Yaniiii!Kashakuwa Baba mkwee
Story imeisha??Maza alikuwa mwehu yule 😅
Ile kitu haina ustaafu ila upo mapumziko au umepunguza kwa muda tu.Mwenzio nishaokoka tayari 😅😅
Mwenyekiti hizi ni za kusoma mchana , usiku apostle asababisha balaa😬, twalala miguu miwili wengine🏃🏽♂️
Haya uliyaamulia tu ukianza la kwanza la Pili Basi yatakuwa yanajaa tu sijui waga yanatokea wapi seka bhana ya Addiction mbaya sana kujitoa unahitaji MaombiHatari sana, mzee una nyota ya mishangazi
Sio wote ni masikini kama wewe.Samahani 'baba mkwe' najua watu watachukia kwa hili ntakaloshauri ila ni ushauri tu, katisha hii story hapa kaanzishe group telegram au whatsapp ilo tulipie angalau upate pesa kidogo kutokana na kipaji chako. Weka kiingilio cha elfu 5 kwa mwezi ukipata watu 200 una 1m kwa mwezi.
Ni wazo tu baba mkwe a.k.a baba husna.
Kwa hizi shobo ungekua mdada ungelikua unawatunuku wana uroda kwa bei nafuuSamahani 'baba mkwe' najua watu watachukia kwa hili ntakaloshauri ila ni ushauri tu, katisha hii story hapa kaanzishe group telegram au whatsapp ilo tulipie angalau upate pesa kidogo kutokana na kipaji chako. Weka kiingilio cha elfu 5 kwa mwezi ukipata watu 200 una 1m kwa mwezi.
Ni wazo tu baba mkwe a.k.a baba husna.
Unajuaje labda ndieKwa hizi shobo ungekua mdada ungelikua unawatunuku wana uroda kwa bei nafuu
Kumbuka hii ni jamii kubwa kuliko unavyo fikiriaSamahani 'baba mkwe' najua watu watachukia kwa hili ntakaloshauri ila ni ushauri tu, katisha hii story hapa kaanzishe group telegram au whatsapp ilo tulipie angalau upate pesa kidogo kutokana na kipaji chako. Weka kiingilio cha elfu 5 kwa mwezi ukipata watu 200 una 1m kwa mwezi.
Ni wazo tu baba mkwe a.k.a baba husna
HanaEsta ana macho ya rohoni