Ohoooooo!Portion 13:
.... Hakuna jambo zuri kama kufanya kitu unachopenda, maana kama ni kufurahia basi unafurahia to the maximum. Kuna watu huwa wanasema "sex iko overrated" sidhani kama wapo sahihi sana. Watu tunafurahia sex kwa viwango tofauti, ila kuna ambao wanaofurahia sana mapenzi. Watu wa aina hiyo ukiwaambia sex ni overrated wataishia kukushangaa tu.
Anyways, tuachane na ilo. Ule usiku ulipita vizuri pia. Asubuhi kama kawaida yake akawahi kwenda chumbani kwake. Mimi nikajiandaa na kwenda zangu job. Ilivyofika mida ya jioni, yule jirani akanitumia msg "Jirani nitakuwekea chakula, uje kula nyumbani leo"
Nikamjibu "Tutaangalia jirani, maana naweza kuchelewa kurudi".
Jirani: "Jitahidi uwahi kurudi jirani, huo mwili unahitaji kupumzishwa pia"
Analyse: "Poa jirani"
Lakini nikawa najishauri sana kuhusu ilo jambo. Yani nimetembea na demu wa jamaa, alaf bado pia na chakula chake nile, mbona kama dharau sana?. Ila nitamkwepaje yule jirani? Maana nikirudi lazima ajue.
Muda wa kutoka, nikajaribu kujizungusha sana ili nichelewe kurudi. Nikapitia sehemu ya kula kabisa, nikajisemea hata ikitokea jirani amenilazimisha sana kula, basi nitakula kidogo. Na ndivyo ilivyokuwa, maana nilivyorudi ghetto, akaniambia chakula changu kipo kinanisubiria. Nilivyotoka kuoga, nikakuta kaniwekea chakula kwenye meza yangu.
Nilikula chote kana kwamba sikuwa nimekula kabla ya kurudi home. Wakati namalizia kula, jirani akaingia ndani kwangu:
Jirani: "Inaonekana ulikuwa na njaa sana jirani, chakula bado kipo, nikuongezee?"
Analyse: "Hapana jirani, kimetosha. Chakula chenyewe nakulaga tu lakini hata hakina faida mwilini, maana sinenepi"
Jirani: "Na huwezi kunenepa jirani, mpaka utakapoacha kubeba mizigo isiyo size yako"
Analyse: "Mpaka naibeba, basi ujue naimudu"
Jirani: "Na kweli unaimudu. Vipi leo nije au nikuache upumzike jirani"
Analyse: "Leo niache nipumzike jirani"
Jirani: "Mmh ubaya huo jirani, hata kamoja kakulalia tu?"
Analyse: "Tufanye kesho jirani"
Jirani: "Tatizo akili yangu nilishaiandaa jirani. Basi ngoja nipeleke vyombo alafu nije. Leo sikai sana"
Akawa ametoka nje na vyombo. Nikabaki najiuliza, huyu ataniua sasa. Maana mzigo wenyewe mpaka kuupush natumia nguvu nyingi sana, alaf yeye anataka kila siku awe anakuja tu.
Nikiwa naendelea kujiuliza namkataa vipi, maana kiukweli nilikuwa nimechoka sana. Nikasikia geti limefunguliwa, nikahisi labda ni yule mpangaji ambaye tupo nae vyumba vya nyuma atakuwa amewahi kurudi. Maana yeye ni mtu wa tungi sana, na amekuwa na kawaida ya kurudi night kali. Ila nikamsikia jirani yangu anaongea "Karibu kipenzi, mbona ghafla bila taarifa?".
Nikachungulia nje, namuona mtani wangu amerudi. Moyo ukalia Pa! Inamaana kama angewahi au kuchelewa kidogo, basi alikuwa anamkuta mwanamke wake kwangu. Sikutaka kuimagine huo msala wake, maana jamaa alivyombishi na mahasira hasira, asingeniacha salama. Nikalock mlango wangu, nikalala. Sikutaka tena kuwa na movements za aina yoyote muda ule.
****** ******* ******* *******
Asubuhi palivyopambazuka, niliamka mapema nikawahi kwenye mishe zangu. Nilichomoka bila kuonana na yeyote, na hata nilivyorudi usiku hakuna niliyeonana nae.
Siku iliyofuata ndio nilionana na mtani wangu mida ya usiku wakati narudi:
Mtani: "Mutani kumbe upo, nikajua umehama tayari, maana pako kimya"
Analyse: "Nipo mtani, sema kuondoka ni asubuhi na kurudi ndio kama hivi"
Mtani: "Inabidi uoe sasa mtani, muji inabidi uchangamuke huu"
Analyse: "Akili yenyewe ya kuoa ni hii niliyonayo au nyingine?"
Jamaa akacheka:
Mtani: "Oa tu mutani, akili itakuwa humo humo ndani ya ndoa bwana"
Yule mwanamke wake nae akawa ametoka nje, akachangia kwenye mada yetu:
Jirani: "Ni kweli jirani inabidi uoe, na Mimi nipate mtu wa kupiga nae story hapa"
Analyse: "Naona mmeniamulia leo"
Mtani: "Kama huwezi kuoa kwasasa, basi kuwa kama Mimi, vuta mzigo uutulize nyumbani"
Jirani: "We nae usimfundishe mwenzako uhuni, ntaondoka hapa"
Wote tukacheka. Sikutaka kuendelea kuongea nao, nikaingia zangu ndani nikawaacha wapendanao wanaendeleza story za hapa na pale.
Ilipita kama wiki na nusu hivi. Kuna wik end moja nikiwa nafua pale nje, na wapangaji wengine wakiume pia walikuwa nje. Kasoro yule ambae ameoa aliyekuwa anaishi kwenye nyumba kubwa, yeye peke yake ndio hakuwepo. Mimi na yule mpangaji mwingine mtu wa tungi, tulikuwa tunafua, ila yule mtani wangu yeye alikuwa amekaa tu kwenye kitu anatupigisha story.
