Ligi kuu Bara: Azam FC Vs Simba SC

Tambwe kishafanya yake mwadui huko,nilisikiaga kila tambwe akifunga uongozi wa mikia unakaa kikao cha dharura
 
Piga mikia haoooo
a.k.a Mbumbumbu FC a.k.a wamatopeni FC.
 
Hizi zile stream za Azam TV bado zinafanya kazi ?
 
Hahahaaah hawapo vizuri kama simba Na azam..!
Asante
Mdau ufafanuzi wako bado umepwaya, nilitegemea ungegusa yale maeneo ya kiufundi na badala ya maneo ya kishabiki.
 
Kila nikiiona simba nakumbuka jinsi ilivyokula hela za msiba,btw kila la kheri azam,kule mwadui mume wa ligi keshafanya yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…