Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!

Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!

Honey Money Penny maisha ya kimwili (physical) yanaanzia rohoni (spiritual). Ni somo gumu kidogo linalotaka ustahimilivu kulisoma, kulichambua na kulitafakari. Mfano rahisi ni ile nyota ya mashariki waliyoaiona mamajusi zama zile. Waliona mfalme katika roho. Tunajua Herode alifanya nini.

Yusuph mwana wa Jacob alipokuwa Misri aliishi kwenye ulimwengu wa roho. Uthibitisho ni uwezo wake kufasiri ndoto. Ndoto ni lango la maisha ya kiroho yanayotokea katika mwili (physical world)

Inapotokea unaota unawasiliana na watu waliofariki, ima unawafahamu ila lah, sio rahisi kuhitimisha maana ya ndoto husika. Maana ndoto sio jambo la kubeza. Ndiposa wanasema "Dream come true!"
AMEN BROTHER AMEN
 
MY MAMA IS MY SOUL MATE AND AMSTILL HERE PASCAL 😁😆😆
CC: 50thebe
Mama yako hawezi kuwa soul mate wako. Soul mates ni bonding of souls between positive and negative.

Kilichopo kati yako na mama yako ni the greatest love of all ambayo mme bond due to fiduciary relationship iliyotokana na mama kukosa twin soul mapenzi akayahamishia kwako, na wewe you were once bitten in love, once bitten, twice shy, ukayahamishia mapenzi kwa mama mka bond lakini sio soul mates ndio maana mama anakuja kuongea tuu na wewe lakini hakuiti.

Soul mates ni bonding of love and sex from physical love, emotional love and spiritual love, mmoja akitangulia, mwingine anamfuata kuendeleza the togetherness.

Blood relatives wanaoweza kuitana ni the identical twins, mmoja akitangulia, anamuita mwenzake.

P.
 
Mama yako hawezi kuwa soul mate wako. Soul mates ni bonding of souls between positive and negative.

Kilichopo kati yako na mama yako ni the greatest love of all ambayo mme bond due to fiduciary relationship iliyotokana na mama kukosa twin soul mapenzi akayahamishia kwako, na wewe you were once bitten in love, once bitten, twice shy, ukayahamishia mapenzi kwa mama mka bond lakini sio soul mates ndio maana mama anakuja kuongea tuu na wewe lakini hakuiti.

Soul mates ni bonding of love and sex from physical love, emotional love and spiritual love, mmoja akitangulia, mwingine anamfuata kuendeleza the togetherness.

Blood relatives wanaoweza kuitana ni the identical twins, mmoja akitangulia, anamuita mwenzake.

P.
oh kumbe thta's how you meant!
oh well! then nimekuelewa!
asante
 
Kuna ndoto nyingine zinakuwa ni ujumbe unakuja kwa njia ya ndoto, sema kwa vile tunakuwa hatuna elimu ya ndoto tunaona ni ndoto kama nyingine, ila ni mawasiliano baina ya ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili.
 
Daisy Llilies, hapa tunazungumzia hypothetical situation please usitaje majina ya watu ili usije kuwa hurt wafiwa, maana sisi Waafrika unakuta mtu ana soul mates, hivyo soul mate mmoja akamuita na kuitikia, hivyo kumfuata, soul mate mmoja na kumuacha soul mate mwingine, hivyo huyo soul mate aliyebakia naye anaweza kuitwa kwenda kuendeleza threesome.

Haya mambo ya soul mate ni very hard to comprehend.

P
Hahaa
 
Mama yako hawezi kuwa soul mate wako. Soul mates ni bonding of souls between positive and negative.

Kilichopo kati yako na mama yako ni the greatest love of all ambayo mme bond due to fiduciary relationship iliyotokana na mama kukosa twin soul mapenzi akayahamishia kwako, na wewe you were once bitten in love, once bitten, twice shy, ukayahamishia mapenzi kwa mama mka bond lakini sio soul mates ndio maana mama anakuja kuongea tuu na wewe lakini hakuiti.

Soul mates ni bonding of love and sex from physical love, emotional love and spiritual love, mmoja akitangulia, mwingine anamfuata kuendeleza the togetherness.

Blood relatives wanaoweza kuitana ni the identical twins, mmoja akitangulia, anamuita mwenzake.

P.
So marehemuz uliowataja walibondije kwenye sex sasa 😂😂😂
Huyo nanihii wa clouds na mdogowake
Tukienda hivyo ulichoandika utanichanganya au hai apply Kwa wanaume?!
 