Kwenye story za hapa na pale, jamaa ndio akatwambia anatarajia kuondoka muda wowote maana gari yake imeshapakia mzigo, kuna vitu anamalizia kuweka sawa kisha aondoke.
Nilivyomaliza kufua, nikavaa na kwenda kuzurura.
Hiyo wiki niliendelea kuwa busy na mambo yangu. Mara zote nilizokuwa narudi jioni, mtani wangu niliendelea kumuona, ila sikuwahi kumuuliza chochote kuhusu safari yake, pia sikuwa na sababu ya kumuuliza.
Kuna siku nimelala zangu ghetto mida ya kama saa tano hivi, nikasikia mtu ananyonga kitasa cha mlango wangu. Nikajikausha, maana nilikuwa nachezea simu. Mara nikasikia yule jirani yangu ananiita, nikakausha. Aliendelea kuita, alaf pakawa kimya.
Zikapita kama dakika 4 au 5 hivi, simu yangu ikaanza kuita. Naangalia mpigaji ni yule jirani. Akili yangu ikaniambia jamaa yake atakuwa ameshaondoka, ila nikakausha kama vile nimelala. Alipiga mara mbili tu, kisha akaacha.
Asubuhi nikawahi kuondoka zangu, na wala sikumtafuta. Mida ya saa tatu asubuhi akanitumia msg "Kumbe ndio unadharau kiasi hicho?"
Analyse: "Kwanini unasema hivyo?"
Jirani: "Wewe ni wa kutonipokelea simu jana"
Analyse: "Nilikuwa nimeshalala jirani, niliziona asubuhi"
Jirani: "Leo naomba uwahi kurudi jirani, ninahamu sana na wewe"
Analyse: "Mbona kama unanitafutia matatizo jirani? Yaliyotokea yameshatokea, tuachane na hayo mambo"
Jirani: "Sasa hivi ndio unajua kuna matatizo?"
Sikumjibu.
Hiyo siku nilivyotoka job, nikapitia kula alaf badala ya kwenda ghetto nikalazimika kusubiria mpaka mida ya saa nne mechi za UEFA. Home nikarudi saa sita usiku baada ya mpira kuisha. Nikaoga na kulala bila buguza. Na asubuhi kulivyokucha nikaondoka mapema sana.
Mida ya mchana alinitumia msg kuniuliza nililala wapi jana, ila sikuijibu. Na nilivyotoka job, nikaamua kurudia utaratibu wangu wa jana. Baada ya mpira kuisha ndio nikarudi zangu ghetto.
Nikavua nguo, kisha nikaenda kuoga. Narudi zangu tena ghetto, namkuta jirani kajilaza kitandani kwangu, khanga yake kaiweka juu ya meza, yuko uchi tu pale. Nikabaki nimesimama pale mlangoni
Jirani: "Unakaribisha mbu jirani, ingia ndani"
Sikumjibu kitu. Akajigeuza na kulalia tumbo, mguu mmoja akanyoosha, mwingine akaukunja alafu akaniambia "Kama hunitaki humu ndani, niambie nitoke"
Pia sikumjibu kitu. Akanyanyuka na kusogea nilipokuwa "Jirani unajifanya hutaki huku unataka. Kuna watu wanatamani wapate hata nafasi ya kunishika mkono tu, alafu wewe unaleta pozi"
Analyse: "Hiyo nafasi ameshaipata mtani wangu, ndio maana upo nae"
Jirani: "Kwahiyo unataka kuniambia nini?"
Analyse: "Tulia na jamaa yako, sitaki matatizo"
Jirani: "Kwani wewe ndio utakuwa wa kwanza kupata matatizo?. Mwanaume mzima unakuwa muoga, hebu acha maneno mengi ili upate vitu vizuri jirani"
Analyse: "Sivitaku hivyo vitu vizuri, hebu niache nipumzike"
Jirani: "Ungekuwa huvitaki ungesimamisha jirani?. Kwanini ujitese wakati nipo mbele yako hapa, sogea basi"
Kabla hata sijamjibu, akapiga magoti akalitoa taulo nililokuwa nimejifunga. Akachukua kobilo na kujiwekea mdomoni. Sikupata tena ujasiri wa kuendelea kumbishia. Naanzia wapi sasa?
Sijui alikuwa ametoka kunywa chai au maji ya moto, maana ulimi wake ulikuwa na joto kali sana. Alikuwa ananyonya mashine hadi nikapatwa na goosebumps.
Kuna muda nikajikuta ananizidia, maana nilianza kupatwa na ile hali ya kumwaga. Ikabidi nimzuie asiendelee. Akataka kwenda kitandani, nikamuelekeza aende mezani. Kufika pale akalalia mgongo, nikamnyanyua ile miguu yote miwili, nikazamisha kobilo, shoo ikaanza.
Tulivyomaliza, ikabidi nirudi bafuni kuoga, yeye akaenda ndani kwake. Nilivyotoka kuoga, nakuta kanitumia msg "Sasa jirani hivi vitu ndio ulitaka kuninyima kweli?"
Sikumjibu kitu, nikalala.
Palivyokucha niliendelea na mishe zangu kama kawaida, ila kila nikimuwaza jirani yangu, kuna kitu kama shoti kinanitembea kwenye uti wa mgongo.
Siku hiyo niliwahi kurudi home tofauti na siku mbili zilizopita. Sikuona tena haja ya kujichelewesha, maana nilichokuwa nakikwepa, tayari kishanikumba. Mida ya saa tatu jirani akanitumia msg niende kule kwao. Nikagoma.
