ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Na hiki ndio kinachokuja kunipa mashaka, mashabiki tuna loose hope kwa timu yetu kulingana na aina ya mchezo unaochezwa leo tunashindwa ku picture katika michuano hiyi ya CAF tutaweza kweli kwa mwendo huu?
Trust Me simba Haichezi Hivi Kwasababu Jmosi Ana Mechi Malawi. Anacheza Hivi kwasababu Ya Wachezaji alio Nao… hatutengenezi Movie za Magoli, Chances zote Zimekuja Kama Bahati na sio Za Kutengenezwa.
Tumeshiriki Michuano Ya Kimata mara nyingi tuuu tukiwa na Game Ngumuuu zaidi ya Big Bullets Lakini Hatujawahi cheza hivi.
Huoni Radha Ya Kuangalia ule Mpira wa Simba