Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa Magufuli, japo kimwili hatuko naye, lakini kiroho huko alipo, bado yuko hai, na kwa kutumia macho ya roho, anayaona mambo yote yanayoendelea kwenye Tanzania yake? Je, hiki tunachokifanya kwa wale aliowapenda, are we doing him right?. Na kama ni viongozi waliofanya uovu kipindi cha awamo ya tano, wako wengi, je tuendelee kuwashughulikia kwa double standards ya kutumia mfumo wa cherry picking kwa kuchagua baadhi tuu wa kushughulikia na wengine kuwa spered, au tuiachie karma ndio iwashughulikie? kwasababu kwenye karma, hakuna mswalie Mtume, kila jiwe litapinduliwa!.

Muumini wa Karma na After Life
Naomba kuanza kwa kujitambulisha kuwa mimi sio tuu ni muumini wa karma, pia ni muumini wa life after life. Hivyo rais Magufuli japo ametutoka na hatupo nae, ametutoka kimwili tuu, lakini kiroho bado tuko nae, na huko alipo anayaona yote yanayoendelea baada ya yeye kutangulia, na anaona jinsi mnavyowatenda baadhi ya viongozi vipenzi wake kwa kuwa persecute kwa kuwa prosecute, na kuwadhalilisha, Jee huku ndiko kumuenzi? Suppose yeye angekuwepo, Ole Sabaya angetendwa alivyo tendwa majuzi?. Mjue Magufuli huko aliko bado yupo na anaona yote tunavyowatenda watu watu, asije akakasirika na akamlilia Mungu, watu wengine wakaitwa!.

Mimi na utetezi za haki za binaadamu, nilipigania adhabu ya kifo ifutwe, hata wahalifu wanastahi kutendewa haki na dignity!
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu, japo siungi mkono matendo kihalifu ya uhalifu wowote, ukiwemo uhalifu wa Ole Sabaya, lakini siungi mkono udhalilishaji wa aina yoyote anaofanyanywa na polisi, magereza, mahakamani na vyombo vya uchunguzi, jeshi la polisi, vyombo vya uchunguzi, ofisi ya DPP, na vyombo vya utoaji haki, mahakama, mfano jana pale Mahakamani, ameletwa huku amefungwa pingu, as if ni kibaka! Kama haitoshi, akachuchumalishwa as if kumzuia asitoroke!. Huu ni udhalilishaji, huyu ni mmoja wa viongozi vipenzi wa JPM. Kabla hajateuliwa DC, alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai kujifanya TISS, JPM akamteua, ikabidi hiyo kesi ife. Kwa vile kuna ahadi ya kumuenzi JPM, then tumuenzi kama ukipenda boga, penda na ua lake, na ukitupa jongoo, usitupe na mti wake!, kama tulimpenda JPM, na tukaahidi kumuenzi, then tuwapende na aliowapenda, hivyo Ole Sabaya, awe treated with dignity huku tukikumbuka kuwa Magufuli anayaona yote tunavyowatenda viongozi vijana wake!.

Life after life: Mwili wa nyama ndio unakufa na kugeuka mvumbi, mwili wa roho, haufi, na unaishi milele, hivyo Magufuli yupo na anaona yote!

Uhai ni nini na kifo ni nini?

Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili na roho. Sehemu ya kwanza ni huu mwili wa nyama, ambao umeumbwa kwa mavumbi, na siku ukifa, kinachokufa ni mwili huu wa nyama, unazikwa kaburini, humo ndani unaoza na kurudi kuwa mavumbi. Sehemu ya pili ya mwili ni roho, uhai hii ni pumzi Mungu aliyoipulizia kwenye ule udongo hivyo mwili kupata uhai. Hii ni Roho ya Mungu, the spiritual body, the astral body, mwili wa nyama unapokufa, roho haifi, bali roho huacha mwili na kurudi kwa Mungu. Hivyo kifo ni kitendo cha roho kuacha mwili, kukata roho.

Je, baada ya kifo, hiyo Roho inakwenda kuishi wapi?
Kama ulivyo mwili una sehemu mbili ya mwili na roho, mwili wa nyama na mwili wa roho, vivyo hivyo dunia ina sehemu mbili, Ulimwengu wa Kidunia, the physical world, na Ulimwengu wa Roho, the Spiritual World, mtu akifa, roho ikiacha mwili, mwili unabaki kwenye ulimwengu wa dunia, unazikwa unaoza na kugeuka kuwa mavumbi, Roho inakwenda kwenye ulimwengu wa Roho kuendeleo kuishi milele, being mbinguni, peponi, kuzimu, toharani, au jehanum kwenye moto wa milele, hii subject nyingine lakini roho hazifi kwa sababu roho ni Mungu. Hivyo mwili huo wa roho, unaona kila kitu kinachoendelea hapa duniani.

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Wakristu tunaamini Yesu alikufa, Yesu alifufuka na Atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayohusika kwenye ufufuko wa miili ni miili ya roho na sio miili ya nyama. Hivyo Magufuli yupo na anaona kila kitu!

Je, kwenye ahadi ya kumuenzi Magufuli tumuenzi kwa yote au tuchague mazuri tu?
Kwavile rais Magufuli hakuwa malaika, alikuwa ni binadamu, hivyo ana mazuri yake, na pia ana mabaya yake ya kibianadamu kama binaadamu mwingine yoyote, hakuna aliye mkamilifu, hivyo tumuenzi Magufuli kwa mema na mazuri yake kwa kuyaendeleza, halafu yale ya kibinaadamu, tumuachie mwenyewe, tuwe tumzika nayo siku ile pale Chato na tusiyazungumzie ili kuepuka kumzungumzia vibaya marehemu, hivyo tuyaepuke ili kumuacha marehemu apumzike kwa amani.

Baada ya Bwana Yesu kufa kwa mateso ya kusulubiwa na kifo msalabani, wanafunzi wake walijifungia kwa kuhofia na wao kusulubiwa, ndivyo ilivyo kwa Magufuli
Vivyo hivyo baada ya kifo cha Magufuli, kuna baadhi ya watu walilia kwa mengi wakiwemo wamachinga, Magufuli aliwaruhusu kufanya biashara popote, matokeo yake kwenye baadhi ya maeneo sasa ni balaa!. Siku Wamachinga wakiondolewa, watalia tena na kumkumbuka Magufuli, na wao pia watauliza kama kufukuzwa kwao ndiko kumuenzi Magufuli?. Ili kuwaelimisha watu wa aina hii, ni lazima waelimishwe kuwa Magufuli ataenziwa kwa mazuri tuu, hili la kuwaruhusu machinga kufanyabiashara popote, sii miongoni mwa mazuri ya kuenziwa.

Vivyo hivyo kwenye wateule wa JPM, kuna baadhi ya viongozi Magufuli aliwapenda sana, matokeo yake wakavimba vichwa, wakajiona kama miungu watu, wanaweza kufanya lolote na wasifanywe chochote, na hawakuamini kama Magufuli naye ni binadamu tuu, leo yupo, kesho anaweza asiwepo, au anaweza kufa. Mmoja wa wa watu hawa ni Ole Sabaya, siku ya mazishi ya Magufuli, mmoja kati ya waliolia sana ni Ole Sabaya, inawezekana alilia kwa mengi, uchungu wa kufiwa na mtu unaempenda sana, au wasiwasi wa nini kitampata baada ya nguzo na egemeo lake kuanguka, ndio maana mkamuona akifanya juhudi kubwa, ikiwemo kwenda Clouds kujisafisha, but very unfortunately, haukusaidia!.