Akawa analalamika kwamba huku kwangu usumbufu unakuwa mwingi, heri ya kule kwao tukimaliza tunaoga humo humo. Wao vyumba vyao vilikuwa tofauti, walikuwa na vyumba viwili, alafu kimoja ni master. Mara zote ilikuwa tukimaliza shoo, lazima atoke aende kwake kujisafisha.
Nikaona sio kesi, nikamwambia nitaenda. Mida ya saa nne nikawa nimeenda. Lock , milango alaf tukaanzisha vistori vya hapa na pale. Tulipiga story mpaka kwenye mida ya saa tano hivi, alaf ndio tukaanza shughuli ya kilichonipeleka. Yani kabla hata sijaingiza mashine, tukasikia mlango unagongwa. Ikabidi nimuulize jirani yangu, atakuwa nani huyo?. Na yeye anasema hajui. Nikamwambia atoke aende kuangalia. Alivyotoka, Mimi huku chumbani nikajifungia kwa ndani, alafu nikabana pale mlangoni nasikilizia kinachoendelea sebuleni, maana akili ilashaanza kuvurugika. Alivyofungua tu mlango wa sebuleni, mtani alimpokea kwa pupa, nikamsikia jirani yangu analia kuomba msaada.
Kule chumbani nikajisemea, "nimeisha"..
Baada ya hapo mtani akahamia kwenye mlango wa chumbani na kuanza kuniambia "Mutani fungua mulango, najua upo ndani Mutani". Nikakausha. Muda huo jirani yangu alivyoachiwa nilimsikia anakimbilia nje, ila sikuhangaika kujua atakuwa ameenda wapi.
Mtani akaanza kuupiga ule mlango kama anataka kuuvunja. Alikuwa anaupiga na kitu kama panga au nondo.
Mtani: "Mutani nimesema fungua mulango tuzungumuze"
Mimi nipo kimya tu kule chumbani, kwani kuzungumza ni lazima mlango ufunguliwe?. Kila nikiangalia namna ya kujinasua sioni. Tukijenga nyumba huwa tunajaribu kuweka uimara wa kuzuia wezi nje wasije kuingia ndani, ila hatujawahi fikiria kwamba kuna siku tutakuwa ndani alafu tutakiwe kutoka nje, hasa kwa njia zisizo rasmi kama dirisha. Aisee madirisha ya ile nyumba yalikuwa na nondo nene sijawahi kuziona popote. Kule sebuleni nikamsikia mtani anaongea na simu:
"Kasimu naomba uje hapa nyumbani haraka, nimejaribu kumupigia Mogadishu simupati.... Punguza maswali kaka, ukifika nitakwambia, ila mupitie Moga pale masikani kwake muje naye".
Akili ikaanza kuzunguka kwa kasi, wakishakuwa wengi hapa nimeisha. Kama huyu peke yake siwezi kummudu, itakuwaje wakishakuwa wengi? Nikajaribu kuangalia kwenye ceiling board nione kama patakuwa na upenyo wowote, ila pako tight. Kule sebuleni mtani ndio kwanza anazidi kuwaita wenzake.
Mtani: "Nimesema bila Moga musije, hakikisha unamupata. Kama hayupo kwake, kamucheki gereji kwa White pale. Ukimukosa njoo na Pati""
Akili ikaniambia huyo Mogadishu ambaye anasisitiziwa kuja, kama akifika basi shughuli imeisha, maana ilo jina haliwezi kuwa la balozi au mwenyekiti wa serikali ya mtaa. Nikajaribu kupanda dirishani, alafu nikawa napush ceiling board kwa juu ili nione kama linaweza kupachuka nipate upenyo. Mtani alivyonisikia napiga piga vitu kule chumbani, nae akazidisha kupiga mlango.
Muda huo kobilo imenywea kinoma, siku ile ndio nilijua kumbe kuna muda pumbu zinaizidi kobilo urefu. Huwa tunawalaumu mbwa na kuwaita Koko kisa kwenye hatari wakiwa mbali na nyumba zao huwa wanafyata mikia kwa uoga, kumbe hata sisi huwa tunafyata mikia yetu sema ni vile haipo hadharani. Ile siku na Mimi nilifyata mkia wangu aisee.
Ni rahisi kusimulia, ila haikuwa rahisi wakati ule wa tukio. Pale juu kwenye ceiling board na penyewe pakawa pagumu, nikajikuta naanguka mzima mzima mpaka juu ya stand ya viatu, pia nikajibamiza kwenye mlango wa kabati, nikapasua kioo.
Mtani: "We mu$enge huko ndani umevunja nini? Unajua mutani nitakuua?. Ohoo"
Sikuwa na hamu ya kupanda tena kule juu. Mara Kasimu akampigia simu mtani na kumtaarifu amewapata Moga na Pati, aje na yupi?. Mtani akamwambia aje nao wote. Nilikuwa natokwa na jasho kama maji, ila baada kusikia ile kauli ghafla nikaanza kuhisi baridi....
Mogadishu mtu mbadi,Mutani atajua hajui atakapofika mzee wa mji mkuu wa Somalia!"Akili ikaniambia huyo Mogadishu ambaye anasisitiziwa kuja, kama akifika basi shughuli imeisha, maana ilo jina haliwezi kuwa la balozi au mwenyekiti wa serikali ya mtaa"
Portion 12.
.... Nikiwa kwenye hii nyumba nilijitahidi sana kutulia. Sikutaka kuingia kwenye issue za mahusiano kwa wakati ule. Hivyo niliamua kuwa busy na mambo yangu tu.
Nilikuwa nawaona tu wapangaji wenzangu wanavyobadili mizigo hasa yule dereva malori. Mimi nilikuwa napenda wanawake wenye miili mikubwa, ila yule jamaa alinizidi. Tandam alizokuwa anapush zilikuwa ni heavy sana. Ila walau yeye mwili wake wa ulikuwa unaruhusu.
