Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

 
Hahah huyo utingo ana mizuka kama yeye ndiye dereva,kwa fujo hizo likilia buyu atauwa wote atakayebaki anapumua atakuwa mlemavu maisha yake yote.
Mkuu nimejaribu kufuatilia hii ligi ya huko Bangladesh ni moto wa kuotea mbali,
HANIF Volvo ft NABIL scania
Kutoka mji wa
Dhaka to Rangpur
Hawa vichaa wa ligi duniani haahaahaa nimegundua wabangladesh wanavuta bangi iliyochanganywa na pilipili kichaa wallah yaani Hawa ndio wafalme wa road huko Bangladesh na Asia kiujumla wanatisha utaomba ushushwe Aisee!
Inatwa ligi ya kifo!
😂😂😂😂
 
Mkuu nimejaribu kufuatilia hii ligi ya huko Bangladesh ni moto wa kuotea mbali,
HANIF Volvo ft NABIL scania
Kutoka mji wa
Dhaka to Rangpur
Hawa vichaa wa ligi duniani haahaahaa nimegundua wabangladesh wanavuta bangi iliyochanganywa na pilipili kichaa wallah yaani Hawa ndio wafalme wa road huko Bangladesh na Asia kiujumla wanatisha utaomba ushushwe Aisee!
Inatwa ligi ya kifo!
😂😂😂😂
Wake ni balaa, utadhani gari yaendeshwa na nuclear power
 
1628216416554.png
 
Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.

Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.

View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.

Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Funika kombe
Ndicho nilichokisema hiki, tuache kuwafitinishaView attachment 1880277
Huyu Waziri hana kazi ya maana ya kufanya?
 
Yaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
gari zenyewe zina kingamuzi spid mwisho 85
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Huwa nashangaa kuona MTU mzima anashangalia mbio za magari. Ambazo ni kifo


Kunakuwaga na watu ambao wanaishi bila maono.

Kuna watu ambao hawana cha kupoteza hata wakifa kwao wanajionea sawa tu.

Wengine wamevurugwa na maisha wengine wameathirika kwa hiyo wanaona hawana cha kupoteza hata wakiangamia.!
 
Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.

Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.

View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.

Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Hivi madereva wa hii route waliacha kubwia unga siku hizi? Dah hawa jamaa walitisha sana kwa ubwiaji unga tu kwa kweli hawajambo.
 
Back
Top Bottom