Mkuu Pascal Mayalla kwenye hiyo nyumba ya Ef kulikuwa na nini mpaka jamaa akahamà na kuacha kila kitu????
Nakuomba utoe mwangaza kidogo...
Nyumba nyingi ambazo baba au mama amekufa, zinakuwa na haunted houses, ili kuondoa haunting, unabadili fenicha zote za marehemu hadi kitanda, gawa nguo na vitu vyake, au hama nyumba pangisha.

Wewe ndio wa mwisho kulala, ulikuwa unaangalia tamthilia za Telemundo, ukachoka, ukazima TV, ukazima taa, ukaenda kulala, mara ukashituka usiku, uchelewi kusikia kama mtu anatembea sebuleni usiku, huku unasikia sauti ya TV, ukitoka room, unakuta kweli sebuleni taa inawaka na TV imewaka, unakwenda kuzima, kuangalia ... la haula, unataka kuzimia kwa mshtuko, unamuona amekaa kwenye favourite seat yake ana watch TV, ukishtuka, anapotea, ila TV inabaki inawaka na wewe uliizima na taa za sebuleni, ulizima. Unajiuliza hupati jibu, unarudi room unamuona amelala sehemu yake....
Utahama...!.

Mambo ya ghosts, yapo ila sehumu kubwa ni dhana tuu za the state of mind yako inakuwa kwenye the highest stages of mind suggestibility. Hata vitu vinavyoitwa apparitions, ni works of mind kwenye the spiritual world.
P.
 
So marehemuz uliowataja walibondije kwenye sex sasa 😂😂😂
Huyo nanihii wa clouds na mdogowake
Tukienda hivyo ulichoandika utanichanganya au hai apply Kwa wanaume?!
Monye Penny, soul mate ni yule uliyeandikiwa, kama ni soul mate hata kama mliachana, akikuita, ukaitika, unamfuata.
Kibonde aliitwa na soul mate wake ambaye ni mkewe na sio Ruge, ila kama Ruge nae kaacha soul mate, anaweza kumuita akamjoin!.
Kwa wanawake soul mate ni mwanaume mmoja tuu, lakini kwa wanaume wanaweza kuwa na soul mate zaidi ya mmoja.
P.
 
Paschal, hapo hutapata majibu - aliyeumbwa, akaishi, akafa kisha akafufuka ndiye awezaye kuthibitisha - sisi binadamu tunabaki na uelewa wa upande mmoja au mbili (kuzaliwa na kufa) vingine vinavyofuata hapo ni dhanifu (idealism)
 
Nyumba nyingi ambazo baba au mama amekufa, zinakuwa na haunted houses, ili kuondoa haunting, unabadili fenicha zote za marehemu hadi kitanda, gawa nguo na vitu vyake, au hama nyumba pangisha.

Wewe ndio wa mwisho kulala, ulikuwa unaangalia tamthilia za Telemundo, ukachoka, ukazima TV, ukazima taa, ukaenda kulala, mara ukashituka usiku, uchelewi kusikia kama mtu anatembea sebuleni usiku, huku unasikia sauti ya TV, ukitoka room, unakuta kweli sebuleni taa inawaka na TV imewaka, unakwenda kuzima, kuangalia ... la haula, unataka kuzimia kwa mshtuko, unamuona amekaa kwenye favourite seat yake ana watch TV, ukishtuka, anapotea, ila TV inabaki inawaka na wewe uliizima na taa za sebuleni, ulizima. Unajiuliza hupati jibu, unarudi room unamuona amelala sehemu yake....
Utahama...!.

Mambo ya ghosts, yapo ila sehumu kubwa ni dhana tuu za the state of mind yako inakuwa kwenye the highest stages of mind suggestibility. Hata vitu vinavyoitwa apparitions, ni works of mind kwenye the spiritual world.
P.


Hmmmh hmmm kuna wakati unasikia mtu anafagia chumba cha pili ila kupo giza na ukienda hukuti mtu...

Vipi kama wewe ni jasiri na ukaenda sebuleni ukamkuta anaangalia tv na usishtuke wala kuogopa alafu unamwambia kamwene,ugonile,kumbe ndio wewe umewasha nikajua imejiwasha....

Inawezekana kweli hawa ghost huwa wanakuja na sababu kubwa ni nini hadi waje,je hawana madhara?