Pamoja na tabia yake ya kubadili wanawake, ila alikuwa na mwanamke mmoja ambaye inaonekana wamekuwa wakiishi pamoja kwa muda mrefu ila alikuwa safarini kipindi Mimi nahamia. Nikiwa na kama mwezi na nusu tokea nimehamia pale, huyo mwanamke wake akawa amerudi. Alikuwa ni mwanamke wa haja, nyama nyama za kutosha, kiasi kwamba nikajikuta natoa macho.
Kwavile sikuwa mtu wa kupenda kutoka toka, mara nyingi nikitoka mishe zangu huwa natulia tu pale ghetto. Katika siku ambazo huwa nakuwa home mapema au hata kama nimewahi kurudi, yule mwanamke wa mtani wangu akaanza kama kujaribu kunizoea. Na hiyo ilitokana na kwamba muda mwingi anashinda mwenyewe mazingira ya pale home. Hata yule mke wa mpangaji ambae ameoa, hakuwepo maana alisafiri ndani ya wiki moja tokea nihamie pale.
Ili kujaribu kupunguza mazoea na yule mwanamke, nikafikiria nitafute demu. Endapo ikitokea nimewahi kurudi ghetto, niwe na mtu wa kuniweka busy, pia nimfanye yule mwanamke wa mtani wangu apunguze mazoea
Haukupita muda mrefu sana, nikawa nimefahamiana na Mama Bahati. Japo mpaka kuja kumuweka kwenye himaya yangu ilihitaji nguvu za ziada. Na kilichofanya mlolongo uwe mrefu ni kwamba nilihisi kama vile ninacompetetion na mtu mwingine. Sikuwa na namba yake ya simu, hivyo kumpata ilikuwa ni mpaka nimlie timing sana. Hakuna kitu alichokuwa hapendi kama kusimamishwa njiani, hasa karibia na mitaa ya kwake. Alikuwa anamuogopa sana Binti yake (Bahati).
Nakumbuka kati ya siku ambazo nilishawahi ongea nae njiani, moja kati ya kauli alizokuwa anasema ni kwamba "Sitaki watu wanikute nimesimama njiani hivi". Baadae nilikuja kuelewa alikuwa anamaanisha mwanae Bahati.
Kuna sehemu nilipenda sana kutega, ila mara kwa mara kila nilipokuwa natega maeneo yale, kuna jamaa mwingine nae namuonaga maeneo yale. Na mara zote ambazo ilitokea nikamuona huyo jamaa, basi siku hiyo lazima niondoke dry bila kuonana na Mama Bahati.
Sasa kumbe na yule jamaa nae ananiona hivyo hivyo. Mara zote ambazo akinigumia Mimi mitaa ile, basi lazima mambo yake yakwame. Siku moja nilipimuona, ikabidi nimfate tuongee ili kama vipi nimuachie aendelee kufukuzia yeye. Maana Kwa uzoefu wangu, mara zote ikitokea demu anafukuziwa na watu wawili, hapo mnaweza potezeana sana muda. Nilipoenda kuongea na jamaa, kumbe yeye anamfukuzia Bahati. Na yeye alipojua situation yetu ilivyo, akacheka sana.
Jamaa: "Kwahiyo wewe ulipowaangalia yule Mama na Binti yake, akili ikakwambia uende kwa Mama mtu?"
Analyse: "Hii ni kama bufee tu, unachagua unachopenda vingine unaviruka"
Jamaa akacheka sana.
Tulipiga story kadhaa, alaf kwa kupitia Bahati jamaa ndio akanisaidia kupata namba ya Mama Bahati. Kutokea pale kila mmoja akaendelea na harakati za kuweka jimbo lake sawa. Jamaa alikuja kuwa mshikaji wangu sana tu, japo alikuwa ananikera jambo moja. Mara nyingi ilikuwa nikikutana nae anapenda kuniita "Baba mkwe". Sometime unakuta nimeenda Kiwanjani kuangalia mpira, akiniona hata kwa mbali utasikia "Niaje Baba mkwe".
Nilivyofanikiwa kumseti Mama Bahati, kuna siku akaja mpaka nilipokuwa naishi. Wakati anaingia ndani, yule mwanamke wa mtani wangu akamuona. Na hata wakati anatoka pia alimuona. Kesho yake mchana natoka misele maana ilikuwa ni jumamosi, nikamkuta yule mwanamke wa mtani wangu kakaa nje kwake pale:
Jirani: "Jirani una hatari sana wewe, kumbe wewe sio wa mchezo mchezo"
Hapa nikajua umbea unaanza sasa, huyu atakuwa anaongelea issue ya Mama Bahati tu.
Analyse: "Kwanini jirani?"
Jirani: "Ule mzigo wote ulibeba peke yako?"
Nikaishia kucheka tu.
Jirani: "Yani jirani jana nilikaa standby maana nilijua muda wowote ungehitaji hata ambulance. Nilishangaa kuona ulipata hadi nguvu za kumsindikiza"
Analyse: "Ambulance ya nini jirani, kwani tulikuwa tunapigana mle ndani?"
Jirani: "Sasa limwili lote lile, akikulalia si kifo kinakuita?"
Analyse: "Na kwanini anilalie jirani?. Maana nimemleta ili Mimi ndio nimlalie"
Jirani: "Hivi mnaipendea nini miili mikubwa kama ile, siutafute size yako?"
Analyse: "Ukiona sijaomba msaada, basi ujue ile ndio size yangu jirani"
Jirani: "Hata kama jirani, ila hii imezidi. Kamwili kenyewe hako"
Analyse: "Tatizo jirani mnayaangalia haya mambo kitofauti sana. Na nyie ndio tungewapa kazi ya kutengeneza trekta mngeiwekea matairi yote makubwa kisa inafanya kazi shambani"
Jirani (akacheka sana): "Sasa hapa trekta limeingiaje?"
