Life! Sitolisahau hili

Life! Sitolisahau hili

There is something wrong in your formation!
 
Kaka kwan kitanda chango ngap kwa ngap au moja kwa mbili kama tano kwa sita walalq fresh tuh mbna m ngelala ndan ye akilala nae n yeye halafu huyo sista anakutegemea wew umpe mawazo kama mwanaume au kaka yake hawa viumbe kuna mda akil huwaga hazisom au dada yako mbaya nn!?but i love my sista too an nawakubal na nikiwepo mm ndio incharge nahangaisha akil lbda iwe wew na dadako haziiv akn kama ndio tia tia maji bas pole mkuu but najua dadako anahtaj umkomboe na upambane hv hv uslaumu wahun tukawa tunakula kizembe useme sista hana akili
 
Kaka kwan kitanda chango ngap kwa ngap au moja kwa mbili kama tano kwa sita walalq fresh tuh mbna m ngelala ndan ye akilala nae n yeye halafu huyo sista anakutegemea wew umpe mawazo kama mwanaume au kaka yake hawa viumbe kuna mda akil huwaga hazisom au dada yako mbaya nn!?but i love my sista too an nawakubal na nikiwepo mm ndio incharge nahangaisha akil lbda iwe wew na dadako haziiv akn kama ndio tia tia maji bas pole mkuu but najua dadako anahtaj umkomboe na upambane hv hv uslaumu wahun tukawa tunakula kizembe useme sista hana akili
Nampenda sana sista angu datz y sikuweza mcrush kwa namna yyte japo iliniumiza na kunikera+aibu ila nilivumilia

Kiukweli nachomshaur ndo anachofanya siku hizi nina nguvu chanya sana juu yake,kana ikitokea baba amshauri jambo na mimi nimshauri langu lazima lipite,imefkia stage mzee analalamika kuwa hamshrikishi mambo yake...kuhusu kuolewa hadi saivi kakataa 3 mens walioweka nia ya kumuoa zote nlimkataza na kumwambia afocus kutafta pësa na kutengeneza kesho ake sabu hadi saiv ana watoto wanne watatu mwanaume wa kwanza na mmoja mwanaume alieachana nae mara ya mwisho...ndo chanzo cha kumshauri asiingie kwenye majukum ya ndoa na aschukulie ndoa ndo solution ya matatizo yake.

Nashukur saivi tushasettle kila kitu na mambo ni bull bull
 
Nampenda sana sista angu datz y sikuweza mcrush kwa namna yyte japo iliniumiza na kunikera+aibu ila nilivumilia

Kiukweli nachomshaur ndo anachofanya siku hizi nina nguvu chanya sana juu yake,kana ikitokea baba amshauri jambo na mimi nimshauri langu lazima lipite,imefkia stage mzee analalamika kuwa hamshrikishi mambo yake...kuhusu kuolewa hadi saivi kakataa 3 mens walioweka nia ya kumuoa zote nlimkataza na kumwambia afocus kutafta pësa na kutengeneza kesho ake sabu hadi saiv ana watoto wanne watatu mwanaume wa kwanza na mmoja mwanaume alieachana nae mara ya mwisho...ndo chanzo cha kumshauri asiingie kwenye majukum ya ndoa na aschukulie ndoa ndo solution ya matatizo yake.

Nashukur saivi tushasettle kila kitu na mambo ni bull bull
Apo uhakik nkajua bado unahizo mishe ebu mlzia stor kwan
 
Back
Top Bottom