ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dadeki!! Afu watu wanasema basi bongo zina mwendo.Kuna hawa wahuni nadhani hii ya kina Sauli ni ligi ya mchangani,sijui hata kama hiyo nchi ina sheria.
Ni Bangladesh
Video imekuwa Fast Fowarded.Kuna hawa wahuni nadhani hii ya kina Sauli ni ligi ya mchangani,sijui hata kama hiyo nchi ina sheria.
Ni Bangladesh
FF video. Ni kama zile video kwenye busy junction wana fast forward unaona hatariDadeki!! Afu watu wanasema basi bongo zina mwendo.
Hapana, watalaumu serikali.Siku yakija kuchinja watu ndio fahamu zitaturudia kuacha kushabikia ujinga huu....
Achaa uwongo mkuu,Arusha mwanza Ni Asante Rani na kiazi kitamuu,loliondo huwezi kuweka kwenye ligi na Asante rabi abadaniMzungu amemshindwa mchina sa sijui inakuaje kwa mzungu alafu chuma mpya.
Hata Arusha to Mwanza yutong(loliondo) sikuhz ndo anaongoza alafu maroli yanafuata
True. Nimeangalia arm na head movements za hao watu, they are unnatural. Video imekuwa sped up.FF video. Ni kama zile video kwenye busy junction wana fast forward unaona hatari
Huu ni upumbavu na sijui polisi wanapoona hizi clip wanachukua hatua gani.
Kama hao madereva ni wajanja wa kukimbia waende kwenye motor rally ArushaHuwa nashangaa kuona MTU mzima anashangalia mbio za magari. Ambazo ni kifo
Ujue kwa basi kubwa za abiria unapoziambia zitembee mwendo wa km 80/saa ni mwendo mkali na hatarishi.Hayo mabasi mi sipandi aisee... Hasa Sauli (Wenyewe wanaita Mnyama)na Golder Deer ( wenyewe wanaita DiPikei), wanatembea mwendo wa hatari sana hasa Sauli na ni mabasi yote matatu, ndio yanakuaga ya kwanza most of the time na yanaongozana yote matatu! Chakushangaza abiria wanafurahia tena unaweza kukosa hata ticket kwa sababu yana soko kubwa. Sauli anapita Iringa saa sita na nusu siku hizi.. sijui vile vingamuzi vya LATRA vkama bado vinafanya kazi....
Sio kwamba nina chuki binafsi au conflict of interest ila nina experience mbaya na mwendo kasi na nisingependa siku moja tusikie basi fulani limechinja watu kadhaa!
Unafikiri hao wengine hawawezi kukimbiza? Wanapenda kazi zao ukila ban inekula kwako ndio maana wanajikalia nyuma hawataki ligiAcheni kufananisha Zhongi L360 Pump kubwa (DEER) na iyo 95
Izo climber matusi sna [emoji28][emoji28]
Asa zile 711 DPK ya Ostadhi Rama
Na ile 712 DPK ya big linyama (Ndugu abiria)
Mkeka wa uyole July 2021
KUFUNGUA GETI
DEER - 20
SAULI -10
Kuna ile DMG 618 (HUKU SIO MBEYA) ya Joshua aliefungiwa
Ile chuma inapanda acha tu [emoji119]
Seriously?Ujue kwa basi kubwa za abiria unapoziambia zitembee mwendo wa km 80/saa ni mwendo mkali na hatarishi.
Hayo yangewekewa speed limit ya km 70/saa
70km/h ni speed ya mtu anayejifunza kuendesha gari mkuu..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ujue kwa basi kubwa za abiria unapoziambia zitembee mwendo wa km 80/saa ni mwendo mkali na hatarishi.
Hayo yangewekewa speed limit ya km 70/saa
😄😄😄 Kuna siku nikikuwa naangalia kipindi cha AIBUUU YAO cha ITV aisee walionyesha iyo bus ya iman plus dereva wake ali over take sehemu mbayaaa yaan hatariii alafu sasa mbele kukikuwa na trafik akalisimamisha dereva aka nyooshaaa nzimaaa ....ila siku si nyinginyule dereva alisitishiwa leseni yake kwa miezi kadhaa... Iyo njiaa ina makasheshe kumbeeMbona unawaacha Al Saedy,Imani Plus na Majinjah wote wanakimbizana na Sauli,New Force na Golden Deer.
😂😂😂😂 Kuna Mhadhiri mmoja alikuwa na mfano wake mmoja umachekesha anasema eti zaman dereva wa basi akitokaa moshi mjin akifika mwisho wa safari kuelekea Rombo basi abiria wotee mkishushwa stend kabla hujatelemka una mpa.pole dereva na abiria wengine hujitolea kumkanda dereva ili kuondoa uchovuu maana zaman barabara zilikuwa mbovuuuuYaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Rough ridersMadereva wa mabasi wote speed zao zinaelekeana na tabia za kuovateki kwa ubabe.
Ligi yao hiyo itamalizika pale tu ikitokea Ajali mbaya, kubwa na ya Hatari huku Mshindi wa Jumla wa Kombe lao akiwa ni Israeli pamoja na Wauza Majeneza na Sanda nchini ( eneo la Tukio ) pia.Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.
View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.
Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.