Viongozi wahalifu kipindi chaAwamu ya Tano ni wengi, sio Sabaya pekee. Kama tumeamua kushughulika nao, tuwashughulikie wote
Kwenye awamu ya Tano, viongozi waliotenda mambo ya ajabu ajabu ni wengi, sio Ole Sabaya peke yake, kama awamu hii ya 6 ya Mama Samia, imeamua kuwashughulikia, then iwashughulikie wote. Tuache kufanya double standard ya cherry picking kuwashughulikia baadhi, wengine pia wapo na baadhi yao Mama Samia kaamua kuendelea kuwabeba mfano mzuri ni RC mmoja alimuamuru RPC wake kuwa namna ya kupunguza msongamano magerezani, ni kuwapiga risasi papo hapo vibaka wote, na kujiproud kwa ushujaa wake jinsi alivyo muua kibaka kwa kumpiga risasi mbili za kichwa na kumuua papo hapo, kisha akajipongeza kwa kunywa bia mbili!

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Kwa vile kuna viongozi Rais Magufuli aliwapenda, Rais Mama Samia halazimiki kuwapenda, ndio maana tangu Rais Samia alipoingia tu, ameanza vizuri, mfano kitendo cha kuutengua uteuzi wa Dr. Bashiru kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, na kumpa ubunge, ni demotion ya kistaarabu, mimi ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuupongeza uamuzi huo, nikazitolea pongezi zangu hewani kupitia Sauti ya Ujerumani na BBC Swahili.

Kwavile hili ni bandiko la life after life, yaani Magufuli huko aliko anayaona yote tunayawatendea aliowapenda, kama wakati wa Magufuli, sisi Watanzania, tuliwavumilia, na sasa wakati wa Samia, pia tuwavumilie, tusiwasulubishe kama alivyofanywa Sabaya, kitendo cha kutoteuliwa, kutoka mtu ulikuwa everthing, to nobody ni adhabu tosha, itoshe, kwasababu no one knows kwa sasa kule mbinguni Magufuli amepewa wadhifa gani, inawezekana yuko karibu sana na Mungu, hivyo akiona jinsi tunavyowatendea wale aliowapenda kama Sabaya, akakasirika na kumuomba Mungu, awaite baadhi ya watu!. Kama yeye mwenyewe aliweza kuitwa na sasa hayupo, then anyone anaweza kuitwa anytime, lets not risk viongozi wengine kuitwa. Hao waliofanya uovu, baada ya kutoteuliwa, tuiachie Karma iendelee kushughulika nao.

Nawaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kazi Iendelee.

Paskali
Tukishughulika na wahalifu wa awamu ya tano, kamwe Mwendazake hawezi kuachwa, ni mhusika mkuu wa yote yaliyotokea kwana aliyabariki na kuzuia uchunguzi usifanywe. Kilichogunduliwa hadi sasa ni tip of an iceberg, bado sana tu na mengi yatawashangaza watu. Mwendazake hajaenda popote, yupo tu hapo ghamboshi anateseka kama misukule wengine, dunia hii ni ya ajabu sana!
 
Kama Kuna mtu Alie wahi kufa nakuona kweli kwamba aliekufa anaweza kuona yanayoendelea huku duniani anyooshe kidole.

Kam wanaweza kuona yanayoendelea hawashindwi kufanya chochote!

Kuna watu wanauliwa, watoto wao wanadhulimilumiwa na kufukuzwa nankuishi maisha ya mateso yasiokua na namna ya kuelezea, Kama kweli wazazi wao waliokufa wanaweza kuona kweli washindwe kuwatetea watoto wao?

Mungu amjalie uzima usio na mwisho panapo wakati ndugu magufuli, lakini hakika waliofanya wasaidizi wake kwa ngazi ya uongozi Ni makubwa kuliko wanayoyapitia.
 
Nimekudharau!
Hapo kwa kosa lipi, Bashiru Kwa kosa lipi kikatiba, Polepole naye,

Huu ushabiki wa kipumbavu mnaoufanya hapa, hauna maana zaidi ya chuki zenu
Chuki zenu wakina nani?.maana ata wewe inaonekana una chuki na baadhi ya watu ndo maana omeqoute mawazo ya mtu mmoja kwenye wingi.
 
Wewe ni MNAFIKI uliye KUBUHU.
Pascal utaharibu mambo Wengine wameomba msamaha tayari

Kheri James aliomba msamaha kwa aibu lakini alijitahidi kidogo, Usimsagie kunguni maana Wengine waliropoka tu hawakufanya kwa vitendo kama Ole Sabaya

Unazidi kuwasagia watu kunguni

Unapotaka kujenga utaifa upya lazima uwashughulikie mtu kama Sabaya

Akiwashughulikia Bashiru na Polepole hapo sasa ndio Climax unakuwa umejenga Taifa moja la upendo na Amani aliloliacha Mwalimu Nyerere

Marehamu akishakufa amekufa tu

Pascal kwa mujibu wa Biblia, Maisha ya mwanadamu ni kama jani tu hunawiri na kusinyaa baadae linakatwa

Mwendazake hayupo, Huyu angepewa mitano tena ilikuwa balaa Tanzania

Hebu Fikiria magazeti yalikosa soko yaligeuka magazeti ya kuuzia vitumbua, Maana walikuwa wanachora Madaraja na SGR kila siku Front page

Nani alisoma magazeti, Leo hapa nataka nikanunue gazeti nisome watu aliowaumiza Sabaya,

Ni mwisho wa enzi
 
Paskali leo umeleta mada dhaifu sana. Kwanza hayo mambo ya life after death ni dhana za kufikirika ambazo kwa msomi kama wewe ilitakiwa uwe unajua ni mambo yasiyoweza kuthibitishwa ambayo yanatakiwa kuaminiwa na laymen only.
Pascal Mayalla hajawahi kuleta hoja yenye mashiko! Na aliharibu zaidi kujitokeza hadharani na kugombea Ubunge kwa tiketi ya CCM (kura za maoni) na baadae kuendelea kujifanya yuko NEUTRAL
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa Magufuli, japo kimwili hatuko naye, lakini kiroho huko alipo, bado yuko hai, na kwa kutumia macho ya roho, anayaona mambo yote yanayoendelea kwenye Tanzania yake? Je, hiki tunachokifanya kwa wale aliowapenda, are we doing him right?. Na kama ni viongozi waliofanya uovu kipindi cha awamo ya tano, wako wengi, je tuendelee kuwashughulikia kwa double standards ya kutumia mfumo wa cherry picking kwa kuchagua baadhi tuu wa kushughulikia na wengine kuwa spered, au tuiachie karma ndio iwashughulikie? kwasababu kwenye karma, hakuna mswalie Mtume, kila jiwe litapinduliwa!.

Muumini wa Karma na After Life
Naomba kuanza kwa kujitambulisha kuwa mimi sio tuu ni muumini wa karma, pia ni muumini wa life after life. Hivyo rais Magufuli japo ametutoka na hatupo nae, ametutoka kimwili tuu, lakini kiroho bado tuko nae, na huko alipo anayaona yote yanayoendelea baada ya yeye kutangulia, na anaona jinsi mnavyowatenda baadhi ya viongozi vipenzi wake kwa kuwa persecute kwa kuwa prosecute, na kuwadhalilisha, Jee huku ndiko kumuenzi? Suppose yeye angekuwepo, Ole Sabaya angetendwa alivyo tendwa majuzi?. Mjue Magufuli huko aliko bado yupo na anaona yote tunavyowatenda watu watu, asije akakasirika na akamlilia Mungu, watu wengine wakaitwa!.

