Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

we boya sana yani unakata mikucha yako na nail cutter za mtu mwingine magonjwa yote haya.

mimi ilinikuta miaka kadhaa iliyopita ndio nimeajiriwa kwenye kampuni flani hapa dar.jioni nimekaa na mabosi zangu kupata wine kidogo na kujuana vizuri.tulikua tumeweka simu zetu mezani,bahati mbaya nikachukua simu ya bosi mmoja nikatia mfukoni nikijua ni yangu .mara kidogo jamaa akaanza kuulizi simu yake mimi nimetulia tu nikiamini iliyopo mfukoni ni yangu .Dah ilivyobipiwa ikaita kwangu halafu hata hawakunipa nafasi ya kujieleza zaidi ya kila mtu kutunza simu yake kwa umakini,nilijisikia fedheha haielezeki
Yaani mpumbavu kweli.
 
Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, Nilitongozaga demu mtandaoni baada ya kumuona akiwa anapost picha mara kwa mara akila bata na alionekana mzuri balaa kama unavyowaona akina Beyonce vile, yaani ukiona picha yake utafikiri hajazaliwa ni kama malaika kashushwa vile nikamfuata Inbox baada ya kuzoeana sana nikamtongoza akakubali kwa vile nilikuwa mkoani kikazi na yeye alikuwa Dar, ikabidi tukakubaliana nimtumie nauli aje niliko akakubali nikamtumia.

Siku ya kuja Alifika muda kama saa8 unusu nikiwa bado niko kazini na kwa vile rafiki zangu nilishawaonesha picha za yule mdada na kwa kweli na wao wakaona nimeopoa lulu, ikabidi nimtume dereva na gari la ofisi akampokee ampeleke hoteli akale then nikamuelekeze pa kumuacha.... nikiwa nimetulia muda wote nachart nae nikaona text kutoka kwa dereva " mzee demu gani huyu umeleta, njoo umpeleke mwenyewe hotelini mimi siwezi kuongozana nae" nikajua jamaa anatania maana ni mtu wa utani..

Alivorudi akawa anacheka sana anawahadithia rafiki zangu nikiwemo nikajua anatania hasa nikirudi kuangalia zile picha hata rafiki zangu hawakuamini muda wa kazi ulipoisha marafiki zangu wakanifuata kwenda kumuona shemeji yao. Sitaki kuamini nilichokiona kule, picha ni zake kweli lakini sio uhalisia wake kabisa jamaa wakaniacha bhna hawakutaka hata kukaa na mimi halafu sijui ex wangu alijuaje niko pale si akaja aliongea maneno yaliyofanya ile siku ikawa mgumu sana kwangu.

Kesho yake nikampa nauli arudi, yule demu hata sikupiga aisee, nilipoingia ilikuwa ni kila mtu akawa ananidiscuss mimi kwa kilichotokea usiku wa jana yake.

Hawa madada msiwaamini kwa picha za mitandaoni, wakiwa nyuma ya camera za iphone ni tofauti na uhalisia wao.

Mtandaoni binafsi sitongozi tena
 
ilitokea nimekuja dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini temeke,nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale,sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa,kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache,asubuh si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo,kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabid aulize tu ni nan alikua wa mwisho si ndo nikatajwa mm..daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alf yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpk namaliza likizo naondoka

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
we boya sana yani unakata mikucha yako na nail cutter za mtu mwingine magonjwa yote haya.

mimi ilinikuta miaka kadhaa iliyopita ndio nimeajiriwa kwenye kampuni flani hapa dar.jioni nimekaa na mabosi zangu kupata wine kidogo na kujuana vizuri.tulikua tumeweka simu zetu mezani,bahati mbaya nikachukua simu ya bosi mmoja nikatia mfukoni nikijua ni yangu .mara kidogo jamaa akaanza kuulizi simu yake mimi nimetulia tu nikiamini iliyopo mfukoni ni yangu .Dah ilivyobipiwa ikaita kwangu halafu hata hawakunipa nafasi ya kujieleza zaidi ya kila mtu kutunza simu yake kwa umakini,nilijisikia fedheha haielezeki
Daah sawa mkuu ila pole
 
Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, Nilitongozaga demu mtandaoni baada ya kumuona akiwa anapost picha mara kwa mara akila bata na alionekana mzuri balaa kama unavowaona akina Beyonce vile, yaani ukiona picha yake utafikiri hajazaliwa ni kama malaika kashushwa vile nikamfuata Inbox baada ya kuzoeana sana nikamtongoza akakubali kwa vile nilikuwa mkoani kikazi na yeye alikuwa Dar, ikabidi tukakubaliana nimtumie nauli aje niliko akakubali nikamtumia, siku ya kuja Alifika mda kama saa8 unusu nikiwa bado niko kazini na kwa vile rafiki zangu nilishawaonesha picha za yule mdada na kwa kweli na wao wakaona nimeopoa lulu, ikabidi nimtume dereva na gari la ofisi akampokee ampeleke hoteli akale then nikamuelekeze pa kumuacha.... nikiwa nimetulia mda wote nachart nae nikaona text kutoka kwa dereva " mzee demu gani huyu umeleta, njoo umpeleke mwenyewe hotelini mimi siwezi kuongozana nae" nikajua jamaa anatania maana ni mtu wa utani .. alivorudi akawa anacheka sana anawahadithia rafiki zangu nikiwemo nikajua anatania hasa nikirudi kuangalia zile picha hata rafiki zangu hawakuamini mda wa kazi ulipoisha marafiki zangu wakanifuata kwenda kumuona shemeji yao.Sitaki kuamini nilichokiona kule, picha ni zake kweli lakini sio uhalisia wake kabisa jamaa wakaniacha bhna hawakutaka hata kukaa na mimi halafu sijui ex wangu alijuaje niko pale si akaja aliongea maneno yaliyofanya ile siku ikawa mgumu sana kwangu.
kesho yake nikampa nauli arudi yule demu hata sikupiga aisee, nilipoingia ilikuwa ni kila mtu akawa ananidiscuss mimi kwa kilichotokea usiku wa jana yake.

hawa madada msiwaamini kwa picha za mitandaoni, wakiwa nyuma ya camera za iphone ni tofauti na uhalisia wao.
mtandaoni binafsi sitongozi tena
Alikuaje kwani mkuu
 
Niliwahi kwenda migahawa koko maeneo flani ivi nikakuta contena la kunawia mikono wameweka pembeni na nyumba ya mtu alafu mgahawa wenyewe uko mbali kidogo mi niliponawa nikaingia nyumba iliyokuwa jirani nikidhani ndio mgahawa wenyewe kumbe nimeingia kwenye geto la Mmama flani ivi.

Sasa mda naingia alikuwa bize anakula alafu kageukia upande wapili wala hakusikia vishindo mda naingia kwa akili za kitoto nilipogumdua kuwa nimeingia kusipo nikapata akili ya kutoka kimyakimya tena...! Kumbe mda natoka ndani yule mama akashtuka nikajifanya kuchomoka mule ndani kwa haraka ndio akaniitia mwizi..mwizi...mwizi asee nikajifanya kukimbia nikaishia mikononi mwa wanainchi wenye hasira kali aisee sitakaa nisahau kilichonipata yaani kuna watu bongo hii hata ukiwa unatoa maelezo hawayazingatii wao ni kupiga tu na kutafta petroli.... Hadi leo nikikuta mwizi anapigwa huwa napenda kusikiliza maelezo yake kama yanaleta logic....Maana ningechomwa moto na sijawahi kuiba wala kutapeli cha mtu!
Pole sana mkuu
 
Niliwai kujamba mbele za wanafunzi wangu nikiwa mbele ya wafunzi wananisikiliza kwa umakini wa hali ya juu sasa hapo kijambo kikaja cha kimyakimya ..duh kumbe ilikuwaa inanuka hatari...nilion wengine walijuwa mim alfu wingine wakmsingizia dogo flni ambae anajambagajamba ovyo duh nilijisikiaa ovyo kwelii....
Inasikitisha japo inachekesha[emoji1] [emoji1]
 
