, pia ametupa uungu, hivyo human soul is immortal. Kifo is just a change of state from physical body into spiritual body na inaishi milele.
Ule uungu Mungu aliyotuwekea, ndipo the omnipotent, omnipresent na Omniscience of human body, hata wale wahubiri wa miujiza, kinachotibu kwenye faith healing, ni nguvu za uungu zilizo ndani yako na sio nguvu za muhubiri. Kazi ya mhubiri ni kuzifungulia tuu.
P
Ingekuwa sababu za uwepo wa mwanadamu zinafahamika kweli huo umaalum unaozungumzia ungepatikanaKila binaadamu anapozaliwa, anakuja kwa ajili maalum. Hivyo ukifika muda wako wa kifo huku umetimiza malengo ya kuishi kwako, badala ya kuliliwa kuwa umekufa, we celebrate your life.
P
Ingekuwa sababu za uwepo wa mwanadamu zinafahamika kweli huo umaalum unaozungumzia ungepatikana
Watu tunaishi Kama nyanya za nyongeza wewe unatufariji tuna umuhimu....! Nadhani ni kujiridhisha tusijione watupu
Mimi nadhani Wengine hawakufaa kuwepo na hawana umuhimu_unaonaje ndugu...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani Wengine hawakufaa kuwepo na hawana umuhimu_unaonaje ndugu...?
Unafikiri hivyo unavyoishi wewe ndio ulipaswa kuishi hivyo au unapaswa uishi hivyo ?
Lengo la kuumbwa mwanadamj liko wazi. Usie lijua ni wewe na wale wa mfano wako. Hivi kwa akili ya kawaida ni kweli tuwepo duniani bila lengo maalumu ?
Nipo ...
Mkuu Mancho, kila binaadamu ana kusudi lake, hata muuza nyanya, muuza genge, mmachinga, hata house girl, hata wale dada zetu, madada poa, they all have some proposes to save.Ingekuwa sababu za uwepo wa mwanadamu zinafahamika kweli huo umaalum unaozungumzia ungepatikana
Watu tunaishi Kama nyanya za nyongeza wewe unatufariji tuna umuhimu....! Nadhani ni kujiridhisha tusijione watupu
Mimi nadhani Wengine hawakufaa kuwepo na hawana umuhimu_unaonaje ndugu...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mancho, kila binaadamu ana kusudi lake, hata muuza nyanya, muuza genge, mmachinga, hata house girl, hata wale dada zetu, madada poa, they all have some proposes to save.
P.