Ligi Kuu Bara | Mbeya Kwanza FC Vs Simba SC | Uwanja wa Majimaji | Juni 29, 2022

Itatafutwa penati ya mchongo hapo kilazima mpaka mchizi atie kamba
Kinyume chake, line 2 akaamua kumnyima goli lake la wazi kabisa kwa kumhukumu kuotea! Na marudio yakaonesha wazi Mfungaji (Mayele) hata hakuwa katika nafasi ya kuotea!

Bila shaka Waamuzi wanatakiwa kuwa fair bila shaka. Uzembe na kuendekeza ushabiki maandazi, kunawashushia hadhi ndani na hata nje ya mipaka yetu.
 
Mikiaa, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‡
 
Hongera mpole
Ona sasa! Mnashindwa hata kuhonga ili kuifunga timu ambayo haina cha kupoteza! Yaani ilishajishukia daraja kitambo!

Hivi tajiri yenu Moo ana hela za majini, au!!
Mbona mwenzake GSM anatembeza tu bahasha, timu inachukua mpaka ubingwa! Yaani anatembeza bahasha mpaka kwenye timu yenu! Lakini yeye yupo yupo tu.
 
Mikiaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56]
Leo Mayele amewajambisha Utopolo
Hili jambo halikubaliki kwenye soka [emoji16]
 
Makosa ya kibinadamu

Nikama tu ioe ambayo mayele aliunawa mpira halafu penati ikaenda jangwani

Namna ambavyo tulitafsiri hicho kitendo ilifaa tutumie busara hizo hizo na kwenye hili lililofanyika leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…