Mimi na utetezi za haki za binaadamu, nilipigania adhabu ya kifo ifutwe, hata wahalifu wanastahi kutendewa haki na dignity!
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu, japo siungi mkono matendo kihalifu ya uhalifu wowote, ukiwemo uhalifu wa Ole Sabaya, lakini siungi mkono udhalilishaji wa aina yoyote anaofanyanywa na polisi, magereza, mahakamani na vyombo vya uchunguzi, jeshi la polisi, vyombo vya uchunguzi, ofisi ya DPP, na vyombo vya utoaji haki, mahakama, mfano jana pale Mahakamani, ameletwa huku amefungwa pingu, as if ni kibaka! Kama haitoshi, akachuchumalishwa as if kumzuia asitoroke!. Huu ni udhalilishaji, huyu ni mmoja wa viongozi vipenzi wa JPM. Kabla hajateuliwa DC, alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai kujifanya TISS, JPM akamteua, ikabidi hiyo kesi ife. Kwa vile kuna ahadi ya kumuenzi JPM, then tumuenzi kama ukipenda boga, penda na ua lake, na ukitupa jongoo, usitupe na mti wake!, kama tulimpenda JPM, na tukaahidi kumuenzi, then tuwapende na aliowapenda, hivyo Ole Sabaya, awe treated with dignity huku tukikumbuka kuwa Magufuli anayaona yote tunavyowatenda viongozi vijana wake!.

Life after life: Mwili wa nyama ndio unakufa na kugeuka mvumbi, mwili wa roho, haufi, na unaishi milele, hivyo Magufuli yupo na anaona yote!

Uhai ni nini na kifo ni nini?

Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili na roho. Sehemu ya kwanza ni huu mwili wa nyama, ambao umeumbwa kwa mavumbi, na siku ukifa, kinachokufa ni mwili huu wa nyama, unazikwa kaburini, humo ndani unaoza na kurudi kuwa mavumbi. Sehemu ya pili ya mwili ni roho, uhai hii ni pumzi Mungu aliyoipulizia kwenye ule udongo hivyo mwili kupata uhai. Hii ni Roho ya Mungu, the spiritual body, the astral body, mwili wa nyama unapokufa, roho haifi, bali roho huacha mwili na kurudi kwa Mungu. Hivyo kifo ni kitendo cha roho kuacha mwili, kukata roho.

Je, baada ya kifo, hiyo Roho inakwenda kuishi wapi?
Kama ulivyo mwili una sehemu mbili ya mwili na roho, mwili wa nyama na mwili wa roho, vivyo hivyo dunia ina sehemu mbili, Ulimwengu wa Kidunia, the physical world, na Ulimwengu wa Roho, the Spiritual World, mtu akifa, roho ikiacha mwili, mwili unabaki kwenye ulimwengu wa dunia, unazikwa unaoza na kugeuka kuwa mavumbi, Roho inakwenda kwenye ulimwengu wa Roho kuendeleo kuishi milele, being mbinguni, peponi, kuzimu, toharani, au jehanum kwenye moto wa milele, hii subject nyingine lakini roho hazifi kwa sababu roho ni Mungu. Hivyo mwili huo wa roho, unaona kila kitu kinachoendelea hapa duniani.

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Wakristu tunaamini Yesu alikufa, Yesu alifufuka na Atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayohusika kwenye ufufuko wa miili ni miili ya roho na sio miili ya nyama. Hivyo Magufuli yupo na anaona kila kitu!

Je, kwenye ahadi ya kumuenzi Magufuli tumuenzi kwa yote au tuchague mazuri tu?
Kwavile rais Magufuli hakuwa malaika, alikuwa ni binadamu, hivyo ana mazuri yake, na pia ana mabaya yake ya kibianadamu kama binaadamu mwingine yoyote, hakuna aliye mkamilifu, hivyo tumuenzi Magufuli kwa mema na mazuri yake kwa kuyaendeleza, halafu yale ya kibinaadamu, tumuachie mwenyewe, tuwe tumzika nayo siku ile pale Chato na tusiyazungumzie ili kuepuka kumzungumzia vibaya marehemu, hivyo tuyaepuke ili kumuacha marehemu apumzike kwa amani.

Baada ya Bwana Yesu kufa kwa mateso ya kusulubiwa na kifo msalabani, wanafunzi wake walijifungia kwa kuhofia na wao kusulubiwa, ndivyo ilivyo kwa Magufuli
Vivyo hivyo baada ya kifo cha Magufuli, kuna baadhi ya watu walilia kwa mengi wakiwemo wamachinga, Magufuli aliwaruhusu kufanya biashara popote, matokeo yake kwenye baadhi ya maeneo sasa ni balaa!. Siku Wamachinga wakiondolewa, watalia tena na kumkumbuka Magufuli, na wao pia watauliza kama kufukuzwa kwao ndiko kumuenzi Magufuli?. Ili kuwaelimisha watu wa aina hii, ni lazima waelimishwe kuwa Magufuli ataenziwa kwa mazuri tuu, hili la kuwaruhusu machinga kufanyabiashara popote, sii miongoni mwa mazuri ya kuenziwa.

Vivyo hivyo kwenye wateule wa JPM, kuna baadhi ya viongozi Magufuli aliwapenda sana, matokeo yake wakavimba vichwa, wakajiona kama miungu watu, wanaweza kufanya lolote na wasifanywe chochote, na hawakuamini kama Magufuli naye ni binadamu tuu, leo yupo, kesho anaweza asiwepo, au anaweza kufa. Mmoja wa wa watu hawa ni Ole Sabaya, siku ya mazishi ya Magufuli, mmoja kati ya waliolia sana ni Ole Sabaya, inawezekana alilia kwa mengi, uchungu wa kufiwa na mtu unaempenda sana, au wasiwasi wa nini kitampata baada ya nguzo na egemeo lake kuanguka, ndio maana mkamuona akifanya juhudi kubwa, ikiwemo kwenda Clouds kujisafisha, but very unfortunately, haukusaidia!.

Viongozi wahalifu kipindi chaAwamu ya Tano ni wengi, sio Sabaya pekee. Kama tumeamua kushughulika nao, tuwashughulikie wote
Kwenye awamu ya Tano, viongozi waliotenda mambo ya ajabu ajabu ni wengi, sio Ole Sabaya peke yake, kama awamu hii ya 6 ya Mama Samia, imeamua kuwashughulikia, then iwashughulikie wote. Tuache kufanya double standard ya cherry picking kuwashughulikia baadhi, wengine pia wapo na baadhi yao Mama Samia kaamua kuendelea kuwabeba mfano mzuri ni RC mmoja alimuamuru RPC wake kuwa namna ya kupunguza msongamano magerezani, ni kuwapiga risasi papo hapo vibaka wote, na kujiproud kwa ushujaa wake jinsi alivyo muua kibaka kwa kumpiga risasi mbili za kichwa na kumuua papo hapo, kisha akajipongeza kwa kunywa bia mbili!

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Kwa vile kuna viongozi Rais Magufuli aliwapenda, Rais Mama Samia halazimiki kuwapenda, ndio maana tangu Rais Samia alipoingia tu, ameanza vizuri, mfano kitendo cha kuutengua uteuzi wa Dr. Bashiru kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, na kumpa ubunge, ni demotion ya kistaarabu, mimi ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuupongeza uamuzi huo, nikazitolea pongezi zangu hewani kupitia Sauti ya Ujerumani na BBC Swahili.

Kwavile hili ni bandiko la life after life, yaani Magufuli huko aliko anayaona yote tunayawatendea aliowapenda, kama wakati wa Magufuli, sisi Watanzania, tuliwavumilia, na sasa wakati wa Samia, pia tuwavumilie, tusiwasulubishe kama alivyofanywa Sabaya, kitendo cha kutoteuliwa, kutoka mtu ulikuwa everthing, to nobody ni adhabu tosha, itoshe, kwasababu no one knows kwa sasa kule mbinguni Magufuli amepewa wadhifa gani, inawezekana yuko karibu sana na Mungu, hivyo akiona jinsi tunavyowatendea wale aliowapenda kama Sabaya, akakasirika na kumuomba Mungu, awaite baadhi ya watu!. Kama yeye mwenyewe aliweza kuitwa na sasa hayupo, then anyone anaweza kuitwa anytime, lets not risk viongozi wengine kuitwa. Hao waliofanya uovu, baada ya kutoteuliwa, tuiachie Karma iendelee kushughulika nao.

Nawaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kazi Iendelee.

Paskaliare you serious kweli?
Tanzania Yake?
 
"Eti Tanzania yake".brother hebu pumzika sasa.maana kama huu ugoro ulio andika hapa ndo unasema ni kwa maslahi ya taifa inaonyesha ni jinsi gani umechoka na kuchokwa sasa uko mbele unaweza kuja kuandika ujinga zaidi.
Utadhani jamaa halina ubongo 😊😊
 
kinacho nishangaza ni jinsi gani watanzania tusivyo penda kuheshimu utawala wa sheria.
Sabaya ni mtuhumiwa tu lkn tayari amesha tiwa hatiani na jamii na tayari amesha fungwa miaka kibao kabla hata Mahakama haijaanza kumsikiliza !!!
jamani tuache mihemko na jazba.
kati yetu na Mahakama nani mwenye jukumu la kutoa haki? bilashaka ni Mahakama, basi tuache ifanye kazi yake.
kama kuna ushahidi atafungwa kama hakuna ataachiwa na ataendelea na maisha yake kama kawaida.
ila sio vizuri kumdhalalisha, tuheshimu utunwake hata kama ni mtuhumiwa, tusimdhalilishe utu wake kwa mihemuko na presha za mitandao.
ni ukweli usio pingika kuwa tuhuma hizi sio tu zimemdhalilisha yeye mwenyewe bali pia zimewadhalilisha wale wote walio shika nafasi za UDC,lkn pia zimewanyong'onyesha sana haswa pale walipoona mwenzako kafungwa pingu na kukalishwa kichura.
 
Yaan Pascal kazeeka vibaya sanaa.
Magufuli ana Credibility gani kwa watanzania hata akaomba jambo kwa Mungu huko aliko Jehanamu kwa sasa akasikilizwa?

Magufuli angekuwa hai alitakiwa aunganishwe Katika hiyo kesi ya Ubakaji, Mauaji, utekaji na wizi wa siraha na kutakatisha pesa haramu ana bahati Mungu kaamua kumkata maana Mungu anasema siku za watendao uovu anazifupisha.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa Magufuli, japo kimwili hatuko naye, lakini kiroho huko alipo, bado yuko hai, na kwa kutumia macho ya roho, anayaona mambo yote yanayoendelea kwenye Tanzania yake? Je, hiki tunachokifanya kwa wale aliowapenda, are we doing him right?. Na kama ni viongozi waliofanya uovu kipindi cha awamo ya tano, wako wengi, je tuendelee kuwashughulikia kwa double standards ya kutumia mfumo wa cherry picking kwa kuchagua baadhi tuu wa kushughulikia na wengine kuwa spered, au tuiachie karma ndio iwashughulikie? kwasababu kwenye karma, hakuna mswalie Mtume, kila jiwe litapinduliwa!.

Muumini wa Karma na After Life
Naomba kuanza kwa kujitambulisha kuwa mimi sio tuu ni muumini wa karma, pia ni muumini wa life after life. Hivyo rais Magufuli japo ametutoka na hatupo nae, ametutoka kimwili tuu, lakini kiroho bado tuko nae, na huko alipo anayaona yote yanayoendelea baada ya yeye kutangulia, na anaona jinsi mnavyowatenda baadhi ya viongozi vipenzi wake kwa kuwa persecute kwa kuwa prosecute, na kuwadhalilisha, Jee huku ndiko kumuenzi? Suppose yeye angekuwepo, Ole Sabaya angetendwa alivyo tendwa majuzi?. Mjue Magufuli huko aliko bado yupo na anaona yote tunavyowatenda watu watu, asije akakasirika na akamlilia Mungu, watu wengine wakaitwa!.

Mimi na utetezi za haki za binaadamu, nilipigania adhabu ya kifo ifutwe, hata wahalifu wanastahi kutendewa haki na dignity!
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu, japo siungi mkono matendo kihalifu ya uhalifu wowote, ukiwemo uhalifu wa Ole Sabaya, lakini siungi mkono udhalilishaji wa aina yoyote anaofanyanywa na polisi, magereza, mahakamani na vyombo vya uchunguzi, jeshi la polisi, vyombo vya uchunguzi, ofisi ya DPP, na vyombo vya utoaji haki, mahakama, mfano jana pale Mahakamani, ameletwa huku amefungwa pingu, as if ni kibaka! Kama haitoshi, akachuchumalishwa as if kumzuia asitoroke!. Huu ni udhalilishaji, huyu ni mmoja wa viongozi vipenzi wa JPM. Kabla hajateuliwa DC, alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai kujifanya TISS, JPM akamteua, ikabidi hiyo kesi ife. Kwa vile kuna ahadi ya kumuenzi JPM, then tumuenzi kama ukipenda boga, penda na ua lake, na ukitupa jongoo, usitupe na mti wake!, kama tulimpenda JPM, na tukaahidi kumuenzi, then tuwapende na aliowapenda, hivyo Ole Sabaya, awe treated with dignity huku tukikumbuka kuwa Magufuli anayaona yote tunavyowatenda viongozi vijana wake!.

Life after life: Mwili wa nyama ndio unakufa na kugeuka mvumbi, mwili wa roho, haufi, na unaishi milele, hivyo Magufuli yupo na anaona yote!

Uhai ni nini na kifo ni nini?

Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili na roho. Sehemu ya kwanza ni huu mwili wa nyama, ambao umeumbwa kwa mavumbi, na siku ukifa, kinachokufa ni mwili huu wa nyama, unazikwa kaburini, humo ndani unaoza na kurudi kuwa mavumbi. Sehemu ya pili ya mwili ni roho, uhai hii ni pumzi Mungu aliyoipulizia kwenye ule udongo hivyo mwili kupata uhai. Hii ni Roho ya Mungu, the spiritual body, the astral body, mwili wa nyama unapokufa, roho haifi, bali roho huacha mwili na kurudi kwa Mungu. Hivyo kifo ni kitendo cha roho kuacha mwili, kukata roho.

Je, baada ya kifo, hiyo Roho inakwenda kuishi wapi?
Kama ulivyo mwili una sehemu mbili ya mwili na roho, mwili wa nyama na mwili wa roho, vivyo hivyo dunia ina sehemu mbili, Ulimwengu wa Kidunia, the physical world, na Ulimwengu wa Roho, the Spiritual World, mtu akifa, roho ikiacha mwili, mwili unabaki kwenye ulimwengu wa dunia, unazikwa unaoza na kugeuka kuwa mavumbi, Roho inakwenda kwenye ulimwengu wa Roho kuendeleo kuishi milele, being mbinguni, peponi, kuzimu, toharani, au jehanum kwenye moto wa milele, hii subject nyingine lakini roho hazifi kwa sababu roho ni Mungu. Hivyo mwili huo wa roho, unaona kila kitu kinachoendelea hapa duniani.

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Wakristu tunaamini Yesu alikufa, Yesu alifufuka na Atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayohusika kwenye ufufuko wa miili ni miili ya roho na sio miili ya nyama. Hivyo Magufuli yupo na anaona kila kitu!