Au ni dhana tu kama ulivyosema
 
Monye Penny, soul mate ni yule uliyeandikiwa, kama ni soul mate hata kama mliachana, akikuita, ukaitika, unamfuata.
Kibonde aliitwa na soul mate wake ambaye ni mkewe na sio Ruge, ila kama Ruge nae kaacha soul mate, anaweza kumuita akamjoin!.
Kwa wanawake soul mate ni mwanaume mmoja tuu, lakini kwa wanaume wanaweza kuwa na soul mate zaidi ya mmoja.
P.
Kwahiyo mnajipendelea wanaume sio?
Hii inadhihirisha jinsi gani wanaume hamnaga Mapenzi ya kweli
 
Kwahiyo mnajipendelea wanaume sio?
Hii inadhihirisha jinsi gani wanaume hamnaga Mapenzi ya kweli
Mkuu Money Penny, sio kuwa tunajipendelea bali huo ndio ulikuwa mpango wa Mungu katika uumbaji, mtu aliyepangwa kuumbwa ni mwanaume, ila baada ya kumuona ni mpweke, ndipo akamuumbia msaidizi, kutoka kwenye ubavu wake. Hivyo mwanamke ameumbwa ili tuu awe msaidizi wa mwanaume, to give him company haswa kwa zile comfort.

Kwa vile kuna kipindi mwanamke anakuwa hawezi, sio vema kwa mwanaume kukosa hizo huduma, hivyo mwanaume ana haki ya kuzipata kwa mwingine. Tena zamani ilikuwa ni mwanamke ndie anamtafutia mumewe wasaidizi na wote mtapendwa mapenzi ya kweli.

Enzi hizo, siku mume akifa, alikuwa anazikwa pamoja na yule mke aliyempenda sana, hivyo wanawake wa zamani walikuwa na akili sana, akiishaona mzee ameanza kuzeeka, anamtafutia kabinti kabichi dogodogo kumtia joto, siku ya siku, Mzee akichomoka, anazikwa na kabinti kuendelea kumhudumia huko.

India wanachoma kwa heap ya kuni, halafu wakati moto umepamba moto, mke kipenzi kutakiwa kukimbia mbio na kujirusha motoni kwenda kumkumbatia, hivyo she is burned alive, hii inaitwa Sati, ni ushajaa mkubwa sana. Mwanamke anayekufa kwa Sati, dhambi zake zote zinafutika instant na kufuta thambi back mumewe na wote wanakwenda peponi straight kwenye after life na kuendelea na mapenzi yao kwenye reicarnation

P
 
.

India wanachoma kwa heap ya kuni, halafu wakati moto umepamba moto, mke kipenzi kutakiwa kukimbia mbio na kujirusha motoni kwenda kumkumbatia, hivyo she is burned alive, hii inaitwa Sati, ni ushajaa mkubwa sana. Mwanamke anayekufa kwa Sati, dhambi zake zote zinafutika instant na kufuta thambi back mumewe na wote wanakwenda peponi straight kwenye after life na kuendelea na mapenzi yao kwenye reicarnation

P

Hiyo 'Sati' inawahusu wanaume pia..? Kwamba ikitokea 'mke kipenzi' katangulia, mume ajirushe kwa moto..!!
 
Hiyo 'Sati' inawahusu wanaume pia..? Kwamba ikitokea 'mke kipenzi' katangulia, mume ajirushe kwa moto..!!
I'm not sure kama Sati inawahusu wanaume, Sati zote nilizosoma ziliwahusu Wanawakee tuu.
P
 
Mkuu Money Penny, sio kuwa tunajipendelea bali huo ndio ulikuwa mpango wa Mungu katika uumbaji, mtu aliyepangwa kuumbwa ni mwanaume, ila baada ya kumuona ni mpweke, ndipo akamuumbia msaidizi, kutoka kwenye ubavu wake. Hivyo mwanamke ameumbwa ili tuu awe msaidizi wa mwanaume, to give him company haswa kwa zile comfort.

Kwa vile kuna kipindi mwanamke anakuwa hawezi, sio vema kwa mwanaume kukosa hizo huduma, hivyo mwanaume ana haki ya kuzipata kwa mwingine. Tena zamani ilikuwa ni mwanamke ndie anamtafutia mumewe wasaidizi na wote mtapendwa mapenzi ya kweli.

Enzi hizo, siku mume akifa, alikuwa anazikwa pamoja na yule mke aliyempenda sana, hivyo wanawake wa zamani walikuwa na akili sana, akiishaona mzee ameanza kuzeeka, anamtafutia kabinti kabichi dogodogo kumtia joto, siku ya siku, Mzee akichomoka, anazikwa na kabinti kuendelea kumhudumia huko.

