Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Mzungu amemshindwa mchina sa sijui inakuaje kwa mzungu alafu chuma mpya.

Hata Arusha to Mwanza yutong(loliondo) sikuhz ndo anaongoza alafu maroli yanafuata
Achaa uwongo mkuu,Arusha mwanza Ni Asante Rani na kiazi kitamuu,loliondo huwezi kuweka kwenye ligi na Asante rabi abadani

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Hayo mabasi mi sipandi aisee... Hasa Sauli (Wenyewe wanaita Mnyama)na Golder Deer ( wenyewe wanaita DiPikei), wanatembea mwendo wa hatari sana hasa Sauli na ni mabasi yote matatu, ndio yanakuaga ya kwanza most of the time na yanaongozana yote matatu! Chakushangaza abiria wanafurahia tena unaweza kukosa hata ticket kwa sababu yana soko kubwa. Sauli anapita Iringa saa sita na nusu siku hizi.. sijui vile vingamuzi vya LATRA vkama bado vinafanya kazi....

Sio kwamba nina chuki binafsi au conflict of interest ila nina experience mbaya na mwendo kasi na nisingependa siku moja tusikie basi fulani limechinja watu kadhaa!
Ujue kwa basi kubwa za abiria unapoziambia zitembee mwendo wa km 80/saa ni mwendo mkali na hatarishi.

Hayo yangewekewa speed limit ya km 70/saa
 
Acheni kufananisha Zhongi L360 Pump kubwa (DEER) na iyo 95

Izo climber matusi sna [emoji28][emoji28]

Asa zile 711 DPK ya Ostadhi Rama
Na ile 712 DPK ya big linyama (Ndugu abiria)



Mkeka wa uyole July 2021

KUFUNGUA GETI

DEER - 20
SAULI -10

Kuna ile DMG 618 (HUKU SIO MBEYA) ya Joshua aliefungiwa

Ile chuma inapanda acha tu [emoji119]
Unafikiri hao wengine hawawezi kukimbiza? Wanapenda kazi zao ukila ban inekula kwako ndio maana wanajikalia nyuma hawataki ligi
 
Mbona unawaacha Al Saedy,Imani Plus na Majinjah wote wanakimbizana na Sauli,New Force na Golden Deer.
😄😄😄 Kuna siku nikikuwa naangalia kipindi cha AIBUUU YAO cha ITV aisee walionyesha iyo bus ya iman plus dereva wake ali over take sehemu mbayaaa yaan hatariii alafu sasa mbele kukikuwa na trafik akalisimamisha dereva aka nyooshaaa nzimaaa ....ila siku si nyinginyule dereva alisitishiwa leseni yake kwa miezi kadhaa... Iyo njiaa ina makasheshe kumbee
 
Yaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
😂😂😂😂 Kuna Mhadhiri mmoja alikuwa na mfano wake mmoja umachekesha anasema eti zaman dereva wa basi akitokaa moshi mjin akifika mwisho wa safari kuelekea Rombo basi abiria wotee mkishushwa stend kabla hujatelemka una mpa.pole dereva na abiria wengine hujitolea kumkanda dereva ili kuondoa uchovuu maana zaman barabara zilikuwa mbovuuuu
 
Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.

Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.

View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.

Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Ligi yao hiyo itamalizika pale tu ikitokea Ajali mbaya, kubwa na ya Hatari huku Mshindi wa Jumla wa Kombe lao akiwa ni Israeli pamoja na Wauza Majeneza na Sanda nchini ( eneo la Tukio ) pia.
 
Back
Top Bottom