Je, kwenye ahadi ya kumuenzi Magufuli tumuenzi kwa yote au tuchague mazuri tu?
Kwavile rais Magufuli hakuwa malaika, alikuwa ni binadamu, hivyo ana mazuri yake, na pia ana mabaya yake ya kibianadamu kama binaadamu mwingine yoyote, hakuna aliye mkamilifu, hivyo tumuenzi Magufuli kwa mema na mazuri yake kwa kuyaendeleza, halafu yale ya kibinaadamu, tumuachie mwenyewe, tuwe tumzika nayo siku ile pale Chato na tusiyazungumzie ili kuepuka kumzungumzia vibaya marehemu, hivyo tuyaepuke ili kumuacha marehemu apumzike kwa amani.

Baada ya Bwana Yesu kufa kwa mateso ya kusulubiwa na kifo msalabani, wanafunzi wake walijifungia kwa kuhofia na wao kusulubiwa, ndivyo ilivyo kwa Magufuli
Vivyo hivyo baada ya kifo cha Magufuli, kuna baadhi ya watu walilia kwa mengi wakiwemo wamachinga, Magufuli aliwaruhusu kufanya biashara popote, matokeo yake kwenye baadhi ya maeneo sasa ni balaa!. Siku Wamachinga wakiondolewa, watalia tena na kumkumbuka Magufuli, na wao pia watauliza kama kufukuzwa kwao ndiko kumuenzi Magufuli?. Ili kuwaelimisha watu wa aina hii, ni lazima waelimishwe kuwa Magufuli ataenziwa kwa mazuri tuu, hili la kuwaruhusu machinga kufanyabiashara popote, sii miongoni mwa mazuri ya kuenziwa.

Vivyo hivyo kwenye wateule wa JPM, kuna baadhi ya viongozi Magufuli aliwapenda sana, matokeo yake wakavimba vichwa, wakajiona kama miungu watu, wanaweza kufanya lolote na wasifanywe chochote, na hawakuamini kama Magufuli naye ni binadamu tuu, leo yupo, kesho anaweza asiwepo, au anaweza kufa. Mmoja wa wa watu hawa ni Ole Sabaya, siku ya mazishi ya Magufuli, mmoja kati ya waliolia sana ni Ole Sabaya, inawezekana alilia kwa mengi, uchungu wa kufiwa na mtu unaempenda sana, au wasiwasi wa nini kitampata baada ya nguzo na egemeo lake kuanguka, ndio maana mkamuona akifanya juhudi kubwa, ikiwemo kwenda Clouds kujisafisha, but very unfortunately, haukusaidia!.

Viongozi wahalifu kipindi chaAwamu ya Tano ni wengi, sio Sabaya pekee. Kama tumeamua kushughulika nao, tuwashughulikie wote
Kwenye awamu ya Tano, viongozi waliotenda mambo ya ajabu ajabu ni wengi, sio Ole Sabaya peke yake, kama awamu hii ya 6 ya Mama Samia, imeamua kuwashughulikia, then iwashughulikie wote. Tuache kufanya double standard ya cherry picking kuwashughulikia baadhi, wengine pia wapo na baadhi yao Mama Samia kaamua kuendelea kuwabeba mfano mzuri ni RC mmoja alimuamuru RPC wake kuwa namna ya kupunguza msongamano magerezani, ni kuwapiga risasi papo hapo vibaka wote, na kujiproud kwa ushujaa wake jinsi alivyo muua kibaka kwa kumpiga risasi mbili za kichwa na kumuua papo hapo, kisha akajipongeza kwa kunywa bia mbili!

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Kwa vile kuna viongozi Rais Magufuli aliwapenda, Rais Mama Samia halazimiki kuwapenda, ndio maana tangu Rais Samia alipoingia tu, ameanza vizuri, mfano kitendo cha kuutengua uteuzi wa Dr. Bashiru kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, na kumpa ubunge, ni demotion ya kistaarabu, mimi ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuupongeza uamuzi huo, nikazitolea pongezi zangu hewani kupitia Sauti ya Ujerumani na BBC Swahili.

Kwavile hili ni bandiko la life after life, yaani Magufuli huko aliko anayaona yote tunayawatendea aliowapenda, kama wakati wa Magufuli, sisi Watanzania, tuliwavumilia, na sasa wakati wa Samia, pia tuwavumilie, tusiwasulubishe kama alivyofanywa Sabaya, kitendo cha kutoteuliwa, kutoka mtu ulikuwa everthing, to nobody ni adhabu tosha, itoshe, kwasababu no one knows kwa sasa kule mbinguni Magufuli amepewa wadhifa gani, inawezekana yuko karibu sana na Mungu, hivyo akiona jinsi tunavyowatendea wale aliowapenda kama Sabaya, akakasirika na kumuomba Mungu, awaite baadhi ya watu!. Kama yeye mwenyewe aliweza kuitwa na sasa hayupo, then anyone anaweza kuitwa anytime, lets not risk viongozi wengine kuitwa. Hao waliofanya uovu, baada ya kutoteuliwa, tuiachie Karma iendelee kushughulika nao.

Nawaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kazi Iendelee.

Paskali
It is your right to believe in such old and long living utopia. It is some sort of deception to the frustrated individuals after missing a precious opportunity. "Pole Paskali".
 
Je, wajua kuwa Magufuli, japo kimwili hatuko naye, lakini kiroho huko alipo, bado yuko hai,
Twajua ila hauna udhibitisho juu ya haya madai, hivyo basi wewe ni muuongo kwa ufupi
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu
Hizi harakati zimeanza baada ya kifo cha mzee au vipi?

Vipi kuhusu wale waliopotea kipindi mzee yupo uliwahi kuandika makala kuhusu hiyo hali?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa Magufuli, japo kimwili hatuko naye, lakini kiroho huko alipo, bado yuko hai, na kwa kutumia macho ya roho, anayaona mambo yote yanayoendelea kwenye Tanzania yake? Je, hiki tunachokifanya kwa wale aliowapenda, are we doing him right?. Na kama ni viongozi waliofanya uovu kipindi cha awamo ya tano, wako wengi, je tuendelee kuwashughulikia kwa double standards ya kutumia mfumo wa cherry picking kwa kuchagua baadhi tuu wa kushughulikia na wengine kuwa spered, au tuiachie karma ndio iwashughulikie? kwasababu kwenye karma, hakuna mswalie Mtume, kila jiwe litapinduliwa!.

Muumini wa Karma na After Life
Naomba kuanza kwa kujitambulisha kuwa mimi sio tuu ni muumini wa karma, pia ni muumini wa life after life. Hivyo rais Magufuli japo ametutoka na hatupo nae, ametutoka kimwili tuu, lakini kiroho bado tuko nae, na huko alipo anayaona yote yanayoendelea baada ya yeye kutangulia, na anaona jinsi mnavyowatenda baadhi ya viongozi vipenzi wake kwa kuwa persecute kwa kuwa prosecute, na kuwadhalilisha, Jee huku ndiko kumuenzi? Suppose yeye angekuwepo, Ole Sabaya angetendwa alivyo tendwa majuzi?. Mjue Magufuli huko aliko bado yupo na anaona yote tunavyowatenda watu watu, asije akakasirika na akamlilia Mungu, watu wengine wakaitwa!.

Mimi na utetezi za haki za binaadamu, nilipigania adhabu ya kifo ifutwe, hata wahalifu wanastahi kutendewa haki na dignity!
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu, japo siungi mkono matendo kihalifu ya uhalifu wowote, ukiwemo uhalifu wa Ole Sabaya, lakini siungi mkono udhalilishaji wa aina yoyote anaofanyanywa na polisi, magereza, mahakamani na vyombo vya uchunguzi, jeshi la polisi, vyombo vya uchunguzi, ofisi ya DPP, na vyombo vya utoaji haki, mahakama, mfano jana pale Mahakamani, ameletwa huku amefungwa pingu, as if ni kibaka! Kama haitoshi, akachuchumalishwa as if kumzuia asitoroke!. Huu ni udhalilishaji, huyu ni mmoja wa viongozi vipenzi wa JPM. Kabla hajateuliwa DC, alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai kujifanya TISS, JPM akamteua, ikabidi hiyo kesi ife. Kwa vile kuna ahadi ya kumuenzi JPM, then tumuenzi kama ukipenda boga, penda na ua lake, na ukitupa jongoo, usitupe na mti wake!, kama tulimpenda JPM, na tukaahidi kumuenzi, then tuwapende na aliowapenda, hivyo Ole Sabaya, awe treated with dignity huku tukikumbuka kuwa Magufuli anayaona yote tunavyowatenda viongozi vijana wake!.

