mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Haya ndio Watanzania wanayaweza, uongo na kuchezea mipira mdomoni.😂😂Linafoot haikuchezwa kabisa msimu wa 2022/2003 huo ubora umepimwa vipi wakati ligi haikuchezwa kwa kukosa mdhamini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio Watanzania wanayaweza, uongo na kuchezea mipira mdomoni.😂😂Linafoot haikuchezwa kabisa msimu wa 2022/2003 huo ubora umepimwa vipi wakati ligi haikuchezwa kwa kukosa mdhamini ?
Nafahamu huna tv na huwezi kununua kwa ufukara wako, sasa hata redio unashindwa kununua!
Shithole!
Hvi we ulitumia data gan au kigezo gani kwenye hii rank yakoHii hapa chini ni orodha ya ligi 10 bora barani Afrika kwa mwaka 2023/2024. Tanzania imeshika nafasi ya 7.
1. Moroccan Botola Pro
2. Egyptian Premier League
3. Algerian Ligue 1
4. South African PSL
5. Tunisian Ligue 1
6. DR Congo’s Linafoot
7. Tanzanian Premier League
8. Angola’s Girabola
9. Sudan Premier League
10. Guinea.
Unahisi ligi ipi haikutakiwa kuwepo top 10 na ipi imekosekana??
Na hiyo ya sudan ni sudan ipi? Mbona timu zao zinaomba kushiriki huku kwetu?Hiyo ya DRC kuwa ya 6 hapana kuna alakini ktk hii list!
Sudan wamecheza lini ligiHii hapa chini ni orodha ya ligi 10 bora barani Afrika kwa mwaka 2023/2024. Tanzania imeshika nafasi ya 7.
1. Moroccan Botola Pro
2. Egyptian Premier League
3. Algerian Ligue 1
4. South African PSL
5. Tunisian Ligue 1
6. DR Congo’s Linafoot
7. Tanzanian Premier League
8. Angola’s Girabola
9. Sudan Premier League
10. Guinea.
Unahisi ligi ipi haikutakiwa kuwepo top 10 na ipi imekosekana??