Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
baba sauli na new force ni habari nyingine achana nao kabisaMbona unawaacha Al Saedy,Imani Plus na Majinjah wote wanakimbizana na Sauli,New Force na Golden Deer.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baba sauli na new force ni habari nyingine achana nao kabisaMbona unawaacha Al Saedy,Imani Plus na Majinjah wote wanakimbizana na Sauli,New Force na Golden Deer.
Aisee aiseee aiseee Hawa jamaa wanambip malaika wa kifo hivi Hawa jamaa wanawndesha gari ova wanacheza gemu kwenye PS dadeq!Kuna hawa wahuni nadhani hii ya kina Sauli ni ligi ya mchangani,sijui hata kama hiyo nchi ina sheria.
Ni Bangladesh
Hahah huyo utingo ana mizuka kama yeye ndiye dereva,kwa fujo hizo likilia buyu atauwa wote atakayebaki anapumua atakuwa mlemavu maisha yake yote.Aisee aiseee aiseee Hawa jamaa wanambip malaika wa kifo hivi Hawa jamaa wanawndesha gari ova wanacheza gemu kwenye PS dadeq!
😂😂😂😂 Na siku ya jumapili hazifanyi kazi zinaingia service?Kureed hunters ndiyo the slowest bus in Tanzania lakini limepata ajali mzee
Mkuu nimejaribu kufuatilia hii ligi ya huko Bangladesh ni moto wa kuotea mbali,Hahah huyo utingo ana mizuka kama yeye ndiye dereva,kwa fujo hizo likilia buyu atauwa wote atakayebaki anapumua atakuwa mlemavu maisha yake yote.
Hata sijakuelewa hiki ulichoandika hapa mkuu!kwenye milima zhongtong ndio inapompita huyo wa 310hp ila tambarale 360hp anaachwa kwa kua ana torque ndogo
Askari bongo hamnazoMkuu kama umetuacha hapo wengine. Yaani hata Askari ni mashabiki wa Mbio?
Wake ni balaa, utadhani gari yaendeshwa na nuclear powerMkuu nimejaribu kufuatilia hii ligi ya huko Bangladesh ni moto wa kuotea mbali,
HANIF Volvo ft NABIL scania
Kutoka mji wa
Dhaka to Rangpur
Hawa vichaa wa ligi duniani haahaahaa nimegundua wabangladesh wanavuta bangi iliyochanganywa na pilipili kichaa wallah yaani Hawa ndio wafalme wa road huko Bangladesh na Asia kiujumla wanatisha utaomba ushushwe Aisee!
Inatwa ligi ya kifo!
😂😂😂😂
BofloHizi gari madereva wake sijui walikuwa wanavuta bange na tunda zake,,, kiswele hizoView attachment 1881775
Funika kombeMiaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.
View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.
Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Huyu Waziri hana kazi ya maana ya kufanya?Ndicho nilichokisema hiki, tuache kuwafitinishaView attachment 1880277
Tajiri kakataza madogo wasivuke 85km/h baada ya madereva wawili wa Sauli kufungiwa leseni zao kwa miezi sita
Hapo asubuh mapema toka Iringa na bus za asubuh ndo uone Basi zinavyolala kwenye kona
Game of deathHapo asubuh mapema toka Iringa na bus za asubuh ndo uone Basi zinavyolala kwenye kona
Amekosa kazi, yeye naona ni shabiki wa DPKFunika kombe
Huyu Waziri hana kazi ya maana ya kufanya?
gari zenyewe zina kingamuzi spid mwisho 85Yaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Huwa nashangaa kuona MTU mzima anashangalia mbio za magari. Ambazo ni kifo
Hivi madereva wa hii route waliacha kubwia unga siku hizi? Dah hawa jamaa walitisha sana kwa ubwiaji unga tu kwa kweli hawajambo.Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.
View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.
Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.