India wanachoma kwa heap ya kuni, halafu wakati moto umepamba moto, mke kipenzi kutakiwa kukimbia mbio na kujirusha motoni kwenda kumkumbatia, hivyo she is burned alive, hii inaitwa Sati, ni ushajaa mkubwa sana. Mwanamke anayekufa kwa Sati, dhambi zake zote zinafutika instant na kufuta thambi back mumewe na wote wanakwenda peponi straight kwenye after life na kuendelea na mapenzi yao kwenye reicarnation

P
Ahahahahahhahhhah, nimecheka sana. Mkuu P, ndo unavyoamin na ww au vip
 
Mkuu Money Penny, sio kuwa tunajipendelea bali huo ndio ulikuwa mpango wa Mungu katika uumbaji, mtu aliyepangwa kuumbwa ni mwanaume, ila baada ya kumuona ni mpweke, ndipo akamuumbia msaidizi, kutoka kwenye ubavu wake. Hivyo mwanamke ameumbwa ili tuu awe msaidizi wa mwanaume, to give him company haswa kwa zile comfort.

Kwa vile kuna kipindi mwanamke anakuwa hawezi, sio vema kwa mwanaume kukosa hizo huduma, hivyo mwanaume ana haki ya kuzipata kwa mwingine. Tena zamani ilikuwa ni mwanamke ndie anamtafutia mumewe wasaidizi na wote mtapendwa mapenzi ya kweli.

Enzi hizo, siku mume akifa, alikuwa anazikwa pamoja na yule mke aliyempenda sana, hivyo wanawake wa zamani walikuwa na akili sana, akiishaona mzee ameanza kuzeeka, anamtafutia kabinti kabichi dogodogo kumtia joto, siku ya siku, Mzee akichomoka, anazikwa na kabinti kuendelea kumhudumia huko.

India wanachoma kwa heap ya kuni, halafu wakati moto umepamba moto, mke kipenzi kutakiwa kukimbia mbio na kujirusha motoni kwenda kumkumbatia, hivyo she is burned alive, hii inaitwa Sati, ni ushajaa mkubwa sana. Mwanamke anayekufa kwa Sati, dhambi zake zote zinafutika instant na kufuta thambi back mumewe na wote wanakwenda peponi straight kwenye after life na kuendelea na mapenzi yao kwenye reicarnation

P
sihitaji kuwa kipenzi cha mhindi looooo!
 
Wanabodi,

Roho za Wafu, Zinaweza Kuziita Roho za Walio Hai Au Walio Hai, Wakajipeleka Wenyewe Kifoni.
Watu walikufa ambao roho zao zinaishi kwenye ulimwengu wa Roho, wanaweza kuwaita watu wowote wenye strong bond nao, kutoka duniani na kuwafuata kifoni, wengi wa watu wanaitwa kwa namna hii, hufa ghafla. Wengi ni pale

Hitimisho.
Kwa vile kwa sisi binadamu wote hapa duniani tuko safari tuu, kuelekea kwenye maisha ya milele, tusiwalilie waliotangulia na kuhuzunika saana kwa kuwakosa, tuhunike kibinaadamu, tulie kwa kiasi, maisha ni lazima yaendelee, bali tujiangalie sisi wenyewe, kwa nafsi zetu, jee tumejiandaa kuitika wito wakati siku yetu na saa yetu ikitakapofika?.

Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala saa.

Paskali
Rejea
Life after Death: What Happens after Death? - JamiiForums

Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo? - JamiiForums

"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza Ya Uponyaji kwa Imani!. -Kila Mtu Anazo! - JamiiForums

Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina? - JamiiForums
Wanabodi, wakati tukiwa kwenye maombolezo ya kitaifa ya kumlilia mpendwa JPM, sio vibaya tukakumbushana, tusilie sana na kuomboleza hadi kupitiliza ikawa kufuru, tulie kwa kiasi, tuomboleze kwa kiasi, tusikufuru.

RIP JPM
P
 
Monye Penny, soul mate ni yule uliyeandikiwa, kama ni soul mate hata kama mliachana, akikuita, ukaitika, unamfuata.
Kibonde aliitwa na soul mate wake ambaye ni mkewe na sio Ruge, ila kama Ruge nae kaacha soul mate, anaweza kumuita akamjoin!.
Kwa wanawake soul mate ni mwanaume mmoja tuu, lakini kwa wanaume wanaweza kuwa na soul mate zaidi ya mmoja.
P.
Sasa kwa sie wenye ma soul mate zaidi ya 100+, inakuaje hapo mkuu..
 
Back
Top Bottom