Niliwai kujamba mbele za wanafunzi wangu nikiwa mbele ya wafunzi wananisikiliza kwa umakini wa hali ya juu sasa hapo kijambo kikaja cha kimyakimya ..duh kumbe ilikuwaa inanuka hatari...nilion wengine walijuwa mim alfu wingine wakmsingizia dogo flni ambae anajambagajamba ovyo duh nilijisikiaa ovyo kwelii....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mm 2007 nilikuwa naenda Advance Songea, basi nikatoka kusini hadi dar, Dar nikapanda basi la superfeo kwenda songea, lile basi ilikuwa wakigawa soda ila mukifika maeneo ya Iringa na kwenda mbele, ila mm sikuwa nimewahi kupanda basi ambalo wanagawa soda, sasa ile tunafika mikumi naona njaa kwa mbaaaaali inaninyemelea ile nikipepesa macho nikaona kreti la soda kwa katikati, nikasema isiwe shida sasa kucheki vema siti za jirani zina mabinti wawili wamevalia yunifomu za songea girls basi nikashoboka na kumuuliza mmoja eti dada zile soda kwenye kreti nani anauza?

Yule dada akaniambia haziuzwi mbona watagawa bure tu baadae!!!!! Haki ya mungu niliona fedheha vibaya mno na safari ikawa chungu saanaa hadi tunafika songea mida ya saa mbili na nusu usiku,

Na tangu hapo sikutongoza mwanafunzi wa songea girls Hadi namaliza form six na kurudi zangu kusini,

Pumbavu kabisaaaaaa fedheha ile...
 
ilitokea nimekuja dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini temeke,nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale,sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa,kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache,asubuh si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo,kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabid aulize tu ni nan alikua wa mwisho si ndo nikatajwa mm..daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alf yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpk namaliza likizo naondoka
Hahaha hahaha jamani nimecheka vibaya sana.
 
Kuna siku nipo Hamad International Airport kule Doha Qatar, Nimeingia toilet nikajihudumia saafi kabisa sasa nimetoka ninawe mikono naona tuu kuna koki za maji ila hakuna cha kufungua ili kuruhusu maji yatoke. Basi nimesimama pale mara nishike hapa, kule, huku sioni hata kibatan cha kubonyeza tuu..... Kumbe muda wote kuna muarabu ananipimia tuu ninavyombwela pale. Akaja kunielekeza kumbe mabomba yanatumia sensor ukisogeza tuu mkono ina activate valve inafungua maji... Jamaa aliondoka anaongea kiarabu hata sikumuelewa huku nikibaki nimetunukiwa fedheha iliyofanya hata safari niione ndefu.
Daaahhhhhhhh mkuuu hiii Kali saaaaaana
 
Dah kuna siku gari ya mshua ilikodiwa kwenda Njombe... Ilibeba wanakwaya wanaenda kwenye harusi ya mwenzao. Sasa kufika kule wakawa kanisani wanasherehekea...mimi nipk ndani ya gari nimelala daaaaaaaaaaah!!!! NILIJAAMBAAA KWANGUVU KAMA MARA 3 AFU KWA UHURU NIKIJUA NIPO PEKEANGU NDANI.... baada ya dakika mbili hivi nikashituka kuangalia hivi kuna mmama kakaa pembeni daaaaaaaah!!!!!!
 
Fedheha nnazozipataga mimi ni ndogo ndogo kwenye matumizi ya vyombo vya mzungu.
Kuna mabomba ufunguaji wake mrahisi ila kama hujui hangaika sana afu anakuja mtu tu anakufungulia kirahisi[emoji23]
Siku ya kwanza kupanda mwendokasi sijui kuscan ticket aibu tupu
Siku ya kwanza kutumia lift[emoji3] nk
Yani vitu vya aina hio ndo aibu nnazopataga
Nawazaaa mimi[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Dah kunasiku gari ya mshua ilikodiwa kwenda njombe... Ilibeba wanakwaya wanaenda kweny harusi ya mwwnzao
Sasa kufika kule wakawa kanisani wanasherekea...mim nipk ndan ya gar nimelala daaaaaaaaaaah!!!! NILIJAAMBAAA KWANGUVU KAMA MALA3 AFU KWA UHURU NIKIJUA NIPO PEKEANGU NDANI.... baada ya dk mbili hivi nikashituk kuangalia hiv kuna mmama kakaa pembeni daaaaaaaah!!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa asee
 
Back
Top Bottom