Life after life: Mwili wa nyama ndio unakufa na kugeuka mvumbi, mwili wa roho, haufi, na unaishi milele, hivyo Magufuli yupo na anaona yote!

Uhai ni nini na kifo ni nini?

Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili na roho. Sehemu ya kwanza ni huu mwili wa nyama, ambao umeumbwa kwa mavumbi, na siku ukifa, kinachokufa ni mwili huu wa nyama, unazikwa kaburini, humo ndani unaoza na kurudi kuwa mavumbi. Sehemu ya pili ya mwili ni roho, uhai hii ni pumzi Mungu aliyoipulizia kwenye ule udongo hivyo mwili kupata uhai. Hii ni Roho ya Mungu, the spiritual body, the astral body, mwili wa nyama unapokufa, roho haifi, bali roho huacha mwili na kurudi kwa Mungu. Hivyo kifo ni kitendo cha roho kuacha mwili, kukata roho.

Je, baada ya kifo, hiyo Roho inakwenda kuishi wapi?
Kama ulivyo mwili una sehemu mbili ya mwili na roho, mwili wa nyama na mwili wa roho, vivyo hivyo dunia ina sehemu mbili, Ulimwengu wa Kidunia, the physical world, na Ulimwengu wa Roho, the Spiritual World, mtu akifa, roho ikiacha mwili, mwili unabaki kwenye ulimwengu wa dunia, unazikwa unaoza na kugeuka kuwa mavumbi, Roho inakwenda kwenye ulimwengu wa Roho kuendeleo kuishi milele, being mbinguni, peponi, kuzimu, toharani, au jehanum kwenye moto wa milele, hii subject nyingine lakini roho hazifi kwa sababu roho ni Mungu. Hivyo mwili huo wa roho, unaona kila kitu kinachoendelea hapa duniani.

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Wakristu tunaamini Yesu alikufa, Yesu alifufuka na Atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayohusika kwenye ufufuko wa miili ni miili ya roho na sio miili ya nyama. Hivyo Magufuli yupo na anaona kila kitu!

Je, kwenye ahadi ya kumuenzi Magufuli tumuenzi kwa yote au tuchague mazuri tu?
Kwavile rais Magufuli hakuwa malaika, alikuwa ni binadamu, hivyo ana mazuri yake, na pia ana mabaya yake ya kibianadamu kama binaadamu mwingine yoyote, hakuna aliye mkamilifu, hivyo tumuenzi Magufuli kwa mema na mazuri yake kwa kuyaendeleza, halafu yale ya kibinaadamu, tumuachie mwenyewe, tuwe tumzika nayo siku ile pale Chato na tusiyazungumzie ili kuepuka kumzungumzia vibaya marehemu, hivyo tuyaepuke ili kumuacha marehemu apumzike kwa amani.

Baada ya Bwana Yesu kufa kwa mateso ya kusulubiwa na kifo msalabani, wanafunzi wake walijifungia kwa kuhofia na wao kusulubiwa, ndivyo ilivyo kwa Magufuli
Vivyo hivyo baada ya kifo cha Magufuli, kuna baadhi ya watu walilia kwa mengi wakiwemo wamachinga, Magufuli aliwaruhusu kufanya biashara popote, matokeo yake kwenye baadhi ya maeneo sasa ni balaa!. Siku Wamachinga wakiondolewa, watalia tena na kumkumbuka Magufuli, na wao pia watauliza kama kufukuzwa kwao ndiko kumuenzi Magufuli?. Ili kuwaelimisha watu wa aina hii, ni lazima waelimishwe kuwa Magufuli ataenziwa kwa mazuri tuu, hili la kuwaruhusu machinga kufanyabiashara popote, sii miongoni mwa mazuri ya kuenziwa.

Vivyo hivyo kwenye wateule wa JPM, kuna baadhi ya viongozi Magufuli aliwapenda sana, matokeo yake wakavimba vichwa, wakajiona kama miungu watu, wanaweza kufanya lolote na wasifanywe chochote, na hawakuamini kama Magufuli naye ni binadamu tuu, leo yupo, kesho anaweza asiwepo, au anaweza kufa. Mmoja wa wa watu hawa ni Ole Sabaya, siku ya mazishi ya Magufuli, mmoja kati ya waliolia sana ni Ole Sabaya, inawezekana alilia kwa mengi, uchungu wa kufiwa na mtu unaempenda sana, au wasiwasi wa nini kitampata baada ya nguzo na egemeo lake kuanguka, ndio maana mkamuona akifanya juhudi kubwa, ikiwemo kwenda Clouds kujisafisha, but very unfortunately, haukusaidia!.

Viongozi wahalifu kipindi chaAwamu ya Tano ni wengi, sio Sabaya pekee. Kama tumeamua kushughulika nao, tuwashughulikie wote
Kwenye awamu ya Tano, viongozi waliotenda mambo ya ajabu ajabu ni wengi, sio Ole Sabaya peke yake, kama awamu hii ya 6 ya Mama Samia, imeamua kuwashughulikia, then iwashughulikie wote. Tuache kufanya double standard ya cherry picking kuwashughulikia baadhi, wengine pia wapo na baadhi yao Mama Samia kaamua kuendelea kuwabeba mfano mzuri ni RC mmoja alimuamuru RPC wake kuwa namna ya kupunguza msongamano magerezani, ni kuwapiga risasi papo hapo vibaka wote, na kujiproud kwa ushujaa wake jinsi alivyo muua kibaka kwa kumpiga risasi mbili za kichwa na kumuua papo hapo, kisha akajipongeza kwa kunywa bia mbili!

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Kwa vile kuna viongozi Rais Magufuli aliwapenda, Rais Mama Samia halazimiki kuwapenda, ndio maana tangu Rais Samia alipoingia tu, ameanza vizuri, mfano kitendo cha kuutengua uteuzi wa Dr. Bashiru kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, na kumpa ubunge, ni demotion ya kistaarabu, mimi ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuupongeza uamuzi huo, nikazitolea pongezi zangu hewani kupitia Sauti ya Ujerumani na BBC Swahili.

Kwavile hili ni bandiko la life after life, yaani Magufuli huko aliko anayaona yote tunayawatendea aliowapenda, kama wakati wa Magufuli, sisi Watanzania, tuliwavumilia, na sasa wakati wa Samia, pia tuwavumilie, tusiwasulubishe kama alivyofanywa Sabaya, kitendo cha kutoteuliwa, kutoka mtu ulikuwa everthing, to nobody ni adhabu tosha, itoshe, kwasababu no one knows kwa sasa kule mbinguni Magufuli amepewa wadhifa gani, inawezekana yuko karibu sana na Mungu, hivyo akiona jinsi tunavyowatendea wale aliowapenda kama Sabaya, akakasirika na kumuomba Mungu, awaite baadhi ya watu!. Kama yeye mwenyewe aliweza kuitwa na sasa hayupo, then anyone anaweza kuitwa anytime, lets not risk viongozi wengine kuitwa. Hao waliofanya uovu, baada ya kutoteuliwa, tuiachie Karma iendelee kushughulika nao.

Nawaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kazi Iendelee.

