Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #181
Ligi yao hiyo itamalizika pale tu ikitokea Ajali mbaya, kubwa na ya Hatari huku Mshindi wa Jumla wa Kombe lao akiwa ni Israeli pamoja na Wauza Majeneza na Sanda nchini ( eneo la Tukio ) pia.
Kwaa njia ya Kyela -Dar, mfalme ni Kyela Express, anawaacha mbaali akina Majinja ,Newforce na Rungwe, yeye nae anatumia Scania ambazo hapo nyuma zilikuwa malori. Ni balaa kubwa.Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.
View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.
Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Sio Kisutu, Kisutu ilikuwa stand ya mabasi ya Arusha, Moshi, Tanga, Mombasa na Nairobi.Mbeya miaka ya 1998-2003, ilikuwa tunatoka kisutu saa 12. Mbeya mjini saa 9 au 10 jioni. Moro saa 3 iringa saa 6. Mbarali saa 8-9
Nao ni mashabiki wa mbio za mabasiHuu ni upumbavu na sijui polisi wanapoona hizi clip wanachukua hatua gani.
Tunajiuliza zile speed governor zenye ving'amuzi haziyahusu hayo mabasi au?
Waziri wa mambo ya ndani na IGP waelezeni makamanda wenu wa mikoa ,bus likipata ajali wajihesabu hawana Kazi.
Haha hahah hahahHilo bus namba DPK limekuwa maarufu kama mtu.
Yaani bus limekuwa maarufu kuliko baadhi ya watu maarufu.
Duh😄😄😄 Kuna siku nikikuwa naangalia kipindi cha AIBUUU YAO cha ITV aisee walionyesha iyo bus ya iman plus dereva wake ali over take sehemu mbayaaa yaan hatariii alafu sasa mbele kukikuwa na trafik akalisimamisha dereva aka nyooshaaa nzimaaa ....ila siku si nyinginyule dereva alisitishiwa leseni yake kwa miezi kadhaa... Iyo njiaa ina makasheshe kumbee
Msweden kakalishwa........
B'REAL na black short fungua hyo link uone anae msubiri mwenzie n Nani?
Loliondo anasikilizia muda wa kuingia Stend huku Asante rabi ndo anakuja
Kipindi hiki msweden anapitia magumu sana dhidi ya mchinaMsweden kakalishwa........
Inavyoonesha nawe ni mmoja wapo kwenye hiyo ligi[emoji2]
Kona za Nyang'olo nazifahamu ni noma ila sio hizi kwenye picha
Roho inaniuma jamaniKipindi hiki msweden anapitia magumu sana dhidi ya mchina
Mie ilishaniuma mpaka nikazoea saiz nikifika stend nikiona Higer naenda kusimama mbele yake naskilizia muungurumo wake baadae napanda Yutong nasepa zangu.Roho inaniuma jamani
Wikibili zilizopita nilisafiri na SAULI ya tunduma haikuwa na abiria nusu ya gari.Bahari iyo ni ligi ya pili nyuma ya hao jamaa ila sauli aiseee january to december gari imejaa daaah anapiga mno pesa........hii biashara utaiona tamu hapa tu
Tdm kumpiku golden deer ni shughuli nzito.Wikibili zilizopita nilisafiri na SAULI ya tunduma haikuwa na abiria nusu ya gari.