Analyse: "Hujiulizi kwanini kwenye trekta tairi za nyuma na mbele hazilingani?. Ili kuongeza ufanisi, balance ni muhimu sana kwenye baadhi ya mambo"
Maongezi sikuyaendeleza sana, nikawa nimeingia kwangu. Sikuwa na pa kwenda, hivyo nililala karibia siku nzima. Mida ya jioni nikaenda nje kula, alaf nikarudi tena kulala, sikuonana na yule jirani.
Kulivyokucha nikawahi kuamka ili nifue. Wakati nafua, jirani nae akatoa vyombo nje akawa anaosha.
Jirani: "Jirani umeamkaje?"
Analyse: "Salama kabisa jirani"
Jirani: "Naona leo umeamkia kwenye udobi jirani"
Analyse: "Leo ndio siku ya kufua, ikipita Leo ndio mpaka wik end ijayo"
Hatukupiga story sana, maana simu yake iliita akaingia ndani kuipokea. Baada ya hapo kila mmoja akawa busy na mambo yake. Mida ya jioni nikaenda zangu kutembea tembea huko nje, nikala kabisa alafu giza lilivyoanza kuingia nikarudi zangu ghetto.
Nikamkuta jirani, nikamsalimia. Nikaanza kuanua nguo zangu. Wakati nataka kuingia ndani akaniambia:
Jirani: "Yani hapo ukiingia ndani ndio mpaka kesho hiyo"
Analyse: "Hii ndio mpaka kesho jirani, nje hakuna issue tena"
Jirani: "Sasa unajifungiaje ndani mapema hivyo, utoke nje wala upige story na majirani zako"
Analyse: "Nitapiga story na nani, wakati mtani wangu akirudi mtajifungia ndani"
Jirani: "Huyo yupo safari, kurudi nadhani mpaka wiki ijayo"
Analyse: "Kumbe umebaki peke yako, pole sana jirani"
Jirani: "Pole ya nini sasa, nishazoea siku hizi"
Analyse: "Sawa jirani kuna kazi naimalizia ndani hapo. Kama ukiwa bored sana utanishtua nije nje tupige story. Au kama utaweza kuja ndani sawa, maana nikiwa macho mlango wangu sifungagi"
Hakujibu kitu, na Mimi sikusubiria jibu maana nilikuwa naongea huku natembea. Nikaingia ndani. Mida ya saa tatu nikiwa zangu nimekaa mezani kwangu naandika andika. Nikamsikia jirani yangu yupo kwa mlangoni ananiita:
Jirani: "Jirani vipi umelala?"
Analyse: "Hapana jirani"
Akafungua mlango, alaf akawa kama anachungulia tu.
Analyse: "Unakaribisha mbu jirani, sina damu nyingi Mimi. Ingia ndani?"
Akaingia. Kitendo cha yeye kuingia tu, akili yangu ikabadili vitu ilivyokuwa inafikiria, ikaanza kuwaza mapenzi sasa.
Jirani: "Sasa mbona viti vyote umekalia wewe, wageni tukae wapi?"
Analyse: "Mbona sehemu zipo nyingi tu, Kaa pale (nikamuelekeza kitandani)"
Ninachopendea mashangazi ni kwamba, akili ikishajitune kwenye sex, hapawi tena na maswala ya kuvutana vutana. Sana sana atakwambia "Kazime taa au kafunge mlango". Ndivyo ilivyokuwa kwa jirani yangu. Hata taa hatukuzima, nilienda kufunga mlango tu. Nilikuja kuufungua mida ya alfajiri wakati alipotaka kurudi ndani kwake.
Palivyokucha, Mimi nilienda job kama kawaida japo siku hiyo nilichelewa sana kurudi. Nilifika ghetto kwenye mida ya saa tatu kasoro hivi, maana nilipitia na sehemu ya kula.
Wakati nafungua mlango wangu, jirani akawa ametoka nje ya mlango wake:
Jirani: "Mbona leo umechelewa sana?"
Analyse: "Nimechelewa kutoka leo, alafu pia nilipitia na sehemu ya kula. Huko nako pamechangia kuchelewa hivi"
Jirani: "Yani nimejitahidi kupika chakula kingi ili na wewe ule, kumbe nimejisumbua?"
Analyse: "Nisamehe sana, sikufahamu kama umenihesabia pia. Ila hata hivyo nisikusumbue, huwa narudi nikiwa nishakula"
Jirani: "Nani kasema unanisumbua? Wewe kama hutaki chakula changu useme tu"
Analyse: "Sio hivyo bhana"
Unajua pamoja na kwamba Mimi nimuongeaji sana, ila mwanamke akinikazia sana macho, nakuwaga na aibu. Huwa nakwepesha eye contacts kwa kuzuga kufanya vitu vingine. Na hii sometime huwa inanikutaga hata after first sex. Inakuwaga ngumu kunigundua. Ila huyu jirani yangu alinidaka:
Jirani: "Unanionea aibu au naona vibaya? Akacheka kidogo.
"Kumbe jirani una aibu hivyo?"
Analyse: "Sina aibu, ni mtazamo wako tu"
Jirani: "Basi ukitakata kulala naomba usifunge mlango"
Nikamwangalia kwa jicho la kuuliza kuna nini?
Jirani: "Kwani umechoka sana"
Analyse: "Hapana"
Jirani: "Basi fanya hivyo"
Ilikuwa kabla hata sijaingia kulala nimeenda zangu kuoga, narudi ghetto namkuta jirani kajilaza kitandani kwangu. Mguu mmoja umenyooka, mwingine kaukunja, kalalia tumbo alafu kichwa kageuzia ukutani.
Nikabaki nimesimama maana nilipatwa na mfadhaiko fulani kutokana na lile pozi. Na yeye ni kama alilijua ilo, wala hakujitingisha, akaniacha niamue mwenyewe kuendelea kushangaa au nimfate pale kitandani.
Nikamuuliza "Hivi jamaa yako umesema anarudi lini?"
