Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
usitutie majaribuni
Ame Ally Na mgosi wamenipa salamu zako
nikikataa nitakua mnazi sio shabiki... bali utuokoe na janga la kushuka daraja (SSC, 2015).
avumaye baharini papa.................Jogoo la shamba (Turiani) haliwiki mjini (Dar).
Wakati nasoma Physics, miaka ilee, nilijifunza hii Law:
The body will continue in its state of rest or uniform motion in a straight line unless it is compelled to change that behaviour by an externaly applied force.
Kwa kanuni hii:
Simba itaendelea na mwenendo wa kuchonga madroo katika mstari ulionyooka na hivyo kuendelea katika nafasi za chini za msimamo wa ligi mpaka hapo mabadiliko ya uongozi yatakapofanyika.
RIP Simba Sports Club.
CC. Masuke, sembo, Ngarna, grafani11, Viol, Revocatus Kashaga, Crashwise, Amavubi, Katavi na mikia wote waliokimbia jukwaa tangu kale.
tupo kwenye kipindi cha mpito
Jogoo la shamba (Turiani) haliwiki mjini (Dar).
tupo kwenye kipindi cha mpito
tupo pamoja wadau hatuachani. tupo tukiwashangilia dar young africans. kama kawaida nipo nimempakata bantu lady huku tunacheck naye kabumbu.
Wewe kikaragosi ukuje huku, miguu imekutepeta umpakate nani hovyooo..
Tumewafunga mdomo na mtaendelea na sare mpaka mtie akili wewe Komeo Lachuma.