Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Daaah apostle haya mazoea ya kijinga naademu sipendagi kabisa yaani nimesoma ila nimekasirika kinoma kutega unitege kutoa uchi aah! 🤮
 
Mkuu niko chini ya miguu yako hiki kipengele naomba kesho usiruke hata herufi moja ikibidi hata kama kitakuwa na episode mbili hakikisha kimeelezewa kwa undani sana kiasi kwamba kieleweke bila kuacha shaka hata moja nikutakie usiku mwema
 
UKWELI ni kwamba jamaa unajiendekeza sana.

Kuna sisi wengine tukisema hatupigi kweli. hasa kama kuipiga hio demu kuna hatibu malengo na mipango.

stimu na mzuka haziji kabisa.
Kwa mitego ya katrina nitamtetea apostle mpk kesho, hata mimi ningeshindwa jamani we kaka mtu anakatiza amevaa chupi na bra tu kweli!!!
Mi hata mume akikutwa na hilo jaribu namwambia ale na namsamehe kiroho safi kabisa
 
Mimi ninachojua Mr B alimkubali Apostle kama mkwe ndio maana akatengeneza mazingira ya Aposto na Katrina kuonana mara kwa mara. Ile hali ya kuonyesha kumlinda sana binti yake dhidi ya wanaume mbele ya Aposto ni kama ndio alikuwa anamchochea afanye move kwa binti yake.
Inawezekana hata tunapoongea hapa, Katrina ndio mke halali wa Aposto leo hii baada ya kumkosa Esther wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…