Ligi Kuu Bara: Simba 2-2 KMC FC - Uwanja wa Mkapa, Sept 07 2022

Siamini mpk Yanga wenye kujinasibu wana kikosi Imara wana mrefer Azam,kweli mlipelekewa moto aiseee nyie leo ndo wakuwaheshimu na kuwatolea mfano kikosi cha Azam hahaaaa kweli kombe lileeeee mwenye mbio atalipata.
 
Simba hawakabi kabisa na wanacheza mpira kama wako mazoezini.

Baada ya kufungwa goli la pili na KMC ndio kidogo walicheza mpira.

Mabeki wa Simba kazi yao ni kurudishi mipira nyuma tu basi. Mpaka wanawapasia maadui na wanafuna.
Quttara anapiga mpira wa adhabu anarudisha nyuma.

Ubingwa mwaka huu Simba hata nafasi ya pili hawachukui kwa mpira huu.
Mechi ya Yanga na Azam ndio mechi bora kabisa.
Na leo tungecheza na Yanga au Azam tungepigwa nyingi sana.

Usajiri tu wa msimu huu tumeferi.
Usajiri wa akina Okwa na Mzungu na Okra ni majanga matupu.

Tunawahitaji sana Onyango na Kennedi kidogo wako siriaz. na Kapombe.
Shabalala heshima kwake anajituma sana.
Msimu huu kidogo Mozes Phili anajituma.
 
Naanza kuamini Barbra ndio mchawi Simba huyu ndio chanzo wachezaji wa mafungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…