Jirani: "Kama unashida nae, acha mlango wazi akija na yeye ajumuike"
Analyse: "Nahitaji uhakika, umewasiliana nae leo akasema Yuko wapi?"
Jirani: "Punguza maswali jirani unataka au hutaki?"
Sikutaka kuendelea kuongelea hizo habari, nilihofia kumpotezea mood.
Nikamsogelea alipokuwa......
** ** *****
Soma muendelezo hapa: Life style yangu ilinipotezea mwanamke
Hii part imenivunja mbavu sana aisee , Apostle wewe ni kiboko kwenhe kusimulia"Akili ikaniambia huyo Mogadishu ambaye anasisitiziwa kuja, kama akifika basi shughuli imeisha, maana ilo jina haliwezi kuwa la balozi au mwenyekiti wa serikali ya mtaa"
kila siku saa 2-3 usiku hakikisha unakuwepo hapa.Naomba nitagiwe muendelezo hata usiku wa manane🤣🤣🤣🤣
Kobilo ilikua fupi zaidi ya mbupu....sheitwainiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Portion 13:
.... Hakuna jambo zuri kama kufanya kitu unachopenda, maana kama ni kufurahia basi unafurahia to the maximum. Kuna watu huwa wanasema "sex iko overrated" sidhani kama wapo sahihi sana. Watu tunafurahia sex kwa viwango tofauti, ila kuna ambao wanaofurahia sana mapenzi. Watu wa aina hiyo ukiwaambia sex ni overrated wataishia kukushangaa tu.
Anyways, tuachane na ilo. Ule usiku ulipita vizuri pia. Asubuhi kama kawaida yake akawahi kwenda chumbani kwake. Mimi nikajiandaa na kwenda zangu job. Ilivyofika mida ya jioni, yule jirani akanitumia msg "Jirani nitakuwekea chakula, uje kula nyumbani leo"
Nikamjibu "Tutaangalia jirani, maana naweza kuchelewa kurudi".
Jirani: "Jitahidi uwahi kurudi jirani, huo mwili unahitaji kupumzishwa pia"
Analyse: "Poa jirani"
Lakini nikawa najishauri sana kuhusu ilo jambo. Yani nimetembea na demu wa jamaa, alaf bado pia na chakula chake nile, mbona kama dharau sana?. Ila nitamkwepaje yule jirani? Maana nikirudi lazima ajue.
Muda wa kutoka, nikajaribu kujizungusha sana ili nichelewe kurudi. Nikapitia sehemu ya kula kabisa, nikajisemea hata ikitokea jirani amenilazimisha sana kula, basi nitakula kidogo. Na ndivyo ilivyokuwa, maana nilivyorudi ghetto, akaniambia chakula changu kipo kinanisubiria. Nilivyotoka kuoga, nikakuta kaniwekea chakula kwenye meza yangu.
Nilikula chote kana kwamba sikuwa nimekula kabla ya kurudi home. Wakati namalizia kula, jirani akaingia ndani kwangu:
Jirani: "Inaonekana ulikuwa na njaa sana jirani, chakula bado kipo, nikuongezee?"
Analyse: "Hapana jirani, kimetosha. Chakula chenyewe nakulaga tu lakini hata hakina faida mwilini, maana sinenepi"
Jirani: "Na huwezi kunenepa jirani, mpaka utakapoacha kubeba mizigo isiyo size yako"
Analyse: "Mpaka naibeba, basi ujue naimudu"
Jirani: "Na kweli unaimudu. Vipi leo nije au nikuache upumzike jirani"
Analyse: "Leo niache nipumzike jirani"
Jirani: "Mmh ubaya huo jirani, hata kamoja kakulalia tu?"
Analyse: "Tufanye kesho jirani"
Jirani: "Tatizo akili yangu nilishaiandaa jirani. Basi ngoja nipeleke vyombo alafu nije. Leo sikai sana"
Akawa ametoka nje na vyombo. Nikabaki najiuliza, huyu ataniua sasa. Maana mzigo wenyewe mpaka kuupush natumia nguvu nyingi sana, alaf yeye anataka kila siku awe anakuja tu.
Nikiwa naendelea kujiuliza namkataa vipi, maana kiukweli nilikuwa nimechoka sana. Nikasikia geti limefunguliwa, nikahisi labda ni yule mpangaji ambaye tupo nae vyumba vya nyuma atakuwa amewahi kurudi. Maana yeye ni mtu wa tungi sana, na amekuwa na kawaida ya kurudi night kali. Ila nikamsikia jirani yangu anaongea "Karibu kipenzi, mbona ghafla bila taarifa?".
Nikachungulia nje, namuona mtani wangu amerudi. Moyo ukalia Pa! Inamaana kama angewahi au kuchelewa kidogo, basi alikuwa anamkuta mwanamke wake kwangu. Sikutaka kuimagine huo msala wake, maana jamaa alivyombishi na mahasira hasira, asingeniacha salama. Nikalock mlango wangu, nikalala. Sikutaka tena kuwa na movements za aina yoyote muda ule.
****** ******* ******* *******
Asubuhi palivyopambazuka, niliamka mapema nikawahi kwenye mishe zangu. Nilichomoka bila kuonana na yeyote, na hata nilivyorudi usiku hakuna niliyeonana nae.
Siku iliyofuata ndio nilionana na mtani wangu mida ya usiku wakati narudi:
Mtani: "Mutani kumbe upo, nikajua umehama tayari, maana pako kimya"
Analyse: "Nipo mtani, sema kuondoka ni asubuhi na kurudi ndio kama hivi"
Mtani: "Inabidi uoe sasa mtani, muji inabidi uchangamuke huu"
Analyse: "Akili yenyewe ya kuoa ni hii niliyonayo au nyingine?"
Jamaa akacheka:
Mtani: "Oa tu mutani, akili itakuwa humo humo ndani ya ndoa bwana"
Yule mwanamke wake nae akawa ametoka nje, akachangia kwenye mada yetu:
Jirani: "Ni kweli jirani inabidi uoe, na Mimi nipate mtu wa kupiga nae story hapa"
Analyse: "Naona mmeniamulia leo"
Mtani: "Kama huwezi kuoa kwasasa, basi kuwa kama Mimi, vuta mzigo uutulize nyumbani"
Jirani: "We nae usimfundishe mwenzako uhuni, ntaondoka hapa"
Wote tukacheka. Sikutaka kuendelea kuongea nao, nikaingia zangu ndani nikawaacha wapendanao wanaendeleza story za hapa na pale.
Ilipita kama wiki na nusu hivi. Kuna wik end moja nikiwa nafua pale nje, na wapangaji wengine wakiume pia walikuwa nje. Kasoro yule ambae ameoa aliyekuwa anaishi kwenye nyumba kubwa, yeye peke yake ndio hakuwepo. Mimi na yule mpangaji mwingine mtu wa tungi, tulikuwa tunafua, ila yule mtani wangu yeye alikuwa amekaa tu kwenye kitu anatupigisha story.
Kwenye story za hapa na pale, jamaa ndio akatwambia anatarajia kuondoka muda wowote maana gari yake imeshapakia mzigo, kuna vitu anamalizia kuweka sawa kisha aondoke.
Nilivyomaliza kufua, nikavaa na kwenda kuzurura.
Hiyo wiki niliendelea kuwa busy na mambo yangu. Mara zote nilizokuwa narudi jioni, mtani wangu niliendelea kumuona, ila sikuwahi kumuuliza chochote kuhusu safari yake, pia sikuwa na sababu ya kumuuliza.
Kuna siku nimelala zangu ghetto mida ya kama saa tano hivi, nikasikia mtu ananyonga kitasa cha mlango wangu. Nikajikausha, maana nilikuwa nachezea simu. Mara nikasikia yule jirani yangu ananiita, nikakausha. Aliendelea kuita, alaf pakawa kimya.
Zikapita kama dakika 4 au 5 hivi, simu yangu ikaanza kuita. Naangalia mpigaji ni yule jirani. Akili yangu ikaniambia jamaa yake atakuwa ameshaondoka, ila nikakausha kama vile nimelala. Alipiga mara mbili tu, kisha akaacha.
Asubuhi nikawahi kuondoka zangu, na wala sikumtafuta. Mida ya saa tatu asubuhi akanitumia msg "Kumbe ndio unadharau kiasi hicho?"
Analyse: "Kwanini unasema hivyo?"
Jirani: "Wewe ni wa kutonipokelea simu jana"
Analyse: "Nilikuwa nimeshalala jirani, niliziona asubuhi"
Jirani: "Leo naomba uwahi kurudi jirani, ninahamu sana na wewe"
Analyse: "Mbona kama unanitafutia matatizo jirani? Yaliyotokea yameshatokea, tuachane na hayo mambo"
Jirani: "Sasa hivi ndio unajua kuna matatizo?"
Sikumjibu.
Hiyo siku nilivyotoka job, nikapitia kula alaf badala ya kwenda ghetto nikalazimika kusubiria mpaka mida ya saa nne mechi za UEFA. Home nikarudi saa sita usiku baada ya mpira kuisha. Nikaoga na kulala bila buguza. Na asubuhi kulivyokucha nikaondoka mapema sana.
Mida ya mchana alinitumia msg kuniuliza nililala wapi jana, ila sikuijibu. Na nilivyotoka job, nikaamua kurudia utaratibu wangu wa jana. Baada ya mpira kuisha ndio nikarudi zangu ghetto.
Nikavua nguo, kisha nikaenda kuoga. Narudi zangu tena ghetto, namkuta jirani kajilaza kitandani kwangu, khanga yake kaiweka juu ya meza, yuko uchi tu pale. Nikabaki nimesimama pale mlangoni
Jirani: "Unakaribisha mbu jirani, ingia ndani"
Sikumjibu kitu. Akajigeuza na kulalia tumbo, mguu mmoja akanyoosha, mwingine akaukunja alafu akaniambia "Kama hunitaki humu ndani, niambie nitoke"
Pia sikumjibu kitu. Akanyanyuka na kusogea nilipokuwa "Jirani unajifanya hutaki huku unataka. Kuna watu wanatamani wapate hata nafasi ya kunishika mkono tu, alafu wewe unaleta pozi"
Analyse: "Hiyo nafasi ameshaipata mtani wangu, ndio maana upo nae"
Jirani: "Kwahiyo unataka kuniambia nini?"
Analyse: "Tulia na jamaa yako, sitaki matatizo"
Jirani: "Kwani wewe ndio utakuwa wa kwanza kupata matatizo?. Mwanaume mzima unakuwa muoga, hebu acha maneno mengi ili upate vitu vizuri jirani"
Analyse: "Sivitaku hivyo vitu vizuri, hebu niache nipumzike"
Jirani: "Ungekuwa huvitaki ungesimamisha jirani?. Kwanini ujitese wakati nipo mbele yako hapa, sogea basi"
Kabla hata sijamjibu, akapiga magoti akalitoa taulo nililokuwa nimejifunga. Akachukua kobilo na kujiwekea mdomoni. Sikupata tena ujasiri wa kuendelea kumbishia. Naanzia wapi sasa?
Sijui alikuwa ametoka kunywa chai au maji ya moto, maana ulimi wake ulikuwa na joto kali sana. Alikuwa ananyonya mashine hadi nikapatwa na goosebumps.
Kuna muda nikajikuta ananizidia, maana nilianza kupatwa na ile hali ya kumwaga. Ikabidi nimzuie asiendelee. Akataka kwenda kitandani, nikamuelekeza aende mezani. Kufika pale akalalia mgongo, nikamnyanyua ile miguu yote miwili, nikazamisha kobilo, shoo ikaanza.
Tulivyomaliza, ikabidi nirudi bafuni kuoga, yeye akaenda ndani kwake. Nilivyotoka kuoga, nakuta kanitumia msg "Sasa jirani hivi vitu ndio ulitaka kuninyima kweli?"
Sikumjibu kitu, nikalala.
Palivyokucha niliendelea na mishe zangu kama kawaida, ila kila nikimuwaza jirani yangu, kuna kitu kama shoti kinanitembea kwenye uti wa mgongo.
Siku hiyo niliwahi kurudi home tofauti na siku mbili zilizopita. Sikuona tena haja ya kujichelewesha, maana nilichokuwa nakikwepa, tayari kishanikumba. Mida ya saa tatu jirani akanitumia msg niende kule kwao. Nikagoma.
Akawa analalamika kwamba huku kwangu usumbufu unakuwa mwingi, heri ya kule kwao tukimaliza tunaoga humo humo. Wao vyumba vyao vilikuwa tofauti, walikuwa na vyumba viwili, alafu kimoja ni master. Mara zote ilikuwa tukimaliza shoo, lazima atoke aende kwake kujisafisha.
Nikaona sio kesi, nikamwambia nitaenda. Mida ya saa nne nikawa nimeenda. Lock , milango alaf tukaanzisha vistori vya hapa na pale. Tulipiga story mpaka kwenye mida ya saa tano hivi, alaf ndio tukaanza shughuli ya kilichonipeleka. Yani kabla hata sijaingiza mashine, tukasikia mlango unagongwa. Ikabidi nimuulize jirani yangu, atakuwa nani huyo?. Na yeye anasema hajui. Nikamwambia atoke aende kuangalia. Alivyotoka, Mimi huku chumbani nikajifungia kwa ndani, alafu nikabana pale mlangoni nasikilizia kinachoendelea sebuleni, maana akili ilashaanza kuvurugika. Alivyofungua tu mlango wa sebuleni, mtani alimpokea kwa pupa, nikamsikia jirani yangu analia kuomba msaada.
Kule chumbani nikajisemea, "nimeisha"..
Baada ya hapo mtani akahamia kwenye mlango wa chumbani na kuanza kuniambia "Mutani fungua mulango, najua upo ndani Mutani". Nikakausha. Muda huo jirani yangu alivyoachiwa nilimsikia anakimbilia nje, ila sikuhangaika kujua atakuwa ameenda wapi.
Mtani akaanza kuupiga ule mlango kama anataka kuuvunja. Alikuwa anaupiga na kitu kama panga au nondo.
Mtani: "Mutani nimesema fungua mulango tuzungumuze"
Mimi nipo kimya tu kule chumbani, kwani kuzungumza ni lazima mlango ufunguliwe?. Kila nikiangalia namna ya kujinasua sioni. Tukijenga nyumba huwa tunajaribu kuweka uimara wa kuzuia wezi nje wasije kuingia ndani, ila hatujawahi fikiria kwamba kuna siku tutakuwa ndani alafu tutakiwe kutoka nje, hasa kwa njia zisizo rasmi kama dirisha. Aisee madirisha ya ile nyumba yalikuwa na nondo nene sijawahi kuziona popote. Kule sebuleni nikamsikia mtani anaongea na simu:
"Kasimu naomba uje hapa nyumbani haraka, nimejaribu kumupigia Mogadishu simupati.... Punguza maswali kaka, ukifika nitakwambia, ila mupitie Moga pale masikani kwake muje naye".
Akili ikaanza kuzunguka kwa kasi, wakishakuwa wengi hapa nimeisha. Kama huyu peke yake siwezi kummudu, itakuwaje wakishakuwa wengi? Nikajaribu kuangalia kwenye ceiling board nione kama patakuwa na upenyo wowote, ila pako tight. Kule sebuleni mtani ndio kwanza anazidi kuwaita wenzake.
Mtani: "Nimesema bila Moga musije, hakikisha unamupata. Kama hayupo kwake, kamucheki gereji kwa White pale. Ukimukosa njoo na Pati""
Akili ikaniambia huyo Mogadishu ambaye anasisitiziwa kuja, kama akifika basi shughuli imeisha, maana ilo jina haliwezi kuwa la balozi au mwenyekiti wa serikali ya mtaa. Nikajaribu kupanda dirishani, alafu nikawa napush ceiling board kwa juu ili nione kama linaweza kupachuka nipate upenyo. Mtani alivyonisikia napiga piga vitu kule chumbani, nae akazidisha kupiga mlango.
Muda huo kobilo imenywea kinoma, siku ile ndio nilijua kumbe kuna muda pumbu zinaizidi kobilo urefu. Huwa tunawalaumu mbwa na kuwaita Koko kisa kwenye hatari wakiwa mbali na nyumba zao huwa wanafyata mikia kwa uoga, kumbe hata sisi huwa tunafyata mikia yetu sema ni vile haipo hadharani. Ile siku na Mimi nilifyata mkia wangu aisee.
Ni rahisi kusimulia, ila haikuwa rahisi wakati ule wa tukio. Pale juu kwenye ceiling board na penyewe pakawa pagumu, nikajikuta naanguka mzima mzima mpaka juu ya stand ya viatu, pia nikajibamiza kwenye mlango wa kabati, nikapasua kioo.
Mtani: "We mu$enge huko ndani umevunja nini? Unajua mutani nitakuua?. Ohoo"
Sikuwa na hamu ya kupanda tena kule juu. Mara Kasimu akampigia simu mtani na kumtaarifu amewapata Moga na Pati, aje na yupi?. Mtani akamwambia aje nao wote. Nilikuwa natokwa na jasho kama maji, ila baada kusikia ile kauli ghafla nikaanza kuhisi baridi....