Life is truly a Numbers Game/ Maisha kiukweli ni mchezo wa namba

Life is truly a Numbers Game/ Maisha kiukweli ni mchezo wa namba

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499

Life is truly a Numbers Game​



Maisha ni mchezo wa namba

Ukiwa unatafuta fursa Fulani , usiweke uhakika wa kuipata hiyo fursa Kwa mtu mmoja peke yake

Haijalishi huyo mtu ni nani kwako au unafahamiana nae miaka mingapi.

Jaribu kuwa na utamaduni wa kuwatafuta watu wengi kadri ya uwezavyo .

Mfano unatafuta Ajira /Kazi

Usimtafute mtu mmoja jaribu kutuma E-mail Kadri ya uwezavyo.

Kuna kipindi nilipokuwa chuo nilikuwa natafuta part time job ili mambo yaende niliwacheki watu miambili hamsini kupitia normal call ,sms na email.

Ila nilikuja pata Kazi Moja ya kukusanya Data na kuwa team leader baada ya kuamua kumcheki mkufunzi wa chuo kikuu cha Bath UK na kupitia Kazi hii ndo nilipata hela yangu kubwa kwa Mara ya kwanza.


So usiseme watu wamekukazia au hauna connection Ila jaribu kutafuta watu zaidi ,keep striving. Maana mtu mwingine unapomcheki leo akusaidie unakuta kuna aliyemcheki Jana amsaidie So be patient and keep striving.




Good people still exist


Be humble , be positive and always remember to spread positive Energy.
 
maisha ni hadithi ndefu ya namna utakavyo kufa kwa sababu mwisho wa misha ya kila mtu ni kifo.

this life is just fcking meaningless
Yes ukifika age 50 unagundua kuwa kuna kitu unabidi kukiacha in this crazy world.


Jana nimeongea na uncle masaa mawili Kwa simu akiniomba kuwa be positive be humble and spread positive energy
 
All roads lead to Rome.. utahangaika sana ila destiny Yako haiwezi badilika kama wewe ni wa yes hata uwe unalala masaa 24 mambo Yako yatanyooka tu
No body was destined to be poor or average person.

Kitu kinachoweza kumfanya mtu abaki pale pale au asifanikiwe kabisa ni mazingira tu.


Maana kila binadamu ameumbwa au yupo katika mfumo wa Mbegu (seed)

Endapo hiyo mbegu isipopandwa sehemu sahihi haiwezi kuchipua kumea na kuota.

Ndo maana mtu anayeshindwa kutoboa Africa akienda Marekani anatoboa na anyeshindwa kutoa Bukoba akija DSM anatoboa .
 
Be humble , be positive and always remember to spread positive Energy.
Mkuu huku nilipo kwa jinsi navyokaza kutafuta..
Imefikia time wamama wa hapa wanajua mi natumia dawa.

Imagine ndani ya miezi hata mwaka sijafikisha tayari nina ofisi ambayo kuna watu zaidi ya miaka 3 hawajafikisha huko..

Be positive.....
Hii kauli ndio inafanya tutofautiane na matajiri..
Unaweza kuona tajiri ana mawazo ambayo ukiwaza wewe unasema impossible lakini yeye anakua anaona kawaida.

Mfano mimi siku moja nilikua naongea na shangazi. Nikawa namwambia kuhusu biashara yangu but yeye akawa ana comment kwa tofauti kabisa an anaongelea ma deal ya million huko.

Wakati hii biashara kukusanya hizo million sijui shingapi ni impossible.
Ila sasa naona kumbe alikua sahihi..

Kwa sasa nipo positive mno na mara ngingi huwa naomba ushauri na nilichogundua mtu unapoomba ushauri aiseee mambo yako yananyooka sana maana yule aliyetoa ushauri anapoona umefanya vile yeye kashauri huwa ana feeling flan hvi ambayo nahisi kwa namna moja au nyingine inaweza ku push mafanikio. yako.

Spread positive energy
Hii najaribu sana kwa vijana wenzangu nilio wakuta hapa mtaani
Wengine ni degree holders but still enough wanajiona kama ni ma young maana mda wote ni wao na story za mademu.

Ukiwatonya hata wajiunge jf huku kupata madini wenyewe ni tiktok na Instagram.
Mda mwingi huwa natoa mawazo na idea mbali mbali za biashara ila naishia kupata disappointment aiseeee...

Kwa upande wangu ile energy ya kutafuta connection imekua ndogo sana kutokana na tayari nina kitu ambacho kuna watu watanitafuta tu..

Au niseme nimeweka trap ambazo anything happen ni lazima watanitafuta
 
Be humble , be positive and always remember to spread positive Energy.

Mkuu huku nilipo kwa jinsi navyokaza kutafuta..
Imefikia time wamama wa hapa wanajua mi natumia dawa.

Imagine ndani ya miezi hata mwaka sijafikisha tayari nina ofisi ambayo kuna watu zaidi ya miaka 3 hawajafikisha huko..

Be positive.....
Hii kauli ndio inafanya tutofautiane na matajiri..
Unaweza kuona tajiri ana mawazo ambayo ukiwaza wewe unasema impossible lakini yeye anakua anaona kawaida.

Mfano mimi siku moja nilikua naongea na shangazi. Nikawa namwambia kuhusu biashara yangu but yeye akawa ana comment kwa tofauti kabisa an anaongelea ma deal ya million huko.

Wakati hii biashara kukusanya hizo million sijui shingapi ni impossible.
Ila sasa naona kumbe alikua sahihi..

Kwa sasa nipo positive mno na mara ngingi huwa naomba ushauri na nilichogundua mtu unapoomba ushauri aiseee mambo yako yananyooka sana maana yule aliyetoa ushauri anapoona umefanya vile yeye kashauri huwa ana feeling flan hvi ambayo nahisi kwa namna moja au nyingine inaweza ku push mafanikio. yako.

Spread positive energy
Hii najaribu sana kwa vijana wenzangu nilio wakuta hapa mtaani
Wengine ni degree holders but still enough wanajiona kama ni ma young maana mda wote ni wao na story za mademu.

Ukiwatonya hata wajiunge jf huku kupata madini wenyewe ni tiktok na Instagram.
Mda mwingi huwa natoa mawazo na idea mbali mbali za biashara ila naishia kupata disappointment aiseeee...

Kwa upande wangu ile energy ya kutafuta connection imekua ndogo sana kutokana na tayari nina kitu ambacho kuna watu watanitafuta tu..

Au niseme nimeweka trap ambazo anything happen ni lazima watanitafuta
Kuna hatua umepiga ni vizuri kusikia hivyo.

Unakuwa legend katika umri mdogo.
Great .
 
Back
Top Bottom