OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jisimba ninatazama digidigi wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi mechi timu zote hazijatulia kabisa
Too late huu ni mpira wa soka unadunda tunaweza kupigwa hat game tatu raundi ya kwanza ila ya pili mkaanza kufungua madroo yenu cye hatuna shida cuz ndyo wawakilishi wenu wa michezo ya kimataifa mwakani nanyi mnajaribu kupigania kwa miaka mingi ss karibuniToo late mkuu
Labda Yanga mana tumewakamata ila foward ndo inafanya ujinga uzuri Bocco tumetoa nje ngoja tuone huyu kama atabadili matokeoSema wote wabovu mkuu
Tumeshauri kitambo humu kwamba wachezaji wote wa azam watimuliwe , timu ianze upya .Wadau hapa nakaribisha kusaidia hii team ya azam kuwapa ushauri, maoni na kutoa duku duku. Ni hali ambayo imesababisha mashabiki wake warud team zao za zaman.
Ni mengi yamekuwa yakisemwa moja wapo ni kuwa mmiliki ameona kiukwel team haina faida. Imechokwa. Anaiendesha kwa hasara. Na hili ni kutokana na ukwel azam haina mashabiki wanaofika hata 1000 ina mashabik wa kukodi. Yaani kutegemea inacheza na nani. Lakin mashabik damu haina.
Mmiliki aliwekeza pesa nying sana lakin ni wazi anapata hasara input kubwa na output ndogo sana. Inaleta hasara. Hili nalo limekuwa ni jambo lenye kuleta shida kwa mmiliki.
IMECHOKWA?
Junior anza kuficha uso dk ya 40 si yanga wala AzamYanga 2 Azam 0
Msuva, Ngoma
Sijawahi kutabiri uongo