Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Kwaa njia ya Kyela -Dar, mfalme ni Kyela Express, anawaacha mbaali akina Majinja ,Newforce na Rungwe, yeye nae anatumia Scania ambazo hapo nyuma zilikuwa malori. Ni balaa kubwa.
 
Nao ni mashabiki wa mbio za mabasi
 
Duh
 
Roho inaniuma jamani
Mie ilishaniuma mpaka nikazoea saiz nikifika stend nikiona Higer naenda kusimama mbele yake naskilizia muungurumo wake baadae napanda Yutong nasepa zangu.

Team Scania inabidi tuwaombe Scania tz wafanye namna au Yale na malori ya 93 yakachongewe bodi ya Basi na kazi iendeleeeee
 
Bahari iyo ni ligi ya pili nyuma ya hao jamaa ila sauli aiseee january to december gari imejaa daaah anapiga mno pesa........hii biashara utaiona tamu hapa tu
Wikibili zilizopita nilisafiri na SAULI ya tunduma haikuwa na abiria nusu ya gari.
 
Mmewaponza jamaa jana SAULI gari zake zimepita Kabwe saa mbili usiku toka kupita saa 12.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…