Paskali
Hayo ya kufa na kusikia usiwalishe matango pori Waislam. Faidika na darsa dogo la FaizaFoxy...

Kama amekufa na hajauonja (hajuingia) umauti ndio itakuwaa hivyo usemavyo. Lakini kama kama ni mauti yaliomkuta basi saa hizi yupo kwenye "axis" nyingine kaboisa na baina ya axis hiyo na hii ya uhai kuna "barzak" (barrier) ambayo haivukiki kwa waliohai kwenda kwenye umauti na walio kwenye umauti kurudi kwenye uhai ila kwa kupenda mwenyewe Allah, muumba wa vyote.

Kufa bila kuuonja umauti ni kama vile upo usingizini kwenye "twilight zone" na umauti nakuwa Barzak ni kama vile upo kwenye "deep state of induced sleep". Huna unachokisikia au kukihisi.

Ushahidi soma Qur'an Surat Kahf (The Caave) ambapo ndipo Waingerezza wakajipatia neno "Cave"...

<iframe width="560" height="315" src="YouTube" title="YouTube video player" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture" allowfullscreen></iframe>
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa Magufuli, japo kimwili hatuko naye, lakini kiroho huko alipo, bado yuko hai, na kwa kutumia macho ya roho, anayaona mambo yote yanayoendelea kwenye Tanzania yake? Je, hiki tunachokifanya kwa wale aliowapenda, are we doing him right?. Na kama ni viongozi waliofanya uovu kipindi cha awamo ya tano, wako wengi, je tuendelee kuwashughulikia kwa double standards ya kutumia mfumo wa cherry picking kwa kuchagua baadhi tuu wa kushughulikia na wengine kuwa spered, au tuiachie karma ndio iwashughulikie? kwasababu kwenye karma, hakuna mswalie Mtume, kila jiwe litapinduliwa!.

Muumini wa Karma na After Life
Naomba kuanza kwa kujitambulisha kuwa mimi sio tuu ni muumini wa karma, pia ni muumini wa life after life. Hivyo rais Magufuli japo ametutoka na hatupo nae, ametutoka kimwili tuu, lakini kiroho bado tuko nae, na huko alipo anayaona yote yanayoendelea baada ya yeye kutangulia, na anaona jinsi mnavyowatenda baadhi ya viongozi vipenzi wake kwa kuwa persecute kwa kuwa prosecute, na kuwadhalilisha, Jee huku ndiko kumuenzi? Suppose yeye angekuwepo, Ole Sabaya angetendwa alivyo tendwa majuzi?. Mjue Magufuli huko aliko bado yupo na anaona yote tunavyowatenda watu watu, asije akakasirika na akamlilia Mungu, watu wengine wakaitwa!.

Mimi na utetezi za haki za binaadamu, nilipigania adhabu ya kifo ifutwe, hata wahalifu wanastahi kutendewa haki na dignity!
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu, japo siungi mkono matendo kihalifu ya uhalifu wowote, ukiwemo uhalifu wa Ole Sabaya, lakini siungi mkono udhalilishaji wa aina yoyote anaofanyanywa na polisi, magereza, mahakamani na vyombo vya uchunguzi, jeshi la polisi, vyombo vya uchunguzi, ofisi ya DPP, na vyombo vya utoaji haki, mahakama, mfano jana pale Mahakamani, ameletwa huku amefungwa pingu, as if ni kibaka! Kama haitoshi, akachuchumalishwa as if kumzuia asitoroke!. Huu ni udhalilishaji, huyu ni mmoja wa viongozi vipenzi wa JPM. Kabla hajateuliwa DC, alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai kujifanya TISS, JPM akamteua, ikabidi hiyo kesi ife. Kwa vile kuna ahadi ya kumuenzi JPM, then tumuenzi kama ukipenda boga, penda na ua lake, na ukitupa jongoo, usitupe na mti wake!, kama tulimpenda JPM, na tukaahidi kumuenzi, then tuwapende na aliowapenda, hivyo Ole Sabaya, awe treated with dignity huku tukikumbuka kuwa Magufuli anayaona yote tunavyowatenda viongozi vijana wake!.

Life after life: Mwili wa nyama ndio unakufa na kugeuka mvumbi, mwili wa roho, haufi, na unaishi milele, hivyo Magufuli yupo na anaona yote!

Uhai ni nini na kifo ni nini?

Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili na roho. Sehemu ya kwanza ni huu mwili wa nyama, ambao umeumbwa kwa mavumbi, na siku ukifa, kinachokufa ni mwili huu wa nyama, unazikwa kaburini, humo ndani unaoza na kurudi kuwa mavumbi. Sehemu ya pili ya mwili ni roho, uhai hii ni pumzi Mungu aliyoipulizia kwenye ule udongo hivyo mwili kupata uhai. Hii ni Roho ya Mungu, the spiritual body, the astral body, mwili wa nyama unapokufa, roho haifi, bali roho huacha mwili na kurudi kwa Mungu. Hivyo kifo ni kitendo cha roho kuacha mwili, kukata roho.

Je, baada ya kifo, hiyo Roho inakwenda kuishi wapi?
Kama ulivyo mwili una sehemu mbili ya mwili na roho, mwili wa nyama na mwili wa roho, vivyo hivyo dunia ina sehemu mbili, Ulimwengu wa Kidunia, the physical world, na Ulimwengu wa Roho, the Spiritual World, mtu akifa, roho ikiacha mwili, mwili unabaki kwenye ulimwengu wa dunia, unazikwa unaoza na kugeuka kuwa mavumbi, Roho inakwenda kwenye ulimwengu wa Roho kuendeleo kuishi milele, being mbinguni, peponi, kuzimu, toharani, au jehanum kwenye moto wa milele, hii subject nyingine lakini roho hazifi kwa sababu roho ni Mungu. Hivyo mwili huo wa roho, unaona kila kitu kinachoendelea hapa duniani.

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Wakristu tunaamini Yesu alikufa, Yesu alifufuka na Atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu, ambapo kutatokea ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayohusika kwenye ufufuko wa miili ni miili ya roho na sio miili ya nyama. Hivyo Magufuli yupo na anaona kila kitu!

Je, kwenye ahadi ya kumuenzi Magufuli tumuenzi kwa yote au tuchague mazuri tu?
Kwavile rais Magufuli hakuwa malaika, alikuwa ni binadamu, hivyo ana mazuri yake, na pia ana mabaya yake ya kibianadamu kama binaadamu mwingine yoyote, hakuna aliye mkamilifu, hivyo tumuenzi Magufuli kwa mema na mazuri yake kwa kuyaendeleza, halafu yale ya kibinaadamu, tumuachie mwenyewe, tuwe tumzika nayo siku ile pale Chato na tusiyazungumzie ili kuepuka kumzungumzia vibaya marehemu, hivyo tuyaepuke ili kumuacha marehemu apumzike kwa amani.

Baada ya Bwana Yesu kufa kwa mateso ya kusulubiwa na kifo msalabani, wanafunzi wake walijifungia kwa kuhofia na wao kusulubiwa, ndivyo ilivyo kwa Magufuli
Vivyo hivyo baada ya kifo cha Magufuli, kuna baadhi ya watu walilia kwa mengi wakiwemo wamachinga, Magufuli aliwaruhusu kufanya biashara popote, matokeo yake kwenye baadhi ya maeneo sasa ni balaa!. Siku Wamachinga wakiondolewa, watalia tena na kumkumbuka Magufuli, na wao pia watauliza kama kufukuzwa kwao ndiko kumuenzi Magufuli?. Ili kuwaelimisha watu wa aina hii, ni lazima waelimishwe kuwa Magufuli ataenziwa kwa mazuri tuu, hili la kuwaruhusu machinga kufanyabiashara popote, sii miongoni mwa mazuri ya kuenziwa.

Vivyo hivyo kwenye wateule wa JPM, kuna baadhi ya viongozi Magufuli aliwapenda sana, matokeo yake wakavimba vichwa, wakajiona kama miungu watu, wanaweza kufanya lolote na wasifanywe chochote, na hawakuamini kama Magufuli naye ni binadamu tuu, leo yupo, kesho anaweza asiwepo, au anaweza kufa. Mmoja wa wa watu hawa ni Ole Sabaya, siku ya mazishi ya Magufuli, mmoja kati ya waliolia sana ni Ole Sabaya, inawezekana alilia kwa mengi, uchungu wa kufiwa na mtu unaempenda sana, au wasiwasi wa nini kitampata baada ya nguzo na egemeo lake kuanguka, ndio maana mkamuona akifanya juhudi kubwa, ikiwemo kwenda Clouds kujisafisha, but very unfortunately, haukusaidia!.

Viongozi wahalifu kipindi chaAwamu ya Tano ni wengi, sio Sabaya pekee. Kama tumeamua kushughulika nao, tuwashughulikie wote
Kwenye awamu ya Tano, viongozi waliotenda mambo ya ajabu ajabu ni wengi, sio Ole Sabaya peke yake, kama awamu hii ya 6 ya Mama Samia, imeamua kuwashughulikia, then iwashughulikie wote. Tuache kufanya double standard ya cherry picking kuwashughulikia baadhi, wengine pia wapo na baadhi yao Mama Samia kaamua kuendelea kuwabeba mfano mzuri ni RC mmoja alimuamuru RPC wake kuwa namna ya kupunguza msongamano magerezani, ni kuwapiga risasi papo hapo vibaka wote, na kujiproud kwa ushujaa wake jinsi alivyo muua kibaka kwa kumpiga risasi mbili za kichwa na kumuua papo hapo, kisha akajipongeza kwa kunywa bia mbili!

Ufufuko wa miili na uzima wa milele, miili itakayo fufuliwa ni miili ya roho, ile miili ya nyama ikiisha zikwa, that is the end
Kwa vile kuna viongozi Rais Magufuli aliwapenda, Rais Mama Samia halazimiki kuwapenda, ndio maana tangu Rais Samia alipoingia tu, ameanza vizuri, mfano kitendo cha kuutengua uteuzi wa Dr. Bashiru kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, na kumpa ubunge, ni demotion ya kistaarabu, mimi ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuupongeza uamuzi huo, nikazitolea pongezi zangu hewani kupitia Sauti ya Ujerumani na BBC Swahili.

Kwavile hili ni bandiko la life after life, yaani Magufuli huko aliko anayaona yote tunayawatendea aliowapenda, kama wakati wa Magufuli, sisi Watanzania, tuliwavumilia, na sasa wakati wa Samia, pia tuwavumilie, tusiwasulubishe kama alivyofanywa Sabaya, kitendo cha kutoteuliwa, kutoka mtu ulikuwa everthing, to nobody ni adhabu tosha, itoshe, kwasababu no one knows kwa sasa kule mbinguni Magufuli amepewa wadhifa gani, inawezekana yuko karibu sana na Mungu, hivyo akiona jinsi tunavyowatendea wale aliowapenda kama Sabaya, akakasirika na kumuomba Mungu, awaite baadhi ya watu!. Kama yeye mwenyewe aliweza kuitwa na sasa hayupo, then anyone anaweza kuitwa anytime, lets not risk viongozi wengine kuitwa. Hao waliofanya uovu, baada ya kutoteuliwa, tuiachie Karma iendelee kushughulika nao.

Nawaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kazi Iendelee.

Paskal
Kwani aliowaua Magufuli na Makonda siyo binadamu? Acha double standards....Nchi hii ilichafuliwa na mshamba asiyejua jinsi ya kuongoza, ni mtu wa ajabu sana,. Machinga wanaua watu ovyo wakitumia pikipiki na ndiyo majambazi wakubwa, haiwezekani nchi na miji ijae vibanda visivyo na mipangilio, ni aibu sana. TUNATAKA haki sasa, tunataka Makonda ahojiwe kwa utekaji, ubakaji na mauaji na afungwe kabisa kama siyo kunyongwa. Hao akina Musiba, wana kesi nyingi za kujibu.
Nchi inatakiwa iongozwe kwa sheria, hii nchi ilishakuwa kama shamba la wezi na nchi ya wachuuzi, hao unaowatetea ni wezi na wauaji.
Sabaya anatakiwa apigwe miaka 30 kama siyo kunyongwa hadi kufa....Kwani aliyoyafanya Paschal hujuiS? Na tunataka aliyempiga risasi Lissu naye apelekwe mahakamani, waliomteka Roma Mkatoliki, na aliyemtishia Nape Nnauye akamatwe na afikishwe mbele ya sheria.
Magufuli ameharibu nchi hii ndiyo maana wametokeza watu wengi kama wewe Paskali mnaotetea maovu, sijui kwa vile ni msukuma mwenzio?
 
Huu uzi umepoteza maana kwenye hii paragraph.

Mimi na Utetezi za Haki za Binaadamu, Nilipigania Adhabu ya Kifo Ifutwe, Hata Wahalifu Wanastahi Kutendewa Haki na Dignity!.
Naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni mtetezi huru wa haki za binaadamu, na kwenye gazeti la Nipashe la kila Jumapili ninaandika makala za utetezi wa haki za binaadamu, japo siungi mkono matendo kihalifu ya uhalifu wowote, ukiwemo uhalifu wa Ole Sabaya, lakini siungi mkono udhalilishaji wa aina yoyote anaofanyanywa na polisi, magereza, mahakamani na vyombo vya uchunguzi, jeshi la polisi, vyombo vya uchunguzi, ofisi ya DPP, na vyombo vya utoaji haki, mahakama, mfano jana pale Mahakamani, ameletwa huku amefungwa pingu, as if ni kibaka!. Kama haitoshi, akachuchumalishwa as if kumzuia asitoroke!. Huu ni udhalilishaji, huyu ni mmoja wa viongozi vipenzi wa JPM. Kabla hajateuliwa DC, alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai kujifanya TISS, JPM akamteua, ikabidi hiyo kesi ife. Kwa vile kuna ahadi ya kumuenzi JPM, then tumuenzi kama ukipenda boga, penda na ua lake, na ukitupa jongoo, usitupe na mti wake!, kama tulimpenda JPM, na tukaahidi kumuenzi, then tuwapende na aliowapenda, hivyo Ole Sabaya, awe treated with dignity huku tukikumbuka kuwa Magufuli anayaona yote tunavyowatenda viongozi vijana wake

Wakati mwingine pasco huwa unajitoa ufahamu. Sabaya ni jambazi kama majamnazi wengine. Ni mnyanganyi kama wanyang'anyi wengine. Ni mtesaji kama watesaji wengine. Tofauti hapo ni cheo alichokuwa nacho. Ambacho kakitumia vibaya. Sabaya si mtu wa kumwonea huruma. Mwacheni alipe kwa alichowatendea watu.
Kama mtu ameua kwa makusudi naye auawe, Wale watu waliohusika na kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda na member mmoja wa hapa JF. Wakamatwe na kuhukumiwa. Makonda anatakiwa akamatwe kwa kosa la uvamizi wa Clouds na utekaji wa akina Roma na wengine tuliosikia wamepotea. TUNATAKA HAKI. Wale waliopotea tuambiwe wapo wapi.
 
Acheni uongo bwana, hakuna anachoona mtu aliyekufa na ukishakufa hauna tena connection na hii dunia. Magufuli aliwafundisha ubabe na roho mbaya ngoja waipate tu.
 
Back
Top Bottom