Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Wapinzani tz wamekuwa kama mateja sio wakuwaamini, wamekuwa mateja wa kuokota habari, sera hawana wamekuwa watu wa matukio ya kipuuzi ili kuzua taarukitaaruki
Wanaona ikulu ni sehemu rahisi rahisi tu! Mtahangaika ila ikulu mtapasikia kwenye bomba.
Jikazi kama gari LA dizeli likipandisha mlima lkn ikosiku hata baba ako mzazi utamkataa kisa malipo ya buku saba
 
Kwahiyo unataka kusema malaika mkuu hakuugua siyo?au huwa haugui eti makamongo?
 
Nimesema kujibu kiweledi kuua uvumi huo.
1.Njia mbona nyingi tuu! Nikuwa active tuu kwa tukio lolote la kawaida litakalo muonyesha Rais au tamko lake.

2.Haiwezekani amalize ziara ndefu ile halafu atoweke protokali ya kawaida ya kuaga Lindi na kurudi Dar ivunjwe halafu walaumiwe watu wa majungu na unafiki wakati wame watengenezea story kwa ukimya?
Mosi, Rais kila siku yuko kazini, kama akiwa likizo taarifa inatolewa, lakini kama amepumzika au ana Mafua unataka taarifa itolewe kuwa Rais Leo amepumzika ana mafua? Binafsi nimepongeza sana kitendo cha kukaa kimya dhidi ya umbeya wa Mitandaoni, pia nimepongeza Rais kuonekana kwa wakati muhafaka kuwaapisha wateule wapya.na Kuwaaibisha wajinga wachahche ambao wanatambulika na wenye nia ovu washindwe kwa jina la Yesu. Uvumi kama ni wa uongo una hathari gani?
Pili, Kwani kulikuwa na ubaya wa Rais kupumzika baada ya ziara ndefu ya kazi?au Kuendelea na kazi zingine kimya kimya? Au kulikuwa na dhamira ovu ambayo unaijua na ulitarajia?Mbona siku zote hatuna ratiba kamili ya anachofanya kila siku, bali yale matukio muhimu yenye tija kwa Taifa, ambayo hulazimika kuonekana na taarifa hutolewa kabla.
 
We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.

The Nation is ok. But if you are talking als a cheap politician whose interests are directed to personal gains. Then you are right.

I thought you would have been mature enough to habe Adressed the issue of cheap politics conducted by people such as Zitto, and Fatuma karume to mention them but a few. Instead you sound as usual „mchumia tumbo“. Tanzania kama kweli unaijua hatuhitaji Siasa za majukwaani. We want results. Kuiga iga kufikie mwisho. Tunajijua tuanaongea sana. Na Hii mitandao imetufanya wajinga badala ya kujua na kutambua „ what Tansania needs“ now. Work work work.


Rudi vor 2015. pita maofisini. Siasa mwaka Mzima. Ok Rudi wakati wanasiasa Wanakata mitaa. Matusi tu. Hakuna la kusema tulimeje nk. So think well brother
 
Jikazi kama gari LA dizeli likipandisha mlima lkn ikosiku hata baba ako mzazi utamkataa kisa malipo ya buku saba
Bombocrat note ndiyo unaopakatwa! Kama wewe unaona 7k ni hela wenzio ni hela ya kupata steem za herb asubuhi, f"k'n d'g
 
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...

Kwa mfano,

Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...

Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..

Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.

Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...

Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?

Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "

We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Ni wiki sasa hajatokea hadharani,
 
The Nation is ok. But if you are talking als a cheap politician whose interests are directed to personal gains. Then you are right.

I thought you would have been mature enough to habe Adressed the issue of cheap politics conducted by people such as Zitto, and Fatuma karume to mention them but a few. Instead you sound as usual „mchumia tumbo“. Tanzania kama kweli unaijua hatuhitaji Siasa za majukwaani. We want results. Kuiga iga kufikie mwisho. Tunajijua tuanaongea sana. Na Hii mitandao imetufanya wajinga badala ya kujua na kutambua „ what Tansania needs“ now. Work work work.


Rudi vor 2015. pita maofisini. Siasa mwaka Mzima. Ok Rudi wakati wanasiasa Wanakata mitaa. Matusi tu. Hakuna la kusema tulimeje nk. So think well brother
Rubbish
 